stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Huyo Jamaa ombeni asije kuwa prime Minister, wavaa kobazi mtaaishaBREAKING: Israel's National Security Minister Ben Gvir says 'weak!' on X, likely in reference to Israeli strike in Iran.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Jamaa ombeni asije kuwa prime Minister, wavaa kobazi mtaaishaBREAKING: Israel's National Security Minister Ben Gvir says 'weak!' on X, likely in reference to Israeli strike in Iran.
Marekani hawezi muacha mtoto wake bila ya support,Marekani alisema tu vile,lakini ki ukweli yeye ndiyo don wa kila kitu pale middle eastKuna kila dalili WWW3 inakwenda kuanza rasmi........na mwisho wa Israel unakaribia........kumbuka Amerika ameshasema yeye anakaa kando......
Hata wafuasi wake kulike tu wameshindwa ujue wameona mtoa mada ametoa bokoMada yenyewe hata haieleweki
Iran wao wanasema Israel hausiki 🤣 🤣BREAKING: Oman condemns Israeli strike in Iran
Una uhakika mkuu😂😂 Israel karusha vidrone vitatu Ili kuua soo navyo vimedondoshwa
Soma unielewe nimekwambia lete picha ya shambulio la israeli la leo huko Iran kama lile lililoua wanajeshi wa Iran huko Syria.Kwa hiyo wale majeneral wa iran hawakufa sio
Yaan iran wanasema kulikua na shambulio na wakawazika majeneral wao we unasema hakuna kitu aisee hii ni kali
Wanao Control Amerika ni jews Mfano kama Rothschild na wengine kwahiyo ni ngumu kutoisaidia Israel hata Rais wa amerika lazima ale kiapo cha kuisaidia Israel.Marekani wanahangaishwa sana na mtoto wao wa kambo.........
Ningependa mdau mwenye uelewa mpana wa siasa na uchumi wa kimataifa atudadavulie kuwa Marekani anafaidika nini na Israel mpaka kuingia hasara na kuhatarisha usalama wa taifa lake kiasi hicho
SAFI KAKA MKUBWAAAA LETA HABARU NJEMA🤣👏👏👏👏Israel wameanza kupiga Kwanza rada zilizopo Iraq na Syria huku ndege zingine zikipiga site 7 za Iran pia kulikuwa na cyber attack nchini Iran ili iwe rahisi kupiga..inaonekana mawasilianao ya kuchunguza hatari hayakufanya kazi
Israel news channel wanasema target zao zimefanikiwa Kwa 99% na Iran wanasema hakuna kilchofanyika ndani ya nchi Yao.
Ndio nipo Hapa na remote na change chanel kuanzia Al Jazeera, BBC na CNN na taharifa zinaonyesha hivyo, labda wewe kama unachanzo kingineUna uhakika mkuu
Hata hizi ni propaganda za Iran! Kila upande unavutia kwake.Breaking News Iran ni salama kabisa hizo ni propoganda za Israel, UK na America
Al Mayadeen TV mpaa mda hu.
Picha ya nini nawakati watu walizika makomando waliouawa kwenye shambulioSoma unielewe nimekwambia lete picha ya shambulio la israeli la leo huko Iran kama lile lililoua wanajeshi wa Iran huko Syria.
Mada yenyewe hata haieleweki
Ninyi wainjilisti Ninyi!!!!Hata wafuasi wake kulike tu wameshindwa ujue wameona mtoa mada ametoa boko
Ni lini USA alisema anakaa kando khs Israel mkuu? Kusema kwamba hatahusika na kuipiga Iran ila atailinda Israel ni kujitenga na Israel? (yaani unamwambia mtu kumpiga fulani mimi sitampiga. Ila wewe ukimpiga mimi nitakulinda na akitaka kukurushia ngumi mimi nitazuia ngumi zake).Kuna kila dalili WWW3 inakwenda kuanza rasmi........na mwisho wa Israel unakaribia........kumbuka Amerika ameshasema yeye anakaa kando......