Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

Wanaomzunguka
Iran ana mikwara mingi lakini hana ubavu wa kuendesha vita kubwa, nzito na muda mrefu kwa sababu hizi.
1. Ana matatizo makubwa mnoo ya kisiasa ndani ya taifa lake.
2. Hana uungwaji mkono kutoka taifa lolote kubwa lenye nguvu ya kijeshi.
3. Waarabu wanaomzunguka mpaka sasa wameshindwa kumuunga mkono.
4. Israel ina uungwaji mkono mkubwa kutoka mataifa makubwa ya kivita na wanaomzunguka.
We jamaa , kwa hiyo zile proxy za Iran kule Yemen ,Lebanon ,Syria na Iraq unafikiri ni majirani zake Marekani au sio , au unafikiri hayo mataifa yemeamka tu na kuruhusu hizo proxies kuexist humo kwenye hayo mataifa ?
Hebu fanya utafiti kuhusu hayo makundi matiifu kwa Iran kwenye hayo mataifa na uangalie idadi ya wapiganaji ,vifaa na experience ya vita walionayo
 
Israel haina silaha yake bali ni silaha za Marekani kwenye mikono ya Israel. Iran inatengeneza silaha zake yenyewe tena silaha bora kabisa na nyingine anazitumia Urusi kule Ukraine mfano Shaheed 136 drones. Kwa teknolojia ya kijeshi Iran kaizidi Israel mbali sana. Kinachoisaidia Israel ni msaada wa Marekani na washirika wake.
iran hakuna silaha aliyotengeneza yeye sababu hana technolojia hiyo, silaha zote za iran ni za kirusi, anachofanya yeye ni kubadilisha housing na kuweka jina la kiarabu
 
Wanaomzunguka
We jamaa , kwa hiyo zile proxy za Iran kule Yemen ,Lebanon ,Syria na Iraq unafikiri ni majirani zake Marekani au sio , au unafikiri hayo mataifa yemeamka tu na kuruhusu hizo proxies kuexist humo kwenye hayo mataifa ?
Hebu fanya utafiti kuhusu hayo makundi matiifu kwa Iran kwenye hayo mataifa na uangalie idadi ya wapiganaji ,vifaa na experience ya vita walionayo
Yaani unaambiwa uite marafiki wa maana unaenda kuita Lebanon, Syria, Iraq
 
Habari za muda huu.......

Kumeripotiwa milipuko mikubwa kadhaa ndani ya Iran, Syria na Iraq..........

====

Israeli missiles have reportedly hit the Iranian city of Isfahan​


Israeli missiles have hit a site in Iran, the United States' ABC News has reported, citing a US official, days after Iran launched a drone strike on Israel in response to an attack at the Iranian embassy in Syria.

Iran's Fars news agency said an explosion was heard at an airport in the Iranian city of Isfahan but the cause was not immediately known.

Several Iranian nuclear sites are located in Isfahan province, including Natanz, the centrepiece of Iran's uranium enrichment program.
Several flights were diverted over Iranian airspace, CNN reported.

Over the weekend, Iran launched hundreds of drones and missiles in a retaliatory strike after a suspected Israeli strike on its embassy compound in Syria earlier in April.
Most of the drones and missiles were downed before reaching Israeli territory.

Iran told the United Nations Security Council on Thursday that Israel "must be compelled to stop any further military adventurism against our interests" as the UN secretary-general warned that the Middle East was in a "moment of maximum peril".

Israel had said it was going to retaliate against Iran's 13 April missile and drone attack.

Analysts and observers have been raising concerns about the risks of the Israel-Gaza war spreading into the rest of the region.

Israel's assault on Gaza began after Palestinian Islamist group Hamas attacked Israel on 7 Ocober, killing 1,200, according to Israeli tallies.
Israel's military offensive has killed over 33,000 Palestinians in Gaza, according to the local health ministry.

Iran-backed groups have declared support for Palestinians, launching attacks from Lebanon, Yemen and Iraq.

This is a developing story and this article will be updated.
Follow the latest from SBS News at
, or on the SBS News app available on

or
View attachment 2967853
Israel is bombing Iran, Syria and Iraq at the same time.
Unatuletea news za Israel na Iran alafu unamalizia kwa upuuzi wa vita ya Gaza... si ukaelezee huko kwenye page ya Gaza.
 
Iran hakuna kitu drone 3 zimetunguliwa na air defence View attachment 2967848
Iran wana fix sana... wanasema drone Tatu zimetunguliwa wanaweka video wakionesha jinsi walivyozidungua milipuko mingi mno how come three drone and so many interceptor sparks in the air... kuongea ukweli kuna tatizo gani?
 
Iran wana fix sana... wanasema drone Tatu zimetunguliwa wanaweka video wakionesha jinsi walivyozidungua milipuko mingi mno how come three drone and so many interceptor sparks in the air... kuongea ukweli kuna tatizo gani?
Iran ili uongee ukweli unatakiwa upate ruhusa kutoka kwa ayatollah
 
Myahudi ana tupa tabu sana kumtetea .shambulizi la Iran lilikua la wazi sana ,hili hwdi tutafute kwa tochi tuunge unge
 
Back
Top Bottom