Israel yapoteza Wanajeshi wake 350 ndani ya siku mbili

Israel yapoteza Wanajeshi wake 350 ndani ya siku mbili

Video hiyo inaonyesha jeshi la Israel likikimbia na kupoteza wanajeshi wake wengi kutoka maeneo ya Gaza baada ya kupata uharibifu mkubwa wa rasilimali zao za mapigano, huku vifaru na magari ya kivita yakiharibiwa na wapiganaji wa Palestina. Licha ya kuingia katika maeneo mengi katika eneo la Gaza, vikosi vya Israel mpaka sasa bado havijapata ushindi wowote mkubwa zaidi ya kuuwa wagonjwa na watoto mahospitalini.


View: https://youtu.be/HaKn878izls?si=H1lI6dSB8xIzGEEC

Mazayuni ni.watu. waoga tu, vita vya miguu hawaviwezi, kwa sababu majeshi yao hawana morali tofauti na Hamas ambao wana nia na sababu ya kupigana sema tu uwezo wao duni, Fikiria wanapigana mwezi sasa na hawana msaada wowote rasmi, hawana chakula, hawana maji, hawana mafuta hawana madawa vyote Israel kazuia lakini wanaume bado wanapambana, anachoweza Israel ni kuua watoto, kinamama na wagonjwa, hawana hata aibu yaani wanapiga hadi mashule ambayo yako chini ya UN.
 
Je kwa wale wanao wahi BIKRA hali yao ikoje nako?
Asante
Atoe takwimu hizo pia idadi ya Wapiganaji wa HAMAS waliouawa kuwahi kupata Mabikra wao 72 walioahidiwa na allah wakifa

Wangapi wameenda? Baada ya kuuawa na Jeshi la Israel ?
 
Back
Top Bottom