Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah

Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah

Sasa Israel anaamua nani aingie Lebanon au asiingie. Mamlaka za Lebanon ni kutii tu hamna mamna​

Lebanon’s airport denies entry to Iranian plane​


Lebanon’s National News Agency reports that the country’s Minister of Public Works and Transport Ali Hamieh instructed Beirut’s airport to ask an Iranian plane heading there not to enter Lebanese airspace and not to land.
Israel has said its warplanes are patrolling the area near Beirut’s airport to make sure it is used for “civilian purposes only”, in an implicit threat to bomb it.
During the 2006 war, Israeli forces bombed the Beirut airport.
Kwa maana nyingine Serikali ya Lebanon ime surrender na Hakuna mtu wa Hezbollah kupinga.

Ndani ya baraza la mawaziri la Lebanon kuna wafuasi wa Hezbollah ambao sasa ni helpless
 
Jeshi la Israel limethibitisha kuuliwa kwa GS wa Hezbollah Hassan Nasrallah baada ya mashambulizi ya jana.

Hapo mwanzo ilisemekana ni mzima ila Israel ilisubiri kuthibitisha kuuliwa kwake.

Yasemekana kuwa ndani ya eneo hilo hakuna chochote kilichobaki kizima, na huenda mwili wa Nasrallah usipatikane

Full @IDF statement on its elimination of Hezbollah chief Hassan Nasrallah:


“The IDF announces that yesterday (Friday), September 27th, 2024, Hassan Nasrallah, the leader of the Hezbollah terrorist organization and one of its founders, was eliminated by the IDF, together with Ali Karki, the Commander of Hezbollah’s Southern Front, and additional Hezbollah commanders.


Following precise intelligence from the IDF and Israeli security establishment, IAF fighter jets conducted a targeted strike on the Central Headquarters of the Hezbollah terrorist organization, which was located underground embedded under a residential building in the area of Dahieh in Beirut. The strike was conducted while Hezbollah’s senior chain of command were operating from the headquarters and advancing terrorist activities against the citizens of the State of Israel.


During Hassan Nastallah’s 32-year reign as the Secretary-General of Hezbollah, he was responsible for the murder of many Israeli civilians and soldiers, and the planning and execution of thousands of terrorist activities. He was responsible for directing and executing terrorist attacks around the world in which civilians of various nationalities were murdered. Nasrallah was the central decision-maker and the strategic leader of the organization.


The Hezbollah terrorist organization, headed by Hassan Nasrallah, joined the Hamas terrorist organization in its war against the State of Israel on October 8th. Since then, Hezbollah has been continuing its ongoing and unprovoked attacks on the citizens of the State of Israel, dragging the State of Lebanon and the entire region into a wider escalation.


The IDF will continue operating against anyone who promotes and engages in terrorism against the State of Israel and its people.”
God Bless Israel
 
Inna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.


Mazayuni na magahribi na mapoyoyo wao wanafikiri ni Hollywood movie, akifa mbabe movie imekwisha.

Ndiyo kwanza wamejigeuza pweza kujipalilia mkaa wao wenywe.
Bibi punguza mihemko. Hujui Israel imeokoa maisha ya maelfu ya raia wasokua na hatia
 
Shida anaweza kuwa mahali ambapo kuna wananchi wasio na hatia.
Israel naona kwa sasa hakubali samehe maadui zake hata wakiwa kwenye kundi la watoto, yeye anacholenga ni kuwaondoa magaidi.

Kingine naona Hezbollah wameuzwa na jeshi la Lebanon au kuna watu ndani ya Hezbollah ambao wametoa taarifa zote
 
Kuna viashiria vyao. İle juzi alipotangaza kutoa hotuba, wakati anatoa hotuba, IDF ikaanza kufanya mashambulizi kwenye maeneo ambayo walihisi kwamba yupo.
Osama bin Laden alikuwa surveilled na stealth drone, RQ-170.

Drone ilikuwa na uwezo wa kupiga picha na kurekodi video.

Yawezekana kabisa Israel nao wanawafuatilia hao watu na drones ambazo haziwezi kuwa detected na radar.

Na ni drones zenye uwezo wa kutoa feedback ya photos na video.
 
Mwambia huyu apa
 

Attachments

  • Screenshot_20240928-134946.jpg
    Screenshot_20240928-134946.jpg
    459.1 KB · Views: 3

Sasa Israel anaamua nani aingie Lebanon au asiingie. Mamlaka za Lebanon ni kutii tu hamna mamna​

Lebanon’s airport denies entry to Iranian plane​


Lebanon’s National News Agency reports that the country’s Minister of Public Works and Transport Ali Hamieh instructed Beirut’s airport to ask an Iranian plane heading there not to enter Lebanese airspace and not to land.
Israel has said its warplanes are patrolling the area near Beirut’s airport to make sure it is used for “civilian purposes only”, in an implicit threat to bomb it.
During the 2006 war, Israeli forces bombed the Beirut airport.
Nakumbuka hii walipiga Rafic Hariri Airport.
 
Sikusema, japo hadi sasa siamini nasubiri taarifa rasmi kutoka kwa Hezbollah.
Hawapo wa kutoa taarifa maana wote wamekwenda na maji pamoja na vifaa vyao na miili yao haitaonekana milele maana mabomu zaidi ya 100 yametumika kuhakikisha habaki mtu
 
Kwenye uzi huu sasa kuna raia wanataka kuleta ukristo na uislamu hawa ni wa kuwaogopa
Wanaopigana ni waarabu na wayaudi, sisi waafrica hata tufanyeje wao watazid kutuona tu ni waafrica na haitobadirisha chochote
 
Israel naona kwa sasa hakubali samehe maadui zake hata wakiwa kwenye kundi la watoto, yeye anacholenga ni kuwaondoa magaidi.

Kingine naona Hezbollah wameuzwa na jeshi la Lebanon au kuna watu ndani ya Hezbollah ambao wametoa taarifa zote
Huo 👆👆ndo ukweli. Hata mzee Neta Jana kawaambia bayana kwamba hakuna kitu chochote cha Hezbollah ambacho Iraeli (IDF)haikijui. Kwa maneno mengine Hezbollah wapo uchi mbele ya IDF.
 
Huwezi kupigana na mtu anaekuzidi technology....
 
Back
Top Bottom