Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah

Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah

Zile kelele za sijui israel anamuogopa hezbollah mara hao sio Hamas sijui nyokonyoko wana jeshi kamili wana mabomu zilizokuwa zinatoka madrasa mbona sizisikii tena..huyo ndo mzee Neta bado wale panya wa Houth watajuta
tatizo sisi wengi ni mashabiki, maana kuna wengine wanaenda mbali wanakwambia mpaka marekani anaiogopa israel, si ni mzaha huu?
 
Aisee sisi dini yetu haija-base kweny uongo na porojo, we work with evidence and proof, Paulo mwenyew alisema yeye ni myahudi, kwaio unataka kusema wewe unamjua vizur paulo kuliko yeye mwenyew??
Matendo ya Mitume 22:3
Mimi ni mtu wa Kiyahudi
, nalizaliwa Tarso, mji wa Kilikia, ila nililelewa katika mji huu, miguuni pa Gamalieli, nikafundishwa sheria ya baba zetu kwa usahihi, nikawa mtu wa jitihadi kwa Mungu kama ninyi nyote mlivyo leo hivi;
I am verily a man which am a Jew, born in Tarsus, a city in Cilicia, yet brought up in this city at the feet of Gamaliel, and taught according to the perfect manner of the law of the fathers, and was zealous toward God, as ye all are this day.
Sasa ww unateletea hadithi za kusadikika?
Paulo hakuwa myahudi wala hana uhusiano wowote na uyahudi.
 
Japo uhakika ni kusubilia udhibitisho kutoka kwa hizbullah wenyewe maana hata 2006 Israel iliwahi kutangaza kumuua lakini badae akaoneka akiwa hai.
Kama kweli ame uawa japo ni pigo kwa Hizbullah lakini wenda isiwe sababu ya Israel kuishinda Hizbullah kwa sababu mwanzilishi mkuu wa Hizbullah aliuawa na bado ikaendelea kuwepo tena yenye nguvu zaidi.

Watu wengi watakuwa wanajiuliza ni kwann hizbullah haitoi majibu yenye nguvu kujibu mashambulizi ya Israel?hili limewashangaza hata wataalam wa masula ya kijeshi wa nchi za Magharibi.
Lakini mm kwa mtazamo wangu ni (1)wenda ndo mkakati wao wa vita , kwasababu hata mwaka 2006 Israel ilifanya mashambulizi yenye nguvu sana kwa zaidi ya wiki zima bila jibu lolote kutoka kwa hizbullah lakini kilicho fuata tulikiona.
(2)wenda kuna mzozo kati ya serikali ya Lebanon na Hizbullah juu ya hizbullah kutangaza vita rasmi dhidi ya Israel.
(3)wenda Iran inataka kubadilisha mkakati wake wa kuwakabili maadui zake hapo mashariki ya kati hasa kwa kubadilisha sera yake kuhusu kumiliki silaha za nyukilia.
Bado unahema eeeh upigwe kichwani
 
Ayattollah rasmi nae kakimbilia kwenye mahandaki. Ile kauli ya Netanyahu kuwa mkono wa Israel unafika popote ndani ya Iran imemshtua sana Ayyatollah.
Daaah!
Roho inauma sana, kataifa kenyewe hata kiganjani hakajai!!!
 
We dogo anaye pigana sio Israel huko Lebanon ni US hao Israel ni nyimbo tu.
Hezbollah, Hamas, Houth, na wengine wanaopigana na Israel wanapigana kwa kupelekwa na Iran, Kwa hiyo Israel anapigana na wapiganaji wa kutumwa wa Iran hapo. Kwa hiyo Israel anapigana na Iran. Iran naye anapewa silaha, teknolojia mafunzo mbinu na russia, n.korea, turkey na nchi zingine. Infact hizo tunnel za Hamas ni expertise ya n.korea.
Sasa kama pamoja na misaada yote hiyo waarabu wanapigwa tena wakiwa kwao basi itoshe kusema Israel ni habari nyingine na ndo mjue kwa nini Misri, Jordan walikoma kuichokona Israel na hawataki tena hata kurusha jiwe Israel maana kipondo walichokipata hawataki kiwarudie tena.
 
Kwani tangu wameanza kuwaua vita imesimama? Msijipe matumaini kwamba ndio vita imeisha aisee anatangazwa mrithi wake mapema sana. Ni moto juu ya motoo
Kwanza mpa mda hu inawezekana kafa au hakufa hamna mtu ana dalili? Pili inawezekana Nasurlah na Hezbullah walisha mchora jasusi anaye toa infomation, wakamuambia tunaenda fanya meeting pale ili awafikishie ujumbe US hapo ndio wamnase tena yupo kwenye cabinet yao kabisa. Na uhakika 💯 in US ndio anapiga sio Israel. Wakisha piga wanamuambia Israel target tulio piga ni Nasurlah ndio Israel anajisifia yeye kapiga.

Si ndio ajabu wanadhani kumua Nasurlah ndio wameshinda vita, hawajui Hezbullah ni chama kuna viongozi wasaidizo na akifa Nasurlah mfano yuko Seif Al Dini au Naim Al Qaseem. Hata hao kama mmoja alikuwa na Nasurlah wako wengine wataendeleza kichapo kama kawaida huko Israel.
 
Watachagua kiongozi mwingine... sijui kwanini watu wanadhani this is an issue?
If u don't know how ujasusi unafanya kazi this is minor issue ila kama una abc za uongozi japo kwenye taasisi ndogo let say uongozi wa kitongoji tu this is big issue regardless nani atakuja ku take over just remember magu alipo zima what happened to us all?

"FEAR"

jeshi lolote duniani kitu cha kwanza kabisa linapo kua kwenye uwanja wa mapigano kiongozi ndio mtu pekee anae deal na psychology ya askali wake kwa kuwapa maneno ambayo direct huathiri uwezo wa kufikilia wa askali haijalishi adui ana nguvu kiasi gani ana siraha kiasi gani kiongozi huwapa morali na Ali ya kusonga mbele zaidi . Askali wanafundishwa kutii amri ya kiongozi

kama kweli Hassan nasrallah amekufa basi downfall ya Hezbollah imefika
 
Japo uhakika ni kusubilia udhibitisho kutoka kwa hizbullah wenyewe maana hata 2006 Israel iliwahi kutangaza kumuua lakini badae akaoneka akiwa hai.
Kama kweli ame uawa japo ni pigo kwa Hizbullah lakini wenda isiwe sababu ya Israel kuishinda Hizbullah kwa sababu mwanzilishi mkuu wa Hizbullah aliuawa na bado ikaendelea kuwepo tena yenye nguvu zaidi.

Watu wengi watakuwa wanajiuliza ni kwann hizbullah haitoi majibu yenye nguvu kujibu mashambulizi ya Israel?hili limewashangaza hata wataalam wa masula ya kijeshi wa nchi za Magharibi.
Lakini mm kwa mtazamo wangu ni (1)wenda ndo mkakati wao wa vita , kwasababu hata mwaka 2006 Israel ilifanya mashambulizi yenye nguvu sana kwa zaidi ya wiki zima bila jibu lolote kutoka kwa hizbullah lakini kilicho fuata tulikiona.
(2)wenda kuna mzozo kati ya serikali ya Lebanon na Hizbullah juu ya hizbullah kutangaza vita rasmi dhidi ya Israel.
(3)wenda Iran inataka kubadilisha mkakati wake wa kuwakabili maadui zake hapo mashariki ya kati hasa kwa kubadilisha sera yake kuhusu kumiliki silaha za nyukilia.
Labda vita vya Syria (Hezbollah pia ilishiriki) huenda vimechangia kuidhoofisha Hezbollah.
 
Kwani tangu wameanza kuwaua vita imesimama? Msijipe matumaini kwamba ndio vita imeisha aisee anatangazwa mrithi wake mapema sana. Ni moto juu ya motoo
Israel inapiga mpaka miungu ya waarabu sembuse mrithi au warith hawa wenye DNA za kipepo.
 
Hezbollah siyo mtu mmoja
Ni kweli kabisa wapo zaidi ya 50,000 - 70,000+ lakini kumbuka na zingatia HAKUNA WATU WANAFANANA hapa duniani. Kila mtu ni Individual and specific. Ndo mana DNA yako na yangu ni tofauti. Na vivyo hivyo atakayekalia kiti cha aliyeondoshwa kamwe hatafanana na aliyekuwepo. Usiseme habari za eti kuna Miongozo na Taratibu etc. Kila mmoja anamtizamo wa namna yake japokuwa Miongozo na Taratibu hizo zimeandikwa. Utekelezaji wake utakuwa ni kwa kutegemea mtizamo wa aliyepo madarakani. wakati husika.
 
Kwanza mpa mda hu inawezekana kafa au hakufa hamna mtu ana dalili? Pili inawezekana Nasurlah na He walisha mchora jasusi anaye toa infomation, wakamuambia tunaenda fanya meeting pale ili awafikishie ujumbe US hapo ndio wamnase tena yupo kwenye cabinet yao kabisa. Na uhakika 💯 in US ndio anapiga sio Israel. Wakisha piga wanamuambia Israel target tulio piga ni Nasurlah ndio Israel anajisifia yeye kapiga.

Si ndio ajabu wanadhani kumua Nasurlah ndio wameshinda vita, hawajui Hezbullah ni chama kuna viongozi wasaidizo na akifa Nasurlah mfano yuko Seif Al Dini au Naim Al Qaseem. Hata hao kama mmoja alikuwa na Nasurlah wako wengine wataendeleza kichapo kama kawaida huko Israel.
Acha utoto
 
Tatizo ambalo litawasumbua ni Uislam ili waishi kwa amani hapo walipo uislamu ufe sasa jiulize kipi kinaweza kufa kati ya Uislam au taifa la Israel? As long Uislam unaendelea kuwepo pale mashariki ni death zone kwa myahudi haijalishi wao ndio wenye nguvu sasa watu wanazidi wana endelea pia kiteknolojia hivyo mambo bado mabichi kabisa haya, it can go through centuries.
 
Back
Top Bottom