Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah

Hawapo wa kutoa taarifa maana wote wamekwenda na maji pamoja na vifaa vyao na miili yao haitaonekana milele maana mabomu zaidi ya 100 yametumika kuhakikisha habaki mtu
shura ya maimam wa JF bado wanaendelea na kikao kwanza maana hawaamini kinachoendelea huko Lebnan (in Ummy mwiheri voice)
 
Na wao wanajua kabisa wakristu duniani kote wanawapenda, wanawatetea na kuwapigania kwa sababu wakristu ni wajanja, wamesoma Biblia vizuri sio kama wale wanaokariri vifungu na kwenda kwenye midahalo. Wakristu wanajua ukuu na utofauti wa Taifa la izrael walivyopewa na Mungu. Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo huo ni upendeleo maalumu Mungu mwenyewe kaamua. Hivyo ukijifanya unataka kupigana na izrael ,unapigana na Mungu na upo kwenye hatari ya kujiangamiza mwenyuwe. Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo. Ukitaka uwe salama mpende na mpiganie izrael
 

Pia waarabu hawawataki watu hawa HAMAS wapalestina na HEZBOLLAH wapalestina vikaragosi vya waIran kwa kuvamia nchi zao kama wakimbizi halafu wanasababisha wenyeji wao kupata kipigo kikali, sababu wakimbizi hawa hufanya mapinduzi baridi na kuweka mgambo mamluki vikaragosi vya wa Shia wa Iran.

Jiulize sababu ya wapalestina kutotakiwa nchi za kiarabu pamoja ya kuwa wamesoma sana kwa misaada ya UN na fedha za nchi za kiarabu lakini wakiingia ktk nchi za kiarabu wanaanza harakati zao dhidi ya tawala za kifalme na kidikteta za kiarabu lengo ni kuleta mapinduzi baridi ktk nchi zinaziwapokea kisha kuanzisha vita na Israel kupitia misaada ya Iran.


View: https://m.youtube.com/watch?v=Woj0d0bZJp0
 
Pelekeni ibada zenu za Sanamu makkha na Madina. Israeli wana Mungu wao unless mtapukutishwa kizazi na kizazi
 
Labda vita vya Syria (Hezbollah pia ilishiriki) huenda vimechangia kuidhoofisha Hezbollah.

Labda vita vya Syria (Hezbollah pia ilishiriki) huenda vimechangia kuidhoofisha Hezbollah.
Kushiriki kwake kwenye vita ya Syria hakujali dhohofisha bali kumeliimarisha kimbinu na kiuzoefu hasa kwa vita ya ardhini.

Hakuna uhakika wa kudhohofika kwasababu hizbullah imejizatiti kwa muda mrefu sana hivyo sidhani kama mashambulizi ya sasa ya Israel yanaweza kuwa yamelidhohofisha.

Mpaka sasa Hizbullah haijatangaza vita na Israel badala yake imekuwa ikifanya mashambulizi madogo wanayo yaita kujibu uchokozi.
Ndio maana nimesema wenda Hizbullah ina pokea shinikizo kutoka kwa serikali ya Lebanon kutotangaza vita dhidi ya Israel, au wenda hawajapokea amri kutoka Iran.
 
Pale wachambuzi wa kimataifa wanaoipenda Hezbollah tena kwa dhati wanakiri kwa uchungu kuwa Hezbollah imedhoofika lakini kuna member mmoja wa JF anaamini Hezbollah wapo vizuri tu🙄😀
 
Kuna mvaa kobazi mmoja alisema Nashrallah amewawekea mtego Israel ili akamate Spy wa Israel 😂😂😂😂

Kuna siku tuje tuongee live tujuane akili zetu
 
 

Attachments

  • IMG_5240.jpeg
    559.3 KB · Views: 2


Aiseeeeee, myahudi nyie atawamaliza hawa terrorists wote 🤭🤭🤔📌📌
 
Nashauri akapewe double ya bikra 144
 
Bado yule wa Irani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…