Rais samia apeleke JWTZ na TISS wakajifunze kazi kwa IDF
Kwani hakuna waislam wasaliti?Kwenye usaliti huo hawakosekani walebanon
wakristo
Seif al dini nae kauawa ile cabinet yote hezbollah imemalizwaKwanza mpa mda hu inawezekana kafa au hakufa hamna mtu ana dalili? Pili inawezekana Nasurlah na Hezbullah walisha mchora jasusi anaye toa infomation, wakamuambia tunaenda fanya meeting pale ili awafikishie ujumbe US hapo ndio wamnase tena yupo kwenye cabinet yao kabisa. Na uhakika [emoji817] in US ndio anapiga sio Israel. Wakisha piga wanamuambia Israel target tulio piga ni Nasurlah ndio Israel anajisifia yeye kapiga.
Si ndio ajabu wanadhani kumua Nasurlah ndio wameshinda vita, hawajui Hezbullah ni chama kuna viongozi wasaidizo na akifa Nasurlah mfano yuko Seif Al Dini au Naim Al Qaseem. Hata hao kama mmoja alikuwa na Nasurlah wako wengine wataendeleza kichapo kama kawaida huko Israel.
sio middle east tu mashia sio waislamu.View attachment 3109455
Why Washia middle east wanachukuliwa kuwa sio Waislam na kwa Nini Leo Waislam wamechinja sana Ngamia.
Kwenye hii ujumbe wa Hezbollah kuthibitisha kifo Cha Nashrallah.
Hakuna hata sehemu Moja wamemtaja Mohammad, badala yake kuna haya maneno.
Karbala, Al-Aali, Guardian of Muslims (Khamenei).
Israel jana imepigana vita ya Wasunni na Wakristo wote wa middle east, Huyu Nashrallah Askari wake wamepigana Yemen, Syria na Iraq wameua Wasunni wengi sana wamewatesa Wa Lebanon. What a day
Wewe Ajuza unafagilia UGAIDI uendelee?Inna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.
Mazayuni na magahribi na mapoyoyo wao wanafikiri ni Hollywood movie, akifa mbabe movie imekwisha.
Ndiyo kwanza wamejigeuza pweza kujipalilia mkaa wao wenywe.
Kama mnataka amani basi ombeni na salini USA na wamagharibi waache kuingilia siasa za mashariki ya kati.
Panzi mwenyewe.., wewe muunge mkono na kusapoti mayahudi lakini wanamtukana mungu wako na kumtemea mateAmini hivyo panzi wewe utakuwa salama. Jinsi mnavyoongeza dharau kwa Mnyahudi ndivyo mnavyozalisha matatizo
Ndio nauliza Allah naona hajibu hizo dua za wenzetu au nini Waisrael wana nguvu kuliko Allah?🤣 🤣 🤣 🤣 Mbona wanauliwa kama kuku
Mkuu kwa Kifupi tunasema wana intellijensia bora na intellijensia inajumuisha mambo mengi.
Katika hili lakujua adui gani yupo wapi na wakati gani wanatumia teknolojia ya GPS katika moja ya vifaa anavyomiliki adui kwa kudukua ama kupandikiziwa, wakishajua alipo kwa muda huo(in real time), wana confirm kwa kumtumia aidha CCTV facial recognition system, Kwa CCTV zilizotungwa mitaani ama kwa kutumia drone footage na satellite footage huku waki-track movement zake zote wakiwa control room/centre (hapa wanakua wana kuona live unavyotiza mitaa mbalimbali yaani kama wanaangalia mpira live kwenye kibanda umiza)
Wakishajihakikishia kua ni wewe ndio target wanayoitaka yanafanika maamuzi wakuache ama wakumalize na maamuzi hayo yatafikiwa endapo utakua katika mazingira ambayo hayataleta madhara kwa wasio husika.
Mambo ni mengi yana husika kama unataka kufahamu zaidi fuatilia hata spy movies
Ninapendekeza ukaitafute TV series moja inaitwa HOMELAND utajifunza mengi mno.
Hivi unajua kisa cha mzozo wa Israel na waarabu sio dini!?Hivi mimi huwa najiuliza hawa Waarabu wanashindwa kuishi kwa amani tu! Au mafundisho ya Mood yanawadanganya kwa maana aliwaelekeza Mazayuni ni maadui zao!
Hawana Technologia,hawana mawazo na niwafia dini wasiotumia akili!
Hao kuja kuelewana sio leo.Tukiacha masuala ya dini, wanayopitia wapalestina ndani ya Israeli ni kama waliyokuwa wanapitia watu weusi wa South Africa wakati wa utawala wa makaburu. Israeli inapaswa kwanza kuwatendea wapalestina kama raia wa kawaida.
Yaani ht Pete haikumlinda ,majini piaView attachment 3109543
inasemekana haya ni mabaki ya pete yake
Inna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.
Mazayuni na magahribi na mapoyoyo wao wanafikiri ni Hollywood movie, akifa mbabe movie imekwisha.
Ndiyo kwanza wamejigeuza pweza kujipalilia mkaa wao wenywe.
Aah wapi msikilize Netanyahu vzr ndo utaelewa wanajua wanachokofanyaPanzi mwenyewe.., wewe muunge mkono na kusapoti mayahudi lakini wanamtukana mungu wako na kumtemea mate
Bibi, Allah ameshindwa kumzuia Natanyahu....sijui itakuwaje sasa!!Se
Sema, la ilaha ila Allah.
Ibrahim akishawahi kupiga mataifa manne akiwa na Kikosi cha watu miatatu tuu.
Hata uwèpo wa Mayahudi Hapo haukuwa Jambo rahisi.
Alikuja Babu Yao Ibrahim, na Sasa wameunda taifa