Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah

***** wamefumua hadi pete ya kufugia majini
 
Well nimeelewa kwamba kumbe hata wale Waisrael wa Oct 07 nao siyo maiti,nao ni wahai kwa sababu walikufa kupitia njia ile ile ya kifo alichokiumba Mwenyezi Mungu.

Maana hawakuyeyuka wala kutoweka ghafla wasijulikane kilichowakuta.
Nimekuelewa
 
Ni vizur kujifariji
 
Hakuna mwili kuna majivu yake nayo kujua ninyeye ni ngumu.
All the best 🇮🇱
 
Kiko wapi? Tuliwaatahadharisha mapema
 
Vilibaki vingi hapo. Hiyo kama ni pete inaonekana imekatwa baadae kutoka kwenye kidole na kung'olewa madini yaliyokuwepo hapo juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…