residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Hao wanaokesha kwa waganga wakilala kwenye majeneza na makaburi ndio wamjue Mwenyezi Mungu!!??
Tanzania (especially WanaCCM), mtu anakuwa kiongozi si kwa Mwenyezi Mungu kupenda, bali ni kwa uwezo, jitihada na nguvu zao wenyewe.
Tanzania (especially WanaCCM), mtu anakuwa kiongozi si kwa Mwenyezi Mungu kupenda, bali ni kwa uwezo, jitihada na nguvu zao wenyewe.
Akili kubwa zinaongelea maendeleo,
Akili za kawaida zinaongelea matukio,
Akili mbovu (kama zako) zinaongelea watu.
Bila Mwenyezi mungu wasingepata nyadhifa hizo, kama unabisha kawaulize.