nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Ggr mwisho dodoma. Reli ya kati inatosha sana mwanza na kigomaWengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.
Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
Kama mambo yenyewe ndo haya tutampa lissu ukatibu tawala...Sasa happy maendeleo ya watu yako wapi na vitu vikwapi...nkajua akija atabomoa madaraja yoote...ah ah lissu bana mwengine atakwambia aongeze mshahara ah ahBodi ya mikopo wafanye marekebisho.
Fao la kujitoa.
Uhuru wa kujieleza
Marekebisho kwenye bima ya afya maana sa ivi dawa nyingi zimeondolewa
Katiba mpya ambayo utawala wa jiwe umeutupilia mbaliWengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.
Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
Swali lako liko biased. Ungeuliza ni nn kifanyike sio ni nn kitolewe. Swali la kitoto sana. Swali lako limeelemea upanfe mmoja. Nchi ni yetu wote so kiongozi yeyote ana mazuri na mabaya yake. So wananchi inatakiwa tuchambue mazuri tu kutoka kila pande na kujenga nchi.Wengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.
Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
Nadhani tulikaa sana kwenye hatua ya kutambaa. Ili tuanze kusimama tulihitaji hiyo "one man show " kidogo. Hii minyororo ya vikao kamati n.k. huchelewesha mambo na kupunguza fedha ambazo zingefanya mambo ya manufaa kwa raia wote.MImi binafsi kuna mambo ambayo sikubaliani kabisa na Raisi Magufuli, na mengi yamejikita katika style yake ya uongozi ya one man show ya yeye kuwa mihimili yote mitatu ya uongozii, ukiukwaji wa utawala wa sheria nchini, uvunjaji katiba wa makusudi, upendeleo na undugu katika nafasi za uongozi, ukiukwaji haki za binadamu na chuki dhidi ya upinzani na yeyote ambae anamkosoa au kutokubaliana nae hata ndani ya chama chake CCM. Lakini sijaona watu wakiongelea sana mambo haya. Nilitarajia haya ndio yatakuwa mambo Makuu ambayo yatawafanya watu watake kumchagua Lissu kumbadili Magufuli.
Sasa kama watu hawaoni haya mambo kuwa ni tatizo basi Raisi Magufuli sio tatizo kiasi hicho hapa Tanzania. KUmchagua Lissu ili aondoe Chato nadhani ni extreme sana. Suala la pato la kujitoa lina mantiki. Zaidi ya hapo sijaona bado mambo ya msingi.
😂😂😂😂Chato airport ifutwe.
Liwe shamba na ipandwe bangi ili kusaidia Wana chato.
Kamuulize kwanza Zitto, kwa nini alikuwa anashadadia hili suala.Arejeshe fao la kujitoa. Fao hili ni muhimu sana kwa ukuaji wa uchumi wa nchi. Kijana akiacha kazi,au akiachishwa au kampuni yake ikifunga biashara akipewa fedha yake aliyoichanga kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii,Kijana huyu ataanzisha biashara, ataendelea kjlipa kodi,ataweza kuajiri watu wawili au watatu.
bahati mbaya hatoshinda sasa.Wengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.
Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
Kufungua line za simu zilizofungiwa na makampuni ya simu mpaka NIDA watoe vitambulisho vya taifa kwa kila mtanzania. Kurejesha nyumba za serikali na za mashirika ya uma zilizouzwa. Yeye raisi atangaze hadharani kwamba haungi mkono mashoga .bahati mbaya hatoshinda sasa.
AUNDE TUME ITEGUE KITENDAWILI TUJUE WASIOJULIKANA N BINADAMU AU MARUHANI MAJINI?
Je AZORY GWANDA,BEN SAA NANE WAKO WAPI?
NAN ALIMSHAMBULIA TUndu LISSU
NI KINA NAN WAlIGAWANA BILION MOJA YA MO?
NAN ALIMTEKA ROMA MKATOLIKI
WASANII NA VIONGOZ WA DINI WASIRUHUSIWE KUSHIRIK MIKUTANO YA SIASA?
MCHAKATO WA KATIBA MPYA UANZE MARA MOJA
Ifutwe hii ije katiba mpya!Nayo ifutwe?
Anaweza ashinde ila asitangazwe kushindabahati mbaya hatoshinda sasa.
Nakubaliana na wewe 100%. Tatizo langu kubwa na Magufuli ni kuonea wapinzani na ukosefu wa haki za binadamu kutia ndani uonevu wa polisi na ku-endorse Wsiojulikana. UKkondoa haya he is a very aggressive leader for development. Wasiojulikana amesitisha, labda kwa pressure ya USA, kwa hiyo akiwa reasonable kwa upinzani basi ni kiongozi mzalendo sana.Nadhani tulikaa sana kwenye hatua ya kutambaa. Ili tuanze kusimama tulihitaji hiyo "one man show " kidogo. Hii minyororo ya vikao kamati n.k. huchelewesha mambo na kupunguza fedha ambazo zingefanya mambo ya manufaa kwa raia wote.
Nini kitolewe na nini kifanyike vinashabihiana. KUna watu wanamchukia Magufuli kutokana na aliyotenda, ndio maana kuna element ya nini kikomeshwe. Kama kila aliyotenda yanakubalika, kwa nini wamchukie?Swali lako liko biased. Ungeuliza ni nn kifanyike sio ni nn kitolewe. Swali la kitoto sana. Swali lako limeelemea upanfe mmoja. Nchi ni yetu wote so kiongozi yeyote ana mazuri na mabaya yake. So wananchi inatakiwa tuchambue mazuri tu kutoka kila pande na kujenga nchi.
Tatizo la huu mradi ni nini hadi usimamishwe?mradi wa bwawa la umeme austopishe kwanza, amflisi magufuli na kumfunga HAPO MOYO WANGU UTAKUWA N.A. MATUMAINI TENA
Usijisumbue hawezi kushinda kamweWengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.
Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
Twende nao taratibu Mkuu. Siku zote ndivyo inavyokuwa, kuna wa kuelewa na wa kutoelewa, hata jambo rahisi sana.Nadhani watu wengi hawajaelewa swali