ITV siyo sahihi kutoa sauti ya Hotuba ya Tundu Lissu katika Mkutano wa ACT-Wazalendo

Nadhan tungewapa nafas ya wao kujieleza kipi kilitokea na kwa nin kabla hatujatoa hukumu ya kibabe km tunavyotoaga.
 
Hata wewe unatumia cha Mexence Mello mkuu.

Tafuta chako!

Huwezi ukanilinganisha mimi na chama, mimi sina ushindani na yeyote. Lazima uelewe ili kupambana na mshindani wako ni lazima ujitahidi kuwa na vitu muhimu vinavyokusaidia kupambana na ushindani. Vyama vyetu vingi havijitengenezei nyenzo zake na ndio maana vinakuwa na wakati mgumu maana bado vinategemea nyenzo za mshindani kama vile, majengo, vyombo ya habari na vingine! yatupasa tuelewe hili.
 
Kila chombo cha habari kinachotumika kitavuna kinachopanda baada ya ccm kung'olewa hapo octoba .Wasije kumlilia mtu
 
Ndo maana nasema Membe ni Janja ya CCM kuumaliza upinzani tena kama walivyofanya kwa Lowasa ndo maana ACT mikutano yao hata Vyombo vya habari vinaoneshaa..!! Lakini Chadema hawawezi sababu watanyooshwa
Ina make sense kwa umbali
 
Ndo maana nasema Membe ni Janja ya CCM kuumaliza upinzani tena kama walivyofanya kwa Lowasa ndo maana ACT mikutano yao hata Vyombo vya habari vinaoneshaa..!! Lakini Chadema hawawezi sababu watanyooshwa
We jamaa una akili sana aisee na naunga mkono hoja kwa 100%.

Halafu watu wenye structure ya kichwa kama cha huyo jamaa hua hawaaminiki hata kidogo,hebu tafute picha ya huyo jamaa angalia ile kichwa ilivyokaa then ulete majibu hapa jukwaani.
 
We jamaa una akili sana aisee na naunga mkono hoja kwa 100%.

Halafu watu wenye structure ya kichwa kama cha huyo jamaa hua hawaaminiki hata kidogo,hebu tafute picha ya huyo jamaa angalia ile kichwa ilivyokaa then ulete majibu hapa jukwaani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mzee umeua!
 
Tangu mzee wetu Mengi alipo ondoka basi na ITV wameigeuza ITV kuwa chombo cha propaganda cha ccm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…