ITV siyo sahihi kutoa sauti ya Hotuba ya Tundu Lissu katika Mkutano wa ACT-Wazalendo

Duh! Labda wakafungulie account Nje ya nchi ambapo hiyo sheria haifanyi kazi. Kisha waendelee kushare link na subscribers.
Mpaka kufika hatua ya kufanya hivyo Basi tukubali tumerudi zama za masokwe!! Na huyo aliyesababisha ataitwa malaika mkuu
 
Kwenye Redio One walichomoa betri alipoanza kuongea.
 
Hayo ni matokeo ya kuwepo kwa sheria mbovu zinazohusu vyombo vya habari.
 
Nadhani ulisikiliza Wenje tunakoelekea na kuwasusia pis
 
Acha Ujinga kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa tatizo Hilo limejitokeza leo tangu ITV ianze kufanya kazi.

Kama supersport TVs huwa zinakata signal mechi inaendelea na bado tunaamini Ni matatizo ya kiufundi sembuse kwa Wana siasa uchwara Hawa wa kiafrika.
 
Anza kujiandalia nauli ya kuikimbia nchi kwani baada ya October watanzania kumchagua mh Lissu, itabidi ukimbilie Burundi kwenu.
Nani anataka kufokewa namna hiyo.

Yaani device yako halafu mtu anakufokea, si unazima tu.

Ndio maana tunasema Lisu sio presidential material, abakie kuwa mwanaharakati tu.
 
Tangu Mzee Reggy aondoke ITV imekuwa sio supper brand tena labda sasa ni supper vitoko..
Sasa hivi kuna watangazaji kama wawili hivi nadhani wameahidiwa kupewa uteuzi mmoja ni mwanamama na mwingine ni dume.

Hao wanakera sana na mmoja wao leo yupo kwenye mkutano wa ACT
 
Anza kujiandalia nauli ya kuikimbia nchi kwani baada ya October watanzania kumchagua mh Lissu, itabidi ukimbilie Burundi kwenu.
Viongozi karibu wote wa Chadema huwa wanaongea kwa jazba Sana.

Halafu mnajazana ujinga kuwa ndio akili kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…