Jaji Mgeta: Niliumizwa na Waziri Mkuu kuchana Hukumu ya kesi niliyotoa kuwa kashindwa

Huyu maza amshukuru mwendazake kumzawadia Ubunge, ila akitaka kuaibika arudi tena kichwa kichwa, mbeleko this time haipo.
 
Ulitegemea achukue hatua gani yeye kama jaji?
Jaji akishatoa hukumu kinachofuata ni mamlaka zingine kuchukua hatua
 
Ulitegemea achukue hatua gani yeye kama jaji?
Jaji akishatoa hukumu kinachofuata ni mamlaka zingine kuchukua hatua
Apeleke unafiki wake huko.
Amestaafu kwa fedheha, ni bora angekaa kimya kama alivyo fanya mwanzoni kuliko kuonyesha udhaifu wake hadharani.coward!!!
 
Apeleke unafiki wake huko.
Amestaafu kwa fedheha, ni bora angekaa kimya kama alivyo fanya mwanzoni kuliko kuonyesha udhaifu wake hadharani.coward!!!
Ulitaka aseme wakati wa Magufuli halafu unajuwa kingefuata nini? Angeweza kutekwa, angeweza kufunguliwa kesi ya utakatishaji fedha au angeweza hata kuuliwa.

Naunga mkono msimamo wa Jaji Mgeta
 
Ulitaka aseme wakati wa Magufuli halafu unajuwa kingefuata nini? Angeweza kutekwa, angeweza kufunguliwa kesi ya utakatishaji fedha au angeweza hata kuuliwa.

Naunga mkono msimamo wa Jaji Mgeta

Jaji wa aina hii inaonekana hata hukumu zake hazikuwa za Haki, mashaka matupu kama kweli alikuwa anatoa hukumu za haki!!!
 
Ukituliza akili kidogo utaona mantiki ya aliyoyasema jaji, lakini najua wewe ni kichwa maji huwezi elewa chochote.

Mfumo wa uendeshaji serikali uliopo sasa ndio unaoruhusu hali hiyo iwepo. Katiba haisimamii hayo unayoyaeleza wewe hapa.

Kama huoni kwamba ni taratibu hizo hizo zinazovuruga kila kitu kwa sasa, na kumfanya kila mtu kuwa kama mnafiki vile hata bila kutaka, sababu ni hiyo hiyo ya kuwa na udhaifu katika Katiba.

Huyu Jaji angekaza shingo kama unavyojigamba hapa, wakati huu asingekuwa amefika popote. Leo hii asingepata hata nafasi ya kukumbusha uovu/ubovu tulionao katika mfumo wetu wa uendeshaji nchi.

Kwa bahati nzuri, pamoja na ubovu huo, serikali iliweza kuona upungufu wake, na kwa bahati nzur pia na Jaji naye kawa hakupoteza nafasi yake kwa kukurupuka kama unavyoshauri wewe hapa.

Dawa sahihi ni kuukomesha mfumo huo mbaya, ili uruhusu kila mtu kufanya kazi huru bila kuogopa yatakayomtokea.
 
Hivi wewe una umri gani maana unaongea kama umepata ganzi ya ubongo hivi, aliyekuambia familia inataka ikae na Baba ama Mama masaa 24 bila ya kufanya kazi ni nani?

Wastaafu wengi wanapokuwa nje ya utumishi hujihisi upweke na wengine wasio na shughuli za kufanya hufariki kabisa.
 
Sa Kama Kiongozi kadharau mahakama na hakuna kitu kafanywa wanataka wana nchi tupate wapi Imani na mahakama?
Tanzania Mahakama haijawahi kuwa Huru,Nchi huo aliyehuru ni mwanasiasa, anatunga sheria na bado anaamua namna ya kutumia hiyo sheria.
 
Kaingiliwa uhuru wake badala ya kuchukua hatua wakati ule kuonyesha kuchukuzwa na jambo Hilo badala yake anakuja kutueleza Leo hii anapo staafu!!!!
Huu ni uoga na unafiki ambao haupaswi kuigwa.

Unafiki mtupu
Sheria inasemaje kwa mfano Raia wa kawaida akichana hiyo karatasi ya hukumu iliyotolewa dhidi yake ?
 
Kabisa
 
yaani munavyojifanya wajuaji mpaka munachosha.

Hivi nyinyi huwa hamufanyi analysis ya nchi za kiafrika zinavyotawala hata mukatoa comments hizo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…