Jaji Mutungi: Sijazuia mikutano ya ndani ya kisiasa ya vyama

Jaji Mutungi: Sijazuia mikutano ya ndani ya kisiasa ya vyama

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania Jaji Francis Mutungi amesema kauli yake aliyoitoa wali katika mkutano wake na waandishi wa habari Dodoma ilipotoshwa

Amesema hajazuia mikutano ya ndani ya vyama vya siasa bali ameshauri vyama vya siasa kujizuia kufanya mikutano ya ndani kwa wakati huu ambao kumekuwa na mivutano kati ya vyama na polisi

Jaji Mutungi amekiri kuwa na mvutano baina ya Jeshi la Polisi na Vyama vya siasa vinapoazimia kufanya makongamano sual ambalo wanalitafutia ufumbuzi wa kina

View attachment 1928083
Mbona halishauri Jeshi la POLICE wasitishe mazuio ambayo ni kinyume cha Sheria badala yake anawazuia wahanga wa vitendo hivyo ndiyo wajizuie kufanya shughuli halali za kisiasa zilizopo kisheria?Huyu ni Judge wa aina gani anayeshindwa kukemea uvunjifu wa Sheria aliyoapa kuilinda?
CCM imechoka na haina pumzi tena,tujiepushe nayo.A dying Horse...
 
Halafu eti ni jaji hawa watu TAL alishawasema sema sana hawa watu wakishapewa hivi vyeo kwisha kazi, akili yotee wanampa aliyewateua.
 
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania Jaji Francis Mutungi amesema kauli yake aliyoitoa wali katika mkutano wake na waandishi wa habari Dodoma ilipotoshwa

Amesema hajazuia mikutano ya ndani ya vyama vya siasa bali ameshauri vyama vya siasa kujizuia kufanya mikutano ya ndani kwa wakati huu ambao kumekuwa na mivutano kati ya vyama na polisi

Jaji Mutungi amekiri kuwa na mvutano baina ya Jeshi la Polisi na Vyama vya siasa vinapoazimia kufanya makongamano sual ambalo wanalitafutia ufumbuzi wa kina

View attachment 1928083
Hivi hawa viongozi wa serikali wakoje lakini...?

Kwanini hawawi specific wanapotoa taarifa kwa ajili ya kuwa consumed na umma...?

Hii nayo haijafanunua lolote. Imeongeza utata juu ya utata...

Eti taarifa hii inasema hakuzuia vyama kufanya vikao na mikutano ya ndani ila "wajizuie kwa sasa...."

Wajizuie kwa yapi kwa sasa na yapi kwa sasa yaendelee..??

Taarifa haifafanui na haisemi lolote. Yaani utata juu ya utata, confusion juu ya confusion...!!
 
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania Jaji Francis Mutungi amesema kauli yake aliyoitoa wali katika mkutano wake na waandishi wa habari Dodoma ilipotoshwa

Amesema hajazuia mikutano ya ndani ya vyama vya siasa bali ameshauri vyama vya siasa kujizuia kufanya mikutano ya ndani kwa wakati huu ambao kumekuwa na mivutano kati ya vyama na polisi

Jaji Mutungi amekiri kuwa na mvutano baina ya Jeshi la Polisi na Vyama vya siasa vinapoazimia kufanya makongamano sual ambalo wanalitafutia ufumbuzi wa kina

View attachment 1928083
Hivi huyu mutungi ni jaji kweli au kuna mahali tumeruka step moja
 
Mbona halishauri Jeshi la POLICE wasitishe mazuio ambayo ni kinyume cha Sheria badala yake anawazuia wahanga wa vitendo hivyo ndiyo wajizuie kufanya shughuli halali za kisiasa zilizopo kisheria?Huyu ni Judge wa aina gani anayeshindwa kukemea uvunjifu wa Sheria aliyoapa kuilinda?
CCM imechoka na haina pumzi tena,tujiepushe nayo.A dying Horse...

Anatumika ku justify the end kama means
 
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania Jaji Francis Mutungi amesema kauli yake aliyoitoa wali katika mkutano wake na waandishi wa habari Dodoma ilipotoshwa

Amesema hajazuia mikutano ya ndani ya vyama vya siasa bali ameshauri vyama vya siasa kujizuia kufanya mikutano ya ndani kwa wakati huu ambao kumekuwa na mivutano kati ya vyama na polisi

Jaji Mutungi amekiri kuwa na mvutano baina ya Jeshi la Polisi na Vyama vya siasa vinapoazimia kufanya makongamano sual ambalo wanalitafutia ufumbuzi wa kina

View attachment 1928083

Maajabu ya Tanzania unaweka mkutano kujulisha watu kuwa utafanya mkutano lakini hujui mkutano huo utafanyika lini. Lakini utafanya mkutano mwingine ikijua siku maalumu ya huo mkutano😂👨👨
 
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania Jaji Francis Mutungi amesema kauli yake aliyoitoa wali katika mkutano wake na waandishi wa habari Dodoma ilipotoshwa

Amesema hajazuia mikutano ya ndani ya vyama vya siasa bali ameshauri vyama vya siasa kujizuia kufanya mikutano ya ndani kwa wakati huu ambao kumekuwa na mivutano kati ya vyama na polisi

Jaji Mutungi amekiri kuwa na mvutano baina ya Jeshi la Polisi na Vyama vya siasa vinapoazimia kufanya makongamano sual ambalo wanalitafutia ufumbuzi wa kina

View attachment 1928083
Sio tu hajazuia

Hata huo uwezo wa kuzuia HANAAAA.


Hivyo akae kwa kutulia
 
[emoji911][emoji911]RAMANI RAMANI RAMANI[emoji911][emoji911]

■TUNACHORA RAMANI KWA BEI NAFUU SANA
■TUNAKADILIA GHARAMA ZA UJENZI
■TUNA SHAURI AINA YA UJENZI

◇HATUA(STEPS)
● Andaa hitaji lako la idadi ya vyumba
● Tunakuandalia sketch y mpangilio,mpk utapo ridhika
● Tupe size ya kiwanja chako
● Lipia advance ya kazi
● Tutachora kwa uaminifu na kuipiga mihuri tayar kwa kibali cha unenzi
● Tunakufanyia delivery ya kazi yako kwa dsm ,mikoani tuna tuma pia ,

utamalizia gharam wakati wa makabithiano wa kazi

Mawasiliano whats up cont#0768160754 au #0776590555
KARIBU TUKUHUDUMIEView attachment 1928253
Acha kujidhalilisha wewe ngedere
 
Kuna
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania Jaji Francis Mutungi amesema kauli yake aliyoitoa wali katika mkutano wake na waandishi wa habari Dodoma ilipotoshwa

Amesema hajazuia mikutano ya ndani ya vyama vya siasa bali ameshauri vyama vya siasa kujizuia kufanya mikutano ya ndani kwa wakati huu ambao kumekuwa na mivutano kati ya vyama na polisi

Jaji Mutungi amekiri kuwa na mvutano baina ya Jeshi la Polisi na Vyama vya siasa vinapoazimia kufanya makongamano sual ambalo wanalitafutia ufumbuzi wa kina

View attachment 1928083
Ukitaka kuwa msajili unasomea nini wakuu????
 
Kilicho dhahiri ni kuwa tina jeshi la polisi ambalo ni kama genge la wahuni. Haliheshimu sheria, halitumii weledi wala halina maarifa zaidi ya maguvu. Ni jeshi la kigaidi.

Hili jeshi ni la kukemewa, kulainiwa na kuonywa. Unataka kikao na mhalifu cha nini? Mhalifu anachostahili ni kuadhibiwa, hastihili kukaa kwenye kikao.
 
Mutungi ni mhuni wa kawaida sana. Hana sifa za ujaji. Hajui hata anasema nini. Ni mtu wa kupuuzwa.
 
Jaji ambaye hana kumbukumbu hata ya matamshi yake mwenyewe, Jana tu kasema hakuna sintofahamu, leo anasema tuwe wavumilivu wakati jitihada zinafanyika kuwa na kikao kitakachoondoa sintofahamu iliyopo, duh!
 
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania Jaji Francis Mutungi amesema kauli yake aliyoitoa wali katika mkutano wake na waandishi wa habari Dodoma ilipotoshwa

Amesema hajazuia mikutano ya ndani ya vyama vya siasa bali ameshauri vyama vya siasa kujizuia kufanya mikutano ya ndani kwa wakati huu ambao kumekuwa na mivutano kati ya vyama na polisi

Jaji Mutungi amekiri kuwa na mvutano baina ya Jeshi la Polisi na Vyama vya siasa vinapoazimia kufanya makongamano sual ambalo wanalitafutia ufumbuzi wa kina

Duh hiyo sahihi niya mwendo kasi.
 
Yaani anashauri vyama visitumie haki yao ya kikatiba kisa tu wahuni wachache wa polisi hawajui wajibu wao?
Polisi wana matatizo sana kwenye hii nchi. Wenzao wa JWTZ, JKT, Zima Moto, Mgambo, nk. Wametulia tu. Hawana shida na mtu. Ila siyo wao! Kutwa ni kutafuta tu kiki na kujitutumua.
 
Back
Top Bottom