Jakaya Kikwete aliwezaje kufanya mambo makubwa kwa wakati mmoja?

Labda nikupe mfano mwingine.

Ummy Mwalimu alikuwa dhaifu ila huyu Gwajima ni takataka kabisaa.
Kila binadamu ni dhaifu .....that's y viongoz hufanya majukumu kwa muongozo wa katiba
 
Mkuu hapo
......umemaliza kila kitu
 
Kila binadamu ni dhaifu .....that's y viongoz hufanya majukumu kwa muongozo wa katiba
Magu siyo dhaifu ila ni takataka kabisaa. Utakosoa kipi uache kipi. Ndio maana wenye akili timamu wamebaki kuduwaa tu.

Kama nchi tungekuwa tuna safari ya kwenda Mwanza lakini JK akawa anaendesha ndivyo sivyo tungeweza kumkosoa namba ya uendeshaji wake ili arekebishe.

Ila huyu wa sasa badala ya kutupeleka Mwanza, yeye anatupeleka Zanzibar na hataki kukosololewa kuhusu hilo wala kuambiwa chochote. Kuna waliopotea hatujui walipo, kuna waliokufa, waliodhalilishwa na kuna walionyeshewa mvua ya risasi 32 mchana kweupee.
 

Mkuu naona kama hili la kuomba muda wake yule Chakubanga uishe aondoke ulisahau. Mimi naamini ndio kafika pale.
Kwanza anakipenda kile cheo, ile kuzungukwa zungukwa, kunyenyekewa na wazalendo kwake anaona fahari sana. Halafu haamini kama akitoka yeye ataekuja kama ataweza kufanya aliyoyafanya yeye. Halafu ukumbuke kuna Binaadam wanataka kutia Mbao Barabarani kuomba aongezewe muda.
Yule bado yupo sana.
 
Kwenye nyuzi za kutoa huruma kama hizi, zijui life ngumu, uwezi kutana na comment ya done kiduku lilo.
 
Umesahau wapinzani aliwaachia pia waongee wanavyotaka
 
Pata gharama zinatumika;
kujenga Chato
Kununua ndege
Sgr n.k.

Angalia jinsi tenda na miradi ya ujenzi inavyoendeshwa awamu hii;
Tanroads
Suma jkt
Tba

Utaona tofauti ya uongozi unaotawanya rasilimali za taifa kwa wote na ule unaoelekeza rasilimali za taifa eneo moja.
Utaona uongozi unaothamini mchango wa sekta binafsi na hivyo wengi kufaidika na tenda/miradi, na ule unaopendelea taasisi fulani, na sekta binafsi kusahauliwa.
 
Kati ya mambo ambayo hayaleti tofauti kati ya awamu ya 4 na ya 5, ni rushwa. Ipo pale pale.
 
Kwa tafsiri rahisi inaonesha wewe jamaa ni choko mitaa flani,haiwezekani uwe unaokota elfu 5,10,20,50 hata laki yani wewr tu ndio uokote hizo ela....kuna watu kwa makusudi kabisa walikuwa wanakutegeshea hizo ela ukiinama kuziokota wanakupa nao hapo hapo juu kwa juu
 
You are the captivity of your own negativities!Hukuona jema hata robo!?Mungu akurehemu.
 
Machoko ao na wauza nyapu.

Kuna watu mjini hapa kazi yao kusifia watu ili wapate shibe yao na ndio hao hao wamekamata social networks.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…