Jakaya Kikwete: Hayati Rais Mwinyi ndiye aliyenifikisha hapa nilipo leo

Ndiyo maana hata Rais Kagame wa Rwanda alimdharau na mpaka leo bado anamdharau ila nashangaa kuna Mizuzu unamsikia Kutwa na Minafiki.
Hawamjui huyu jamaa kuwa ndio kailostisha bongo. Kila mradi anautaka. Motto wake wazir,na mbunge, mke mbunge. Kuna mengi sana ambayo sio mazuri ya huyu jamaa.
 
Ndiyo maana hata Rais Kagame wa Rwanda alimdharau na mpaka leo bado anamdharau ila nashangaa kuna Mizuzu unamsikia Kutwa na Minafiki.
Kuna busta wasipokua nazo jamaa wa upande wa bahari hawajiamini kabisa, ukidhibiti vidude anavyotupiwa Mayele na yanga wengi weupe confidence 0
 
Kumbe ukiwa kijijini kutoboa ni kazi sn
 
Hapo kwenye kuwa bright nakataa kwani 99% ya aliosoma nao hasa Chuo Kikuu wanasema alikuwa Mchovu kama akina Fred Michael na Papa Job wa Simba SC.


GENTAMYCINE nikikutana na Intelligent JamiiForums Members kama Wewe huwa nasikia Furaha mno kwani Mijuha ( Lumpens ) ndiyo Imetamalaki Kutwa hapa.

Ndiyo maana hata Rais Kagame wa Rwanda alimdharau na mpaka leo bado anamdharau ila nashangaa kuna Mizuzu unamsikia Kutwa na Minafiki.

Jiwe alikua ni Jiwe ,,,kanda ya ziwa haijawahi kutoa rais kimeo
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza......lala tu bwana mdogo.
Hawamjui huyu jamaa kuwa ndio kailostisha bongo. Kila mradi anautaka. Motto wake wazir,na mbunge, mke mbunge. Kuna mengi sana ambayo sio mazuri ya huyu jamaa.
Haters wa JK kazi mnayo; mtamzushia na mtasema kila kitu ila jamaa, kwa uwezo wa Mungu, mtamuona anadunda tu mamamamamamae zenu.
 
Mwinyi sidhani kama angeweza msingizia kikwete maneno ya namna hiyo..... Sidhani.
 
JK anazeeka vibaya yeye alikuwa katibu wa ccm wilaya ya nachingwea na sio masasi na ndiko alikutana na salma wakati akisoma chuo cha ualimu ttc
 
Hakumtoa Nachingwea, alimteua akiwa katibu wa ccm wilaya ya Masasi. Ifatilie hata hotuba ya JK kwenye mazishi ya mkapa pale Lupaso utasikia mwenye akisimulia hilo.
 
JK anazeeka vibaya yeye alikuwa katibu wa ccm wilaya ya nachingwea na sio masasi na ndiko alikutana na salma wakati akisoma chuo cha ualimu ttc
Ni kweli aliwahi kiwa katibu wa ccm Nachingwea. Na ni kweli ni Nachingwea ambako alikutana na mama Salma. Lakini alihamishwa Nachingwea na kuhamia Masasi. Na uteuzi aliupata akiwa Masasi mkuu. JK hajakosea hapo.
 
Utakua ulizaliwa pre mature kabla ya siku zako! Kikwete hajawahi fanya kazi Masasi! Niambie ni mwaka gani kafanya kazi Masasi??

Kikwete kafanya kazi Lindi Nachingwea! Uncircumcised baboon kabisa wewe!
Hamna haja ya kutukanana. JK amefanya kazi Masasi ambako alihamia kutokea Nachingwea. Na aliteuliwa kuwa mbunge akiwa katibu wa CCM wa wilaya ua Masasi mbona hilo liko wazi mkuu!!
 
Bora angeachwa tuu maana aliidhoofisha nchi sana alafu akalegea akatuletea kamgaidi kumrithi...
 
Kazi kweli kweli !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…