Biblia inasema kamwe usiweke matumanini yako kwa binadamu.Wa kumtumainia ni Mungu pekee,ukifanya hivi usaliti,kukataliwa na kudharauliwa hakutakuumiza moyo bali utaendelea na maisha yako kwa amani.Ila kinyume chake utaumia moyo maisha yako yote!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana wasiwasi. Anajaribu kujisafisha mbele ya watu.Pengine ni kweli lakini kwanini aseme sasa na si wakati Wote EL akiwa Hai.. Moyo wa mtu ni kiza kinene sana
Sent using Jamii Forums mobile app
hangaika kukuibia tena? yule alishajitafuta akajipata kitambo mzee wangu.ila mzee aisee ana moyo. ningekuwa mimi hata kuongea nisingeongea. tuwe wakweli. lowasa alipiga sana kampeni mzee awe rais, ila sikuile alipoachia ngazi imeweka picha kubwa sana. sitaki kuendelea kusema, ila nimalize kwa kusema pengine ulikuwa mpango wa Mungu manake tungetawaliwa na lowasa leo hii aisee tungekuwa tumeibiwa pesa hadi nchi ingekuwa masikini kuliko ilivyo. thanks JK.
Hatumsemi nani huyo mbwa wa chato kuna siku watanzania walifurahi kama lilivokufa sijui linaishije na bensananeWakati wa kampeni ya urais 2015 Kinana,Bulembo,Nape na Makamba ndiyo wamezunguka nchi nzima kumpigia kampeni Magu lakini alivyopata urais baadaye aliwageuka mbona hamsemi mnamsimanga JK tu! Acheni unafiki jitu likiwa jizi huwezi tu kulilinda kisa eti ni rafiki yako.
Yaani mkuu kuna mijitu ipo lakini mijinga sana, ndo maana JK huwa anaamua kuwaonyesha dole la kati tu basi na kuendelea na ha,sini zake!JK mwenyewe anakwambia tuliendelea kuwa marafiki, wewe Mtanzania uko Tukuyu huko eti unamuita JK ni mnafiki. Hahahhha
vizee vya kiislam vinafki sana.Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ametoa kauli hiyo baada ya kufika kutoa pole ya Msiba nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa aliyefariki dunia Februari 10, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Moyo (JKCI).
Akizungumzia kiongozi huyo, Kikwete amesema Mwaka 2005 tulipoteuliwa kugombea Urais, mwenzangu akaja kuwa Waziri Mkuu tukapata changamoto katikati mwenzangu ikabidi akae pembeni, tukaendelea kuwa pamoja kuwa marafiki na kushirikiana kwa kila linalowezekana"
Kikwete ameongeza kuwa Lowassa ametoa mchango mkubwa katika taifa na yaliyotokea ni changamoto katika maisha lakini hayafuti mema na mazuri aliyofanya kwaajili ya nchi.
Kha! Yaani nisubiri chakula kwa shemeji?nina karibia kuitwa babu kijana, sipo kwenye kujitafuta.Umepata lunch mjomba, au shemeji yako hajarudi leo?
Yeye alivyomaliza miaka kumi yake kulikuwa na shida gani yeye akae pembeni amwachie Lowassa apambane?Siyo unafki ndio siasa mmoja bahati mbaya kashinda na mwingine kashindwa, lowasa angemtoa kikwete si wote tungesema kikwete dhaifu kama lema alivyokuwa akimwita one term president,
Umejuaje hili ?...Marehemu alikuambia?..Hilo la urafiki sio kweli, uliishia 2015.
Hakumwagia sifa acha uongoFikiria Tundu Antipas Lisu alivyommwagia Sifa Shujaa Magufuli kule Chato hadi akaomba kwenda kaburini 😀
So unasema ikabidi awe jk ili tuibiwe kidogo?ila mzee aisee ana moyo. ningekuwa mimi hata kuongea nisingeongea. tuwe wakweli. lowasa alipiga sana kampeni mzee awe rais, ila sikuile alipoachia ngazi imeweka picha kubwa sana. sitaki kuendelea kusema, ila nimalize kwa kusema pengine ulikuwa mpango wa Mungu manake tungetawaliwa na lowasa leo hii aisee tungekuwa tumeibiwa pesa hadi nchi ingekuwa masikini kuliko ilivyo. thanks JK.
Kama unakumbuka vizuri jk wakati raisi huyu ndugu yake alikuwa anasuka timu ya kumtoa kwa term ya kwanza , wewe unaona ilikuwa sawa? Kwenye siasa alichokipata lowasa ni ajali za kisiasa mmoja akishinda mwingine lazima ashindweYeye alivyomaliza miaka kumi yake kulikuwa na shida gani yeye akae pembeni amwachie Lowassa apambane?
Makubaliano huwa yanakuwepo. Kama Blair na Brown, Ruto na Uhuru, JK na Lowassa. Uhuru na JK ni ubinafsi, wivu, husuda uliwaongoza.
🤣🤣🤣🤣Kha! Yaani nisubiri chakula kwa shemeji?nina karibia kuitwa babu kijana, sipo kwenye kujitafuta.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Huwa najiuliza Sana Urafiki wa Yesu na Shetani ulianzia Wapi hadi wote wakapanda Mlimani na kujadiliana kuhusu Dunia na Vilivyomo ndani yake
Mwenye majawabu tafadhali [emoji209]
Mzee namchukia huyu!...
Bwashee Dunia ina mambo Mengi Sana hiiNaona umeamua kuchochea kuni mbichi kwenye mafiga yote moto utadumu week nzima huu.