Jakaya Kikwete: Lowassa alipopata changamoto na kukaa pembeni, tuliendelea kuwa Marafiki

Biblia inasema kamwe usiweke matumanini yako kwa binadamu.Wa kumtumainia ni Mungu pekee,ukifanya hivi usaliti,kukataliwa na kudharauliwa hakutakuumiza moyo bali utaendelea na maisha yako kwa amani.Ila kinyume chake utaumia moyo maisha yako yote!
 
mwenye hela ana
hangaika kukuibia tena? yule alishajitafuta akajipata kitambo mzee wangu.
 
Hatumsemi nani huyo mbwa wa chato kuna siku watanzania walifurahi kama lilivokufa sijui linaishije na bensanane
 
vizee vya kiislam vinafki sana.
 
Siyo unafki ndio siasa mmoja bahati mbaya kashinda na mwingine kashindwa, lowasa angemtoa kikwete si wote tungesema kikwete dhaifu kama lema alivyokuwa akimwita one term president,
Yeye alivyomaliza miaka kumi yake kulikuwa na shida gani yeye akae pembeni amwachie Lowassa apambane?

Makubaliano huwa yanakuwepo. Kama Blair na Brown, Ruto na Uhuru, JK na Lowassa. Uhuru na JK ni ubinafsi, wivu, husuda uliwaongoza.
 
Kikwete hana lolote na ni mnafiki sana tena msaliti mkubwa. Yeye ndiye aliyeleta dili ya Richmond halafu akamuacha mwenzake solemba na tena mwenzake alipotaka kugombea urais ndio akammaliza kabisa.

Sijui anafikiri yeye ataishi milele. Very hopeless.
 
So unasema ikabidi awe jk ili tuibiwe kidogo?
 
Yeye alivyomaliza miaka kumi yake kulikuwa na shida gani yeye akae pembeni amwachie Lowassa apambane?

Makubaliano huwa yanakuwepo. Kama Blair na Brown, Ruto na Uhuru, JK na Lowassa. Uhuru na JK ni ubinafsi, wivu, husuda uliwaongoza.
Kama unakumbuka vizuri jk wakati raisi huyu ndugu yake alikuwa anasuka timu ya kumtoa kwa term ya kwanza , wewe unaona ilikuwa sawa? Kwenye siasa alichokipata lowasa ni ajali za kisiasa mmoja akishinda mwingine lazima ashindwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…