Jakaya Kikwete: Nilifundishwa kuishi na viongozi wenzangu, upendo ndio kila kitu

Mtandao unaanza kwa kasi kujijenga upya. Naona 2025 ni mwaka wa maamuzi kwa wanamtandao tena. Kikwazo kikubwa kwao ilikuwa ni Mwl. Nyerere, ila kwa mazingira ya sasa hakuna tena wa kuwazuia.
Una umri gani? Unaweza kumzuia Rais kuwa Rais.. mtandao unaosema ni 2030 , na kwa jinsi Magufuli alivyooonyesha nguvu ya Urais labda aliekuwepo asipende kuendelea kutawala.
 
Je watafanya pia kumbukumbu za Ngombale Mwillu, Baruti, Mzindakaya, Mhaville, Kolimba, Gama, Ditopile ? Hili genge wana lao jambo!!!
Argumentum ad hominem.....

Jambo lipi?!!😳

Obsessive compulsions zimekujaa.......
 
Baba mzazi kweli kweli?

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
 
Historia ya kuiba?
 
Hivi mtu kuwa mjeshi ndio amepigania nchi

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…