Jakaya Kikwete: Rais Samia anaendesha nchi vizuri, tuendelee kumuunga mkono

Jakaya Kikwete: Rais Samia anaendesha nchi vizuri, tuendelee kumuunga mkono

Kwa watu wenye imani ya Mungu huamin kua Mungu huumpa ufalme amtaye na humnyima ufalme atakaye wewe uwe na majeshi na kura zote ziwe zako kama Mungu hakuandika wewe kua Mfalme katu haiwi atakufanyia chochote kile ili usikae pale na unaweza kua kapuku kama tulivyo mimi na wewe kama Mungu alituandikia kuwa Wafalme iko siku unashitukia umekua Mfalme bila hata mwenyewe kujua hivi kwa akili yako iliwahi kupita kichwani mwako kua ikosiku Mgufuli angekua Raisi wa nchi hii? ukimtizama alikua na uzito upi ktk Chama CCM?
Hujajibu swali nipe uthibitisho kuwa huyu Samia amechaguliwa na Mungu!

Ingetokea Jiwe akampendekeza Pole Pole kuwa mgombea mwenza Tangu awali so saa hizi pia ungesema Pole Pole ni chaguo la Mungu ila sio kwamba kawa Rais by default?
 
Hujajibu swali nipe uthibitisho kuwa huyu Samia amechaguliwa na Mungu!

Ingetokea Jiwe akampendekeza Pole Pole kuwa mgombea mwenza Tangu awali so saa hizi pia ungesema Pole Pole ni chaguo la Mungu ila sio kwamba kawa Rais by default?

Natumaini kiwango chako cha kuelewa kipo chini sana ktk maswala haya kwa akili yako kwanini amchague yeye wako wangapi kwanini asiwe yule.

Halafu Samia halikua chaguo la Mwendazake kwa taarifa yako chaguo la mwendazake mgombea mwenza alikua Huseni Mwinyi sasa jiulize kwa nini akawa Samia asiwe Huseni Mwinyi?
 
Huyo JK sikuwahigi kumlenda tangu mwanzo. Alipopitishwa 2005 kuwa Mgombea Urais wa CCM nililia sana siku hiyo. Na hata leo simpendi. Siku "akienda zake" nitakunywa pombe ya gharama ya juu zaidi inayopatikana mtaani kwangu!!!
Nimekuonea huruma ulivyolia aisee[emoji3]
 
Kama mnakumbuka ile katuni ya mama anashikiwa usukani na lijamaa lina mikono kama baunsa wa gwajifix ndio utatambua sasa kwamba kauli hii ina maana gani
 
Atasema nini zaidi ya kumsifia swahiba wake na sasa ndo mda wa kuvuta kiti na kugonga glass (cheers) huku wakipongezana kwa kazi nzito ya kuipiga chini cabinet nzima ya mwendazake

Mission complete sawaa. lakini mmetuweza tusiokuwa na pa kusemea

Pinga uwezavyo ukweli utabaki pale pale Awamu ya tano iliwaheshimisha sana watanzania hususani watanzania walio masikini Sifa za kijinga kama hizi utazisikia toka kwa wazee wa madili wapigaji Kama huyu mzee
 
Kwanini unaongelea ushungi? mavazi yake yana uhusiano gani na utandaji wake...achani chuki za kidini, mnatufanya sie waislamu kumtetea hata kama ameshindwa uraisi
Endelea kutetea ujinga wakati unajua amefeli kisa hayo madera mnayovaa!
 
Anatoa Ahsante baada ya vijana wake KUPEWA NAMBA ... Poor timing
Na wala hawaoni kuwa it was a wrong timing, we are forced to believe what is not supposed to be believed, poor Tanzania!
 
Kwa watu wenye imani ya Mungu huamin kua Mungu huumpa ufalme amtakaye na humnyima ufalme amtakaye wewe uwe na majeshi na kura zote ziwe zako kama Mungu hakuandika wewe kua Mfalme katu haiwi ...
Kwa hiyo samia ni mwema? Umekuwa Mungu wa kuhukumu? Stupid!
 
Atasema nini zaidi ya kumsifia swahiba wake na sasa ndo mda wa kuvuta kiti na kugonga glass (cheers) huku wakipongezana kwa kazi nzito ya kuipiga chini cabinet nzima ya mwendazake...
Eti watanzania masikini, haya maneno ya kipuuzi ndio yalikuwa yanataka kuwafanya watanzania waje kuwa mazuzu... m*###faka...
 
1. Unadhani watanzania hatujui mtu anapoongoza nchi vizuri au vibaya mpaka wewe ndo uje utuambie?

2. Unadhani kama Rais hatogusa maslah yako vibaya ataweza kuwa kiongozi mbaya?

3. Wewe unaathirika vipi na Tozo na kupanda kwa mafuta ya gari hata uone kuwa ni jambo baya?

4. Ni lini uliwahi sema Rais xxx haongozi vyema?

5. Kwa mambo unayoyapata na yanavyoenda kwako....ingewezeakana kweli useme Rais anaongoza vibaya?

Una haki ya kutoa maoni yako kama mtanzania mwingine yeyote. Ila usituone kuwa watanzania ni wajinga please. Tunaona yooote toka kipindi wewe Rais, Magufuli na sasa Samia.tunaona.
 
Mimi toka waongeze Tozo na kodi kwenye mafuta kipindi hiki cha corona sitakiwi niambiwe na Kikwete kuwa tupo sawa...
 
Rais mstaafu J. Kikwete akihojiwa amesema nchi inakwenda vizuri chini ya Samia na changamoto mbalimbali zinaondolewa ikiwemo uongezaji wa huduma za dharura kwenye sekta ya afya...
KWA kweli binafsi MPAKA mda huu, naona anarukaruka ,
 
Eti watanzania masikini, haya maneno ya kipuuzi ndio yalikuwa yanataka kuwafanya watanzania waje kuwa mazuzu... m*###faka...
Pumbavu sana unajifanya hauoni kinachoendelea mtaani sio ngedere kama nyie ni wengi apa nchini dawa yenu inachemka nyie endeleeni tu
 
Hoja haina tija. Hata JK anao uhuru wa kutoa maoni yake. Na sisi wengine tutoe yetu. Yeye ni mwanasiasa nguli tena Rais mstaafu anayeheshimika ndani na nje ya nchi, hivyo anatoa kwa perspective yake.

Naamini akifanya muamala hata yeye anakatwa kama mimi na wewe. Kwa hiyo hoja ni TOZO. Yeye na wewe wote mna maslahi kulingana na STATUS zenu na maisha ndivyo yalivyo. Ukitaka JK aathirike kwa namna ile ile kama ya wewe na mimi utangoja sana.
 
JK ni bingwa wa spinning politics, anatafuta angle ya kuhamisha mjadala wa utawala wa mama kudorora, na anajua fika siku za mama kuendelea kukaa madarakani zinahesabika sana, maana kinachoendelea nyuma ya pazia ni kitu kizito na taarifa tetesi zimeshaanza kuvuja.

WanaCCM wanasema Mama hatoboi, iwe jua iwe mvua!
Naoana kama unamapngo wa kuhamia Burundi- maana mama mpaka 2030
 
Back
Top Bottom