kipenseli2021
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 1,390
- 1,431
Izo ni kawaida ,japo kwa mama mkwe lazima umpigie pia uwe Unakumbuka kumtumia Hela na kusaidia upande wa kike kama kuwasomesha shemeji zako na kuwa panmichongoWaliishi vizuri tu, na lawama ndogo ndogo hazikuwepo... Lawama za kwanini hupigi simu
Yeah, Inapobidi kufanya hivyo unafanya.Izo ni kawaida ,japo kwa mama mkwe lazima umpigie pia uwe Unakumbuka kumtumia Hela na kusaidia upande wa kike kama kuwasomesha shemeji zako na kuwa panmichongo
Nimesikitika sana kujua kijana analeta ZADHAU [emoji81][emoji81][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Na huyo tatizo sio simu tatizo atoe Wala ajali maisha ya upande wa kikeYeah, Inapobidi kufanya hivyo unafanya.
Kwahiyo simu inasingiziwa tu sioNa huyo tatizo sio simu tatizo atoe Wala ajali maisha ya upande wa kike
Umeoa ukoo bwashee!Izo ni kawaida ,japo kwa mama mkwe lazima umpigie pia uwe Unakumbuka kumtumia Hela na kusaidia upande wa kike kama kuwasomesha shemeji zako na kuwa panmichongo
Mimi huwa sipendi kukuza mambo. Jambo ambalo kwa mwingine lingezua tafrani mm huwa nina kifua cha kukibeba. Ila ukimya wangu huwa una matokeo magumu sana maishani.Hao ungewatukana tu mkuu,. Hawana aibu looh🙄
Simu inasingiziwa huyo ajali upande wa mke wake,wazee wetu wameishi enzi hakuna simu Wala Nini,unakuta umezaliwa unaambiwa kaka yako ni askari yupo mara unakwenda hadi miaka 7 amjaonana lakini n nduguKwahiyo simu inasingiziwa tu sio
Yeah ni kweli mkuuSimu inasingiziwa huyo ajali upande wa mke wake,wazee wetu wameishi enzi hakuna simu Wala Nini,unakuta umezaliwa unaambiwa kaka yako ni askari yupo mara unakwenda hadi miaka 7 amjaonana lakini n ndugu
Anakuheshimuni sana huyo jamaa. Huyo ndio mwanaume sasa. Wanaume wengi tunapiga simu ukweni mara chache sana. Kwa mwaka inahesabika. Mkimjulia afya dada yenu automatically mtajua na ya mumewe. Shida ikitokea utamuona akiwa front hapo hawezi jivunga. That's how real men are.huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
Mnataka awapigie awaambie nini?huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.
True kabisa na sababu yako ni ya msingi saana, sasa unaonaje mkamchukue dada yenuDada kamkuta mwenyewe?
Huwa mkimpigia anapokea?huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, jengine bado hajamalizia mahari, kuhus maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%.nyie vijana acheni zadhau, tu nampigia tu dada yetu. yeye no.