Jamaa alieoa dada yangu mgumu kuwasiliana na sisi ndugu wa mkewe

Kwani lazima?
 
Huyo jamaa tangu mumkabidh dada yako mwaka wa hadi sasa?
 
Mahari inahalalisha biashara ya utumwa kwa dada yenu.
 
Wape makavu
 
Imeandikwa utawaacha wazazi na kuambatana na make/Mme wako
Hawa ndio waharibifu wa ndoa za watu,wameshasahu ile sendoff maana yake nini,walikula ubwabwa na soda sasa wanataka sijui irudiwe tena...?...
 
Ameoa dada yenu au familia nzima?
 
Niko kwenye mpango wa kuwapigia wakwe simu mara moja kila baada ya miaka mitatu na nitakuwa nikifanya hivyo kwa kutumia simu ya binti yao.

For emergency ni wakati wowote lkn eti blaablaa kama alalamikavyo mtoa mada nimeona ni kujitafutia matatizo tu kwa uzoefu niliopitia miaka kadhaa nyuma.
 
Sio huyo pekee me mwenyewe kuwasiliana nao huwa ngumu sana na mpaka sasa na miaka 15 kwenye ndoa
Suala la kumalizia mahari sio lazima kwa wakati huu
 
Huyu NI Mimi mtupuuuu
 
Kwa nini unamtafuta?
 
Toa mwongozo. Mawasiliano yanapaswa yaweje?

Wewe unawasiliana vipi na wakwe zako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…