Watu wenye maono kama wewe, ni wachache sana... Huyo mtu wamemua hakuna kingine,,Inshort Quran au hata huyo allah hawezi kuua mtu kisa kuchoma kitabu, kumbuka kitabu kimebeba ujumbe wa allah na si kitabu ni allah, hivyo wengi wanaamini kitabu na hawajui kama kile ni uwakilishi.
Ni wamemuua, wamemuua tu hao!.
Kujaribu siyo kuzuri..... Labda kufanya kabisaJaribu mzee.
Ni ipo hivyo mkuu, wajinga na wafia dini ndo huamini hilo.... Ila hakuna kitu kama hicho... ( waseme ukweli tu kuwa wamemuua)Hata Mimi siamini hivyo.
Acheni kusambaza uongo.Salwan Sabah Matti Momika ni mkosoaji wa Uislamu. Anajulikana kwa kupanga maandamano nchini sweden ambapo alichoma Quran hadharani.
Momika alizaliwa katika familia ya Kikristo, lakini alibadilika na kua mtu asiyeamini uwepo wa Mungu.
Mnamo 2023, Momika alipanga mfululizo wa maandamano kama ukosoaji juu ya Uislamu. Wakati wa maandamano hayo, aliinajisi Quran kwa kuichoma chini ya ulinzi wa polisi.
View attachment 2951183
Salwan Momika anarudi kukutana na Mwenyezi Mungu katika mwezi wa Qur'an mwezi wa Ramadhan.
...........
View attachment 2951184
Upo?Kwani kifo ni adhabu, au ni njia ya kwenda Kwa Mungu?Hata yule aliyeichana Qur'an Tanzania alikutwa amekufa.
• Ivi umekaza kabisa fuvu unaamini kabisa kitabu kinaua 🤔🤔??. Mbona tunakosa maarifa kiasi hiki!!Na wewe choma basi mkuu,,wacha kutishia kujamba huku una tumbo la kuhara.
Kwahiyo babu na bibi yako walivyokufa walichoma Quran?..Mtume Mohammed alivyokufa naye alichoma Quran?Hata yule aliyeichana Qur'an Tanzania alikutwa amekufa.
Akili za ajuza ni matope tupu mkuuUpo?Kwani kifo ni adhabu, au ni njia ya kwenda Kwa Mungu?
MlimuuaHata yule aliyeichana Qur'an Tanzania alikutwa amekufa.
Huko kwa Mungu sasa. Huelewi?Upo?Kwani kifo ni adhabu, au ni njia ya kwenda Kwa Mungu?
Ooh, tupeleke polisi.Mlimuua
Ooh, tupeleke polisi.Mlimuua
Ooh, tupeleke polisi.Mlimuua
Wajinga kweli ninyi kwa hiyo kwenu muujiza mnaoukubali ni ule wenye madhara tu kwenye uponyaji mnakataa tena kwa hasira.Allah kweli ni yule joka kuu!Hata yule aliyeichana Qur'an Tanzania alikutwa amekufa.
Umechomeka kupata taarifa ya mchoma Qur'an?kuna watu kibao hawajachoma quran na wakekutwa wamekufa ,
Hiyo kweli Kabisa 🤣🤣Wamemuua