Ni kawaida tu siku yake ilifika.Salwan Sabah Matti Momika ni mkosoaji wa Uislamu. Anajulikana kwa kupanga maandamano nchini sweden ambapo alichoma Quran hadharani.
Momika alizaliwa katika familia ya Kikristo, lakini alibadilika na kua mtu asiyeamini uwepo wa Mungu.
Mnamo 2023, Momika alipanga mfululizo wa maandamano kama ukosoaji juu ya Uislamu. Wakati wa maandamano hayo, aliinajisi Quran kwa kuichoma chini ya ulinzi wa polisi.
View attachment 2951183
Salwan Momika anarudi kukutana na Mwenyezi Mungu katika mwezi wa Qur'an mwezi wa Ramadhan.
...........
View attachment 2951184
Umechomeka kupata taarifa ya mchoma Qur'an?kuna watu kibao hawajachoma quran na wakekutwa wamekufa ,
Hata hiyo biblia ambayo unaipigia chapuo kuwa haijicontract, ina contradictions tele.kwa bahati mbaya sana, kama alikuwa hajaokoka, atakutana na aliyeleta kitabu cha uongo, cha wauaji, waleta fujo kule motoni, anaungua moto mkali sana. Mungu wa kweli hakuleta icho kitabu, kinajicontradict kabisa na Mungu wa kweli. hivyo hataadhibiwa kabisa kwa kuchoma icho kitabu. nakuhakikisha hili. though hakutumia hekima, hata mimi siwezi kuchoma kitabu hicho kwasababu najua nitawaudhi wanaokiamini, ila Mungu hahusiki nacho kabisa.
Umechomeka kupata taarifa ya mchoma Qur'an?
MaaIslamists wamewaweza kweli kweli na nyinyi kwa Ushetani wenu mkaingia King ati amekufa🙄🙄🙄Hata hiyo biblia ambayo unaipigia chapuo kuwa haijicontract, ina contradictions tele.
Quran na biblia, yote yale yale tu.
Biblia umeletewa na wakoloni, wakubrainwash na wakutawale..
Wale quran waliletewa na miarabu kwa malengo yanayoshabihiana na ya wakoloni.
Ushauri: jifunze kuhusu mila na tamaduni za kwenu...zifuate na kuziheshimu hizo.
Achana na ngano za mungu wa waisrael na waarabu.
#Backtoafroroots
Kwani takatifu maana yake nini!?Miafrika ina ujinga eti kitabu takatifu,yani watu wake watunge kitabu halafu kiwe takatifu.
Kukatwa miguu na mikonoHivi hamna adhabu Kali kuliko kifo.
Usiwe mvivu,jaribu ku-googleChanzo habari Kiko wapi?,maana ninyi jamaa kwa kujitungia habari hamjambo.
Umechomeka kupata taarifa ya mchoma Qur'an?kuna watu kibao hawajachoma quran na wakekutwa wamekufa ,
MajutoAmepata hasara iliyokuwa kubwa kabisa 😂
Umemfanyia postmortem ukagundua kauawa!?Ni ipo hivyo mkuu, wajinga na wafia dini ndo huamini hilo.... Ila hakuna kitu kama hicho... ( waseme ukweli tu kuwa wamemuua)
Alichokifanya sio kizuri ila ni kitendo cha kuleta uhasama tu.Salwan Sabah Matti Momika ni mkosoaji wa Uislamu. Anajulikana kwa kupanga maandamano nchini sweden ambapo alichoma Quran hadharani.
Momika alizaliwa katika familia ya Kikristo, lakini alibadilika na kua mtu asiyeamini uwepo wa Mungu.
Mnamo 2023, Momika alipanga mfululizo wa maandamano kama ukosoaji juu ya Uislamu. Wakati wa maandamano hayo, aliinajisi Quran kwa kuichoma chini ya ulinzi wa polisi.
View attachment 2951183
Salwan Momika anarudi kukutana na Mwenyezi Mungu katika mwezi wa Qur'an mwezi wa Ramadhan.
...........
View attachment 2951184
Huwa hatu google huu uongo wa wajahidina.Usiwe mvivu,jaribu ku-google
Kasome history ya Vita vya msalaba,walikua wanamsaidia Mungu gani!?..unapotoa fungu la kumi,huyo Mungu wako hela Hana!?..si umwambie abeti,unapomtolea sadaka ya kuteketeza huwa na hamu ya nyama choma!?..muwe mnampikia ugali na kachumbari alie nyama choma,Ila vipi Hana wanyama na moto!?..unapojenga nyumba ya Mungu(kanisa) yeye Mungu wako hawezi kujijengea mkaabudu humo!?..mnapomuhubiri mwenyewe Hana Domo la kuhubiei huko aliko tumsikie mpaka mhahe kuhubiei jua Kali na miauti yenu mate yakiwaruka!?Vipi na Salman Rushdie allah kashindwa kumuua hadi ikabidi mumsadie kwa kumvizia na kisu mungu wenu ni mwehu kweli hana tofauti na mchawi.
Habari zipo media zote kubwa, binafsi nilikua najua humu haipo,nilitaka iletaHuwa hatu google huu uongo wa wajahidina.
Account iliyoripoti imefuta hiyo taarifa kwa kuwa na ukakasi.Habari zipo media zote kubwa, binafsi nilikua najua humu haipo,nilitaka ileta
Habari Ina zaidi ya saa kumi tangu itoke,na imenukuliwa na media Hadi saa 2 zilizopitaAccount iliyoripoti imefuta hiyo taarifa kwa kuwa na ukakasi.
Nasikia Allah pia nae amezima alafu kitambo tu is it true or false?Sababu yoyote iwayo lakini ndiyo kazima.