Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

Niconnect hapo kazini.

Kila mwisho wa mwezi nitakua nakupa 300K uwe unampa jamaa
 
Ye si atheist
Ss akae Kwa kutulia ndo atajua Kuna Mungu na miungu na huo u atheist utamuisha atachagua upande,[emoji1787]
Hivyo vitisho tu mbona hao theists kila sku tunaona wanateseka mpka wanakufa na hawana msaada ?
 
Mtafutie demu nzuri na pesa za lodge + chakula.
Mwambie baada ya hapa tusijuane na akiendelea kukusumbua tafadhali naomba yake nidili nae.
 
Mkienda kula beer bar,weka sumu kwenye beer yake akienda chooni,sumu inayouwa polepole lakini! Baada ya miezi 5,utaachana na huu ujinga!
 
Wewe unaweza kufanya hivyo?.Kila mtu hupata riziki kupitia mtu ningekuwa mimi ningemkataa mazima akitaka hio kazi aniharibie ingawa sio rahisi kama anavyodhani labda angekua yeye ndio kamuajiri sawa.
Ningeweza ikiwa nimesaidiwa kupata kazi. Si amkatae kibabe aonee sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya ni maneno hata kwenye khanga yako na sio uhalisia.
Nilishashuhudia jamaa anaondolewa kazini tena kafanya miez 4 tyuuh.

Acha kucheza na watu wakiamua lao.
 
bi shost hyo sio ndoa kuwa unatakiwa usilale na pichu, hyo hapana bwana, hata ndoa kwani we kila ukiambiwa panua unapanua tuu, si kuna siku unasemaga umechoka?
Nitachokaje na nilitoka kwetu kuja kwake kufata kupanuliwa?
Nitasema nimechoka, yeye asipo afiki lazima nipanue tyuuh.

Yeye atoe pesa kila akiombwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…