Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Sio Vitisho ni Hali halisi ye Hana upande wwt,ila anaopambana nao km wako kwenye mambo ya giza hatoboiHivyo vitisho tu mbona hao theists kila sku tunaona wanateseka mpka wanakufa na hawana msaada ?
Basi wewe wa kipekee, nimejikuta nimekutamani ghafla wallah,Nitachokaje na nilitoka kwetu kuja kwake kufata kupanuliwa?
Nitasema nimechoka, yeye asipo afiki lazima nipanue tyuuh.
Yeye atoe pesa kila akiombwa.
Watu Wana utoto sana Kuna dili zinapigwa halafu watu wanakaaa kmya wala hakuna kelele yaani jamaaa anaombwa ela tena akiwa kazin, hajawahi kukutana na chaka linataka utoe ela kwanza ndo utimbe kazin tena ela ya maana na wakati huna uhakika hata na hyo kaziMbona wengine michongo kama hiyo mshahara wa Kwanza anachukuwa aliyedalalia mchakato?
Kwa kifupi wewe ni mduwanzi Fulani tu.
Kama unalipwa kweli 2.5 unashindwa Vipi kumpa jiwe tano kwenye bahasha na kumwambia Thank you
Mafala mafala mpo wengi Sana, halafu ajabu ndio mnaotobowa wakati watu wenye akili wanaendelea kutubu tu.
Iache sasa utafute kazi nyingine. mbona unaendelea kudhalilishwa hivyo?Kwanza Mimi skumuomba kazi, yeye ndo alinitafuta from the blue...afu saiv ndo imekuwa kama deni
SibadilikiMnasemaga ivi tu, mkishapata mchongo mnabadilika
Tunaandikishana?Sibadiliki
Fair piaTunaandikishana?
Kwani lqzima uende nae out? Mambo mengi tunayolalamikia, tunayaruhusu wenyewe!Wasalaam,
Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.
Nifanyaje?
Mweleweshe una majukumu hauna bajeti ya kumtunza mtu mzima mwenye mshaharaWasalaam,
Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.
Nifanyaje?
Km hukuwa unahitaji ungekataa, na hata hivyo hujachelewa acha kazi mara 1, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza Mimi skumuomba kazi, yeye ndo alinitafuta from the blue...afu saiv ndo imekuwa kama deni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu sema kweli.Basi wewe wa kipekee, nimejikuta nimekutamani ghafla wallah,
Aki yaan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu sema kweli.
Siwez acha, nshaanza kuzoea helaKm hukuwa unahitaji ungekataa, na hata hivyo hujachelewa acha kazi mara 1, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona simple sana eti
Mbona ulianza very positive, saiv umeanza kuwa neutral.Fair pia
AkhsantePole sana mkuu
Usituchoshe na upumbavu wako. Yeye ndo kakuajiri hapo? Ndiyo mwenye kampuni kwamba usipompa hela atakufukuza kazi?Kwanza Mimi skumuomba kazi, yeye ndo alinitafuta from the blue...afu saiv ndo imekuwa kama deni
Najua fair ni kama kukubali au kuna sehemu nakoseaMbona ulianza very positive, saiv umeanza kuwa neutral.
Yani ushaanza kubadilika right before my very eyes.