We jamaa [emoji16][emoji16]Sasa bro kazi ya milioni 30 kwa mwaka unalalamika jamaa kuwa hivyo?
Hata mimi kwakweli nisingekaa kimya au unaielewa vipi milioni 30?
Kimsingi ningekuwa mimi ndio jamaa ningehamia kwako kabisa ili unitunze kama mzazi wako. Jamaa ana moyo wa kiutu sana.
Hadi jumatatu tarehe January 29, 2024, Saa 10:38 jioni.Hadi lini sasa
Sema kama jamaa analamba 2.5 yeye ampe hata million then ampe asante..Mbona wengine michongo kama hiyo mshahara wa Kwanza anachukuwa aliyedalalia mchakato?
Kwa kifupi wewe ni mduwanzi Fulani tu.
Kama unalipwa kweli 2.5 unashindwa Vipi kumpa jiwe tano kwenye bahasha na kumwambia Thank you
Mafala mafala mpo wengi Sana, halafu ajabu ndio mnaotobowa wakati watu wenye akili wanaendelea kutubu tu.
Bora mseme nyie watu, aseeehSasa bro kazi ya milioni 30 kwa mwaka unalalamika jamaa kuwa hivyo?
Hata mimi kwakweli nisingekaa kimya au unaielewa vipi milioni 30?
Kimsingi ningekuwa mimi ndio jamaa ningehamia kwako kabisa ili unitunze kama mzazi wako. Jamaa ana moyo wa kiutu sana.
mpe hela anayohitaji, kama huwezi acha hiyo kaziSasa mkuu nifanyaje wakati yeye ndo kanipa mchongo
KhaaaWasalaam,
Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.
Nifanyaje?
Ukiona kamconnect na kazi ujue ana maelewano mazuri na wakuu hapo kaziniMpe kiasi ambacho unaona kinafaa, mimi huwa siendekezi wapuuzi kama huyo jamaa yako, mwambie ukweli brother nashukuru Kwa kunisaidia lkn kiukweli hili na hili sipendezwi nalo. Lakini kama nimekukwaza kukuambia hili nisamehe brother wangu. Mimi naamini kama IPO IPO tu nakama haipo haipo hata ufanyeje.
Wewe unaweza kufanya hivyo?.Kila mtu hupata riziki kupitia mtu ningekuwa mimi ningemkataa mazima akitaka hio kazi aniharibie ingawa sio rahisi kama anavyodhani labda angekua yeye ndio kamuajiri sawa.Ampe kila anapotaka, km hataki aache kazi ili awe huru.
Mbona simple tyuuh
Kwahio anaouwezo pia wakumfukuzisha?. Sio rahisi kama unavyodhani kumfukuza mtu kazi ambae hujamuajiri. Labda awe hawezi kujisimamia katika kazi.Ukiona kamconnect na kazi ujue ana maelewano mazuri na wakuu hapo kazini
Kwani kukataa kutoka atakulazimisha?Dah uyu jamaa anataka niwe namuabudu sasa
Akifata huu ushauri wako atakua Mpumbavu.mpe hela anayohitaji, kama huwezi acha hiyo kazi
kama ni private company unatimuliwa vizuri tu, wanakuambia una under peform, kisha wanakuondoa.Kwahio anaouwezo pia wakumfukuzisha?. Sio rahisi kama unavyodhani kumfukuza mtu kazi ambae hujamuajiri. Labda awe hawezi kujisimamia katika kazi.
U can't be serious?Toa pesa dogo acha upumbavu mpe laki 400k kila mwezi
Huyo ni dalali wa ajira/kaziKuna siku nilimpa 30 akasema "kazi nmekuconnect ya mil 30 kwa mwaka Wewe unanipa afu30?"
Kwani ye anakua hafanayi kazi mkuu?Watu hamjui kula na vipofu ingekuwa mimi ningekuwa namtia hata 100k kila mwezi pasipo kuombwa
Hiko ni kimeo chako sasa.Dah tupo nae kazn Sasa apa
Huyo jamaako kuolewa ni sehemu ndogo sana, haifai mwanaume kujidhalilisha kwa gharama ya shs 40 elfu, yan anataka kila mkienda out gharama ulipe wewe wakati hata yeye anaweza kulipa, nna uhakika hawez maliza bia za elfu hamsin, na hiyo hamsini ana uwezo nayo, akikosa kazi atakuwa mke wa mtu, nakuhakikishia…Au nasema uongo ndugu zangu, Tufanze kazi(In the late Magufuli’s voice)Kuna siku nilimpa 30 akasema "kazi nmekuconnect ya mil 30 kwa mwaka Wewe unanipa afu30?"