granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
Huyo hajaujua mji vzuri, anadhani wanaokesha kwa waganga au kwa mwomposa wanafanya hvo kwa kupenda.Ye anakwambia ni atheist
Ss asubiri aone anafikiri mjini humu watu wote ni atheist,atajua hajui!
π€£π€£, Mungu hadhihakiwi...
Kwanza kashasema ye ni Atheist,so muache tu ,maana hakuna kuokoka kimchongo atapata matatizo zaidi!
Wasalaam,
Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.
Nifanyaje?
Kwan lazima utoke naye?,lazima mfatane fatane?.Wasalaam,
Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.
Nifanyaje?
Ye si atheistHuyo hajaujua mji vzuri, anadhani wanaokesha kwa waganga au kwa mwomposa wanafanya hvo kwa kupenda.
Wasalaam,
Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.
Nifanyaje?
Wasalaam,
Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.
Nifanyaje?
Kuna siku nilimpa 30 akasema "kazi nmekuconnect ya mil 30 kwa mwaka Wewe unanipa afu30?"
Huyo Si Jamaa Anataka Commission Kila Mwezi Kama Fungu La Kumi.
Note: Jamaa Wa Kweli Ni Yule Mnaoendelea Kuwa Vyema (Mutual Benefit) Pande Zote Mbili Hapa Inajumuisha Kimawazo Pia.
Pole sanaWasalaam,
Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.
Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.
Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.
Nifanyaje?
hata ishi milele mzee atavuta tu ππHadi lini Sasa?
ππππKama wewe ni unaenda kwa waganga mloge . Kama ni wamaombi mfungue siku kadha itafurahia
True [emoji16]Ukioa mke atakusaidia kukutenga na uyo unaemuita mshikaji wako[emoji23]
Nafikiri mpaka hapa tufunge mjadala[emoji16]Mkabidhi kadi ya benki mke wako, huyo jamaa kila akikuomba pesa unamuambia akachukue kwa wife wako.
Sema tu jamaa kasema hajaoa,dawa ilikuwa imepatikana kiwepesi tu!Mkabidhi kadi ya benki mke wako, huyo jamaa kila akikuomba pesa unamuambia akachukue kwa wife wako.
Believe me... Hakuwahi kufanya hivyo.Si haki, chukua shillingi elfu 50 mwambie kaka asantee Kwa mchango wako sina kikubwa chakukupa lakini hiki kinatosha. Kisha baada yahapo mkatae, kwani lazima utoke nae out?. Akikuambia mtoke ukamuambia hauko vizuri kifedha atakulazimisha?.
Jifunze kusema hapana.