Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

Jamaa yangu ananitesa kisa alinitafutia kazi, ni haki?

Wasalaam,

Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.

Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.

Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.

Nifanyaje?

Kimsingi ameekuunganishia kazi japo ulisha soma na unaujuzi wako tayari hivyo sio kwamba amekusaidia kila kitu.
Kosa ulilofanya ni kuongozana naye baa. Anza kupunguza mitoko ya kwenda baa; Jitahidi utoke naye vikao rasmi huku ukipunguza mazoea taratibu, lakini akiwa na shida msaidie kadri unavyoweza.

Kwa watu wenye Uroho kama hao; Ukipata mshahara (kama anaujua) unampa nusu yake kabisa unamwambia umempa kama shukrani ya kukusaidia kupata kazi. Wengine hutoa mshahara mzima (mmoja) ila baada ya hapo hamjuani tena. Ila nenda taratibu hasa kama ananafasi ya kukuharibia
 
Wasalaam,

Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.

Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.

Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.

Nifanyaje?
Kwan lazima utoke naye?,lazima mfatane fatane?.
 
Jitengenezee CV nzuri kazini,kwa kufanya kazi kwa bidii,nidhamu&ubunifu.
Kisha weka mipaka kati yenu,akikukataa mkatae mazima.
 
Huyo hajaujua mji vzuri, anadhani wanaokesha kwa waganga au kwa mwomposa wanafanya hvo kwa kupenda.
Ye si atheist
Ss akae Kwa kutulia ndo atajua Kuna Mungu na miungu na huo u atheist utamuisha atachagua upande,🤣
 
mkate chap we endelea na mambo yako acha mzoea atakuja kukut…mbea hata mke huyo usipoangalia
 
Wasalaam,

Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.

Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.

Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.

Nifanyaje?

chagua urudi msoto au Ulipe fadhila!!

Kama we mwanaume tafuta kazi nyingine hapo utakua umemuonesha kwamba naww yy si chochote ila kama huwezi bas kubali kulipa fadhila
 
Wasalaam,

Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.

Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.

Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.

Nifanyaje?

Kwenye kutoka out unajitakia mwenyewe!!

Kwan lazima !!
Waweza kua unakwepa kwenda out
 
Wasalaam,

Nilikuwa down bad, yaani nimepigika kinoma, yaani apeche alolo, yaani mbombo ngafu, yaani moja haikai mbili haikai, Yani nmechina mweupe pee. Kula ya mashaka, kulala kama ndege. Ila Kuna huyu jamaa angu tulisoma ote Olevel akaniconnect kwenye ajira inalipa fresh sio haba.

Sasa tatizo, imekuwa kama kero, Kila siku anajimwambafy kuwa bila yeye nsingetoboa anasema natakiwa niwe namshukuru kila mshahara ukitoka. Tukienda out Kila siku Mimi tu ndo anataka nimnunulie bia. Wote tuna mshahara ila yeye anataka na shida zake Mimi nimtatulie.

Mimi naona imekuwa kama manyanyaso sasa.

Nifanyaje?
Pole sana
 
wewe achana na watu bhana kila mtu na maisha yake hata ukiacha kazi atasema nimemtaftia kazi kashindwa we mkatae kama anaweza akunyang'anye iyo kazi yeye sio Mungu rizki yako ipo tu
 
Paying the goodwill has known no end. Bila huyo jamaa usingekuwa na hii mada. Sisi wengine mbona tunaendelea kulipa fadhila kwa miaka sasa ingawa si kwa pesa ya kila mwezi. Ila siku ukijipata unamkumbuka mtu aliyekufanya uwe hapo ulipo.
Onesha ukomavu wa maisha.
 
Si haki, chukua shillingi elfu 50 mwambie kaka asantee Kwa mchango wako sina kikubwa chakukupa lakini hiki kinatosha. Kisha baada yahapo mkatae, kwani lazima utoke nae out?. Akikuambia mtoke ukamuambia hauko vizuri kifedha atakulazimisha?.

Jifunze kusema hapana.
Believe me... Hakuwahi kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom