Jamani Mungu yupo na anafanya kazi usiku na mchana. Tuache kuonea watu mungu hapendi na kisasi chake

Jamani Mungu yupo na anafanya kazi usiku na mchana. Tuache kuonea watu mungu hapendi na kisasi chake

We hukutaka kabisa kujua. Labda wangeua dada yako au mdogo wako ndo ungekuwa interested kujua au vipi. Sasa huo ni ubinafsi wa kiafrica. Ndo mana tunasemaga waafrica hawakustahili kuwa binadamu bali nyani
Hakuna mtu anauwawa from nowhere labda iwe bahati mbaya kama mandojo.
 
We endelea kuzushia watu vifo ukifikiri jf uko sehemu salama sana
 
Hakuna mtu anauwawa from nowhere labda iwe bahati mbaya kama mandojo.
Mpaka sasa hivi huelewi kama Tundu lisu alichapwa risasi na jpm. Kwamba mpaka sasa hujui kama jpm aliwaua akina Ben saa nane na azory gwanda. Kwamba mpaka sasa hujuii kuwa jpm aliuwa watu kibao wanamkosoa. Basi unaatatizo au una roho ya kishetani
Hakuna mtu anauwawa from nowhere labda iwe bahati mbaya kama mandojo.
 
Mpaka sasa hivi huelewi kama Tundu lisu alichapwa risasi na jpm. Kwamba mpaka sasa hujui kama jpm aliwaua akina Ben saa nane na azory gwanda. Kwamba mpaka sasa hujuii kuwa jpm aliuwa watu kibao wanamkosoa. Basi unaatatizo au una roho ya kishetani
Hayo siyajua maana ni madai ya Chadema ila hayajathibitishwa popote .

Nachojua Viongozi wa Chadema wako ndani
 
Wakat huohuo unafahamu mahakama ilikuwa inaongozwa kwa rimoti yaami jpm mi mahakama yeye na yeye mwenyewe ni bunge.
Huko sijui kama ndivyo ilikuwa nachojua mahakama ziko huru ndio maana Mwabukusi wa Chadema ni Rais wa TLS
 
Enzi za jpm watu wameuawa wengi san ama directly kwa kupigwa risasi au kupotezwa au indirectly kwa pressure baada ya account zao kuwa freezed ghafla eti haijulikani pesa zao walizipataje. Mfano Nimrodi mkono ambaye account zake zote zilifungwa baadae akafa kwa pressure. Wengine waliokuwa vhafla na wengi mno sema vyombo vya habari vilidhibitiwa visiripoti chochote.

Wengine waliponea chupuchupu kufa kama.Tundu lisu.

Sasa angalia Mungu adhabu yake ilivyo kuu. Kamchukua mmoja baada ya mwingine hasa haya magaidi haya.

Jpm
Makonda (bado taarifa rasmi)
Le mutuzi (kibri na akawa anchekelea kuuawa kwa watu eti wamejiteka wenyewe)


Nawasihi jamani mungu yupo tenda mema
Nilidhani umekuja na listi ya majina, kumbe ngonjera tupu!

Walioendelea kufa nao ni kisasi cha Mungu dhidi ya maovu waliyotenda?

Upumbavu upo kwenye damu ya wapumbavu
 
Huko sijui kama ndivyo ilikuwa nachojua mahakama ziko huru ndio maana Mwabukusi wa Chadema ni Rais wa TLS
Kwa sasa ziko huru najua hasa chininya huyu mama mpenda haki. Lakini kipindintu aongozwa na yule dictator hakukuwa na mahakama kabisa. Ndo mana mama alipoingia madarakani akafuta kesi takribani 70 za wanaharakati wa chadema zilizotungwa tu na jpm na mahakama haikuwa na namna bali kuwafunga
 
Kwa sasa ziko huru najua hasa chininya huyu mama mpenda haki. Lakini kipindintu aongozwa na yule dictator hakukuwa na mahakama kabisa. Ndo mana mama alipoingia madarakani akafuta kesi takribani 70 za wanaharakati wa chadema zilizotungwa tu na jpm na mahakama haikuwa na namna bali kuwafunga
Mbona Machadema Wana mdhihaki,wanadhani wanaweza kufanya lolote kisa tuu ameamua kuheshimu Katiba.

Je Kuna Nchi hapa Duniani ambayo Vyama vitakuwa vinaamka tuu na kuorganise watu wakaandamane na kutatiza shughuli za Umma? Hiyo ndio Haki na Demokrasia wanayoitaka?
 
Enzi za jpm watu wameuawa wengi san ama directly kwa kupigwa risasi au kupotezwa au indirectly kwa pressure baada ya account zao kuwa freezed ghafla eti haijulikani pesa zao walizipataje. Mfano Nimrodi mkono ambaye account zake zote zilifungwa baadae akafa kwa pressure. Wengine waliokuwa vhafla na wengi mno sema vyombo vya habari vilidhibitiwa visiripoti chochote.

Wengine waliponea chupuchupu kufa kama.Tundu lisu.

Sasa angalia Mungu adhabu yake ilivyo kuu. Kamchukua mmoja baada ya mwingine hasa haya magaidi haya.

Jpm
Makonda (bado taarifa rasmi)
Le mutuzi (kibri na akawa anchekelea kuuawa kwa watu eti wamejiteka wenyewe)


Nawasihi jamani mungu yupo tenda mema
jambo wanadamu wasilolijua ni kwamba, mbabe wa wote ni mmoja tu, MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI. Mungu ni Mungu wa HAKI, maana yake ni kwamba, jicho lake huwa linaangalia haki iko wapi? au haki inavunjwa wapi ili ashuke kutetea anayeonewa, na hukumu yake huwa ya haki. ninyi mnaoua watu, mnaopiga watu, mnaoteka na kutesa watu, hakuna chozi hata moja la mtu mwenye haki huwa linapotea bure, Mungu huwa anaangalia, ukitaka uepuke kisasi tenda haki nenda zako.

ndio maana Yesu alitoa amri kuu, kwamba MPENDANE, na umtendee mwingine vile ungependa wewe unatendewa. kama hupendi kutekwa usiteke watu, kama hupendi kupigwa usipige, kama hupendi ulie machozi usimlize mwingine, ukifanya vinginevyo adhabu ipo tu hata ufanyaje. hii ndio principle kuu ya maisha mbele za Mungu.
 
Mbona Machadema Wana mdhihaki,wanadhani wanaweza kufanya lolote kisa tuu ameamua kuheshimu Katiba.

Je Kuna Nchi hapa Duniani ambayo Vyama vitakuwa vinaamka tuu na kuorganise watu wakaandamane na kutatiza shughuli za Umma? Hiyo ndio Haki na Demokrasia wanayoitaka?
Nchi za kidemokrasi na sisi tumesaini kuw nchi ya kidemokrasia
 
dhabu yake ilivyo kuu. Kamchukua mmoja baada ya mwingine hasa haya magaidi haya.
Hapo ndipo ulipoharibu bwana nabii unataka utuaminishe kuwa wapendwa wetu , watoto ,wetu waliotangulia mbele za haki ni adhabu wamepewa? Ina maana sisi tulio hai ni watakatifu sana ukiwepo na wewe kwamba hutakufa kwa sababu hupaswi kupata adhabu ya kifo kama unavyodai? UMEKOSEA KUWA MUUNGWANA kauli yako si imeniuma kwa madai yako hapana ni juu ya kuhusanisha kifo na adhabu
 
Mbona Machadema Wana mdhihaki,wanadhani wanaweza kufanya lolote kisa tuu ameamua kuheshimu Katiba.

Je Kuna Nchi hapa Duniani ambayo Vyama vitakuwa vinaamka tuu na kuorganise watu wakaandamane na kutatiza shughuli za Umma? Hiyo ndio Haki na Demokrasia wanayoitaka?
Ongeza akili then njoo na hoja hujibiwe sio mwemuko , machawa na ccm Mungu amekataa , jipangeni upya kwa kutubu ,Mungu yuko kazini , na bahati mbaya hamuwezi tu kwa sababu ya kibri cha madaraka , sasa Mungu anaenda toa funzo na ilisha kua
 
Ongeza akili then njoo na hoja hujibiwe sio mwemuko , machawa na ccm Mungu amekataa , jipangeni upya kwa kutubu ,Mungu yuko kazini , na bahati mbaya hamuwezi tu kwa sababu ya kibri cha madaraka , sasa Mungu anaenda toa funzo na ilisha kua
Kama Machadema ni washirika na wasemaji wa Mungu Wacha tusubirie tuone 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom