Jamani Mungu yupo na anafanya kazi usiku na mchana. Tuache kuonea watu mungu hapendi na kisasi chake

Jamani Mungu yupo na anafanya kazi usiku na mchana. Tuache kuonea watu mungu hapendi na kisasi chake

Mbona Machadema Wana mdhihaki,wanadhani wanaweza kufanya lolote kisa tuu ameamua kuheshimu Katiba.

Je Kuna Nchi hapa Duniani ambayo Vyama vitakuwa vinaamka tuu na kuorganise watu wakaandamane na kutatiza shughuli za Umma? Hiyo ndio Haki na Demokrasia wanayoitaka?
Viongozi wa CCM wao ndo wanaruhusiwa kuwadharau Chadema? Ndo katiba inavyosema?
 
Viongozi wa CCM wao ndo wanaruhusiwa kuwadharau Chadema? Ndo katiba inavyosema?
Umewahi msikio Kiongozi yupi wa CCM anatukana Chadema?

Hao watu wenu wameanza kitambo sana kuongea shit ,Sasa wameingia 18
 
Kuna siku mumeo naye atakaa ndani usifikiri upo salama sn
20240723_133059.jpg
 
Enzi za jpm watu wameuawa wengi san ama directly kwa kupigwa risasi au kupotezwa au indirectly kwa pressure baada ya account zao kuwa freezed ghafla eti haijulikani pesa zao walizipataje. Mfano Nimrodi mkono ambaye account zake zote zilifungwa baadae akafa kwa pressure. Wengine waliokuwa vhafla na wengi mno sema vyombo vya habari vilidhibitiwa visiripoti chochote.

Wengine waliponea chupuchupu kufa kama.Tundu lisu.

Sasa angalia Mungu adhabu yake ilivyo kuu. Kamchukua mmoja baada ya mwingine hasa haya magaidi haya.

Jpm
Makonda (bado taarifa rasmi)
Le mutuzi (kibri na akawa anchekelea kuuawa kwa watu eti wamejiteka wenyewe)


Nawasihi jamani mungu yupo tenda mema
Walioshika Hatamu Wanasemaga kwenye Siasa hakuna Mungu 😳🙄😱🤦🏽‍♂️
Nguvu na kipato huleta kiburi !
Ndio maana hudiriki kudhuru au kumdhalilisha yeyote yule bila kuwa na hofu ya Mungu !!
 
OK kuanzia nda huu saa 21.37 pm ,nakufuta anzia familia yako ukoo wako ,unyayo wako ,uso wako , mbele ya binadam yoyote alieumbwa na Mungu , mdudu aĺieumbwa na Mungu, mnyama yoyoyte alie umbwa na Mungu , nakufuta anzia utosi mpaka kidole cha mwisho mguu wa kulia ,kidole cha mwisho mkono wa kulia na imekua , tekeleza msamaha huu kwa kutoa sadaka elfu kumi kwa wasiojiweza na imekua , Mungu wa sio mwanadamu ,imekua
 
OK kuanzia nda huu saa 21.37 pm ,nakufuta anzia familia yako ukoo wako ,unyayo wako ,uso wako , mbele ya binadam yoyote alieumbwa na Mungu , mdudu aĺieumbwa na Mungu, mnyama yoyoyte alie umbwa na Mungu , nakufuta anzia utosi mpaka kidole cha mwisho mguu wa kulia ,kidole cha mwisho mkono wa kulia na imekua , tekeleza msamaha huu kwa kutoa sadaka elfu kumi kwa wasiojiweza na imekua , Mungu wa sio mwanadamu ,imekua
🚮🚮🗑️🗑️
 
Back
Top Bottom