Jamani Mungu yupo na anafanya kazi usiku na mchana. Tuache kuonea watu mungu hapendi na kisasi chake

Viongozi wa CCM wao ndo wanaruhusiwa kuwadharau Chadema? Ndo katiba inavyosema?
 
Viongozi wa CCM wao ndo wanaruhusiwa kuwadharau Chadema? Ndo katiba inavyosema?
Umewahi msikio Kiongozi yupi wa CCM anatukana Chadema?

Hao watu wenu wameanza kitambo sana kuongea shit ,Sasa wameingia 18
 
Ndivyo sheria zilivyo dogo. Unless unataka kupingana na sheria za nchi
Wwe inaonekana hata Mama yako mzazi humkubali hadi uambiwe na Mahakama huyu ndiyo mama yako mzazi!!
 
Walioshika Hatamu Wanasemaga kwenye Siasa hakuna Mungu ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ™„๐Ÿ˜ฑ๐Ÿคฆ๐Ÿฝโ€โ™‚๏ธ
Nguvu na kipato huleta kiburi !
Ndio maana hudiriki kudhuru au kumdhalilisha yeyote yule bila kuwa na hofu ya Mungu !!
 
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
OK kuanzia nda huu saa 21.37 pm ,nakufuta anzia familia yako ukoo wako ,unyayo wako ,uso wako , mbele ya binadam yoyote alieumbwa na Mungu , mdudu aฤบieumbwa na Mungu, mnyama yoyoyte alie umbwa na Mungu , nakufuta anzia utosi mpaka kidole cha mwisho mguu wa kulia ,kidole cha mwisho mkono wa kulia na imekua , tekeleza msamaha huu kwa kutoa sadaka elfu kumi kwa wasiojiweza na imekua , Mungu wa sio mwanadamu ,imekua
 
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿ—‘๏ธ๐Ÿ—‘๏ธ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ