Jambazi aliyetuibia TV mwaka 1988 nimemuona leo akiwa mzee

Jambazi aliyetuibia TV mwaka 1988 nimemuona leo akiwa mzee

Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.

Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.

Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.

Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.

Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.

Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
Kama anaumwa figo na wewe ni "powerful than them" badala ya kulipa kisasi tafadhali nenda kamsaidie kwa chochote unaweza, Mwenyezi Mungu atakulipa
 
jinsi ulivyoandika nimejikuta nafurahi tu mkuu 😁😁. ila una roho ya kitusi maana kuwa na hasira ya kulipiza kisasi baada ya miaka 27 si haba

Daah unamshangaa huyu mimi huyo mbwa ningewapa jibu tofauti kbsa
 
Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.

Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.

Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.

Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.

Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.

Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.

Temea mate chini, maradhi humpata yoyote, muombe Mola akuepushe na maradhi.
 
Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.

Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.

Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.

Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.

Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.

Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
Mwambie akumbuke kutubu makosa yake kabla hajafa
 
Vipi kama sio mwenyewe?

Ni bora tu ukaachana nao kuliko ku-deal na huo ujinga uliopitwa na wakati. Nakupa mfano mmoja kuna siku nimekatiza maeneo ya Kibaha kwa Mathias nilikuwa naenda Moro kikazi kipindi hicho nilikuwa na cheo fulani kikubwa serikalini nilikuwa naendeshwa na Land Cruiser na tulisimama nikaenda kutuma hela kwenye kibanda cha Tigopesa. Sasa from nowhere wakaja wanajeshi watatu wakaniweka mtu kati (nilikuwa nimevaa casual tu) mmoja wao anadai jana yake nimekunywa kwenye glosari yake na kula kitimoto nikaondoka bila kulipa aisee ilikuwa zogo

Bahati nzuri dereva wangu akaja ndio akaanza kuwaeleza mimi ni nani na hatujui hata ilo eneo tuko tu safarini. Jamaa walivyoshtukia kuwa wamejichanganya walitoweka kwa mbinu za kijeshi. Tukaamua kusepa ingawa kuna jamaa alinipa namba ya mmoja wao nikapotezea

So jiridhishe kuwa ndio mwenyewe kabla hujatoa hizo tuhuma zilizopitwa na muda. Aibu utapata wewe
 
Kwan hiyo siku ulimuona wakat anaiba? Kwanini babako hakumpeleka polis?

Sasa hata kwenda kumkumbush tu unaomba ushauri? Au huna uhakika kama ni yeye?
Usiende kishari nenda kirafiki tu..na upihe naye stori siyo uendw kama fisa qanyama pori
 
Yaani umeibiwa TV 1988 inakuuma mpaka leo 2020 ndio maana upo Chadema,that says it all.
 
Nikiibiwa au kudhurumiwa, huwa nakuwaga na hasira kwa kipindi hicho plus chuki ya ajabu. Ila after some times vyote vinapotea kisha naacha kuvifikiria kabisa.
 
Kweli milima haikutani jambazi lililotuibia tv mwaka 1988 Raskazone Tanga nimeliona leo limezeeka linaishi kwa mtoto wake pale Mabibo jeshini linaumwa figo miguu imevimba balaa.

Kilichofanya nimtambue ni kovu lake juu ya jicho na huyo mwanae anaeishi nae japo wao wamenisahau.

Moyo unaniambia nimfwate mshkaji nimueleze kwamba ujambazi wa baba yako ulituletea umaskini kipindi tv za kwanza ndio zinaingia Tanzania.

Jamaa hawezi kunifanya lolote am now powerful than them I may do anything to them and leave unharmed.

Lengo nimlipie kisasi marehemu baba yangu.

Sitarajii kuwadhuru ila hata nikikumkumbusha huyu mzee uhalifu wake moyo wangu utaridhika.
Fanya juu chini nawe ukawaibie ili waone uchungu wa kuibiwa, hata ukikuta sufuria ya mboga jikoni beba ili wale ugali mkavu.
 
Mkuu wewe ni wa kishua kumbe, mlikuwa na TV 88!
 
jinsi ulivyoandika nimejikuta nafurahi tu mkuu [emoji16][emoji16]. ila una roho ya kitusi maana kuwa na hasira ya kulipiza kisasi baada ya miaka 27 si haba
27??? Ni 32 mkuu
 
ameshasema ni enzi hizo TV zinaingia Tz sass huwezi jua ni trauma kiasi gani alimsababishia. Imagine mtaa mzima wanakuja kwenu kuangalia Tv yaani unakuwa sweetheart wa mtaa halafu ghafla mtu anawatoa kwenye hiyo spotlight. Lazma ikuume [emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sweetheart wa mtaa
 
Bahati mbaya sana ile tv yetu ya fomaica haikunipa umaarufu. Ila nikikumbuka mikanda ya kukodi ya rambo na tina turner, nimeanza kuhisi kaka zangu walifaidika sana aisee. Kuna vidada vilikuaga vinakuja dah [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]
lazma uuvae uhusika ili uelewe fresh maana tusichukulie vitu simple simple
 
Back
Top Bottom