Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

inategemea upo upande gani.
 
Samahani.

Nje ya mada kidogo.

Hivi ni kitu gani hasa kiliipata au kilimpata #tanzagiza#?
 
Mapango ajiandae na pia Mbowe asikae mbali sana.
 
Ee Mungu tuondolee huyu kiongozi aliyepo, Iwe ni kwa mapinduzi ya kijeshi, kikatiba au kwa namna yoyote , ilimradi tuepukane na mateso haya tunayopitia wana wako.Amina [emoji120]
Hiyo njia ya kwanza sio nzuri kabisa
 
we poyoyo na nabii wa uwongo huu unabii wako ukapeleka jukwaa la wanawake km lipo siyo kutuletea siye wanaume na akili zetu. Km unamwabudu Magufuli fungua kanisa katafute wafuasi wako usituletee ibada za mizimu na wafu hapa.
 
Sawa Mkuu. Nashukuru Japo Kuna zaidi ya Hilo.🤐
 
we poyoyo na nabii wa uwongo huu unabii wako ukapeleka jukwaa la wanawake km lipo siyo kutuletea siye wanaume na akili zetu. Km unamwabudu Magufuli fungua kanisa katafute wafuasi wako usituletee ibada za mizimu na wafu hapa.
Sawa sijajuwa ni kwa nia gani ila angalia usije miss kuiona nchi ile kw kauli zako. Asante
 
Nataka nikuthibitishe niliona ktk roho na Ben nikamuonya kilicho mkuta sijuwi
 
Sasa Kama lilitokea kubwa la kupoteza Rais aliyepo madarakani Kuna Jambo gani tena kubwa mzee?hata huyu aliepo madarakani Mwenyezi Mungu akamchukua hakutakuwa na ajabu acha kututisha hapa wewe
 
Nani alisoma...🤐
 
Moho tuachie timu yetu, umezidi utapeii ondoka kuanzia sasa tuiendeshe wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…