Jambo kubwa linakuja mbele ya Taifa, ewe mtanzania fungua macho

Ukiwa Muislam au Mkristo au dini yete hakuna kulala hapa ni prayer mpaka kieleweke. Nasema hakuna kulala mpaka kieleweke Mungu atajibu kwa namma yakutisha
 
Ukiwa Muislam au Mkristo au dini yete hakuna kulala hapa ni prayer mpaka kieleweke. Nasema hakuna kulala mpaka kieleweke Mungu atajibu kwa namma yakutisha
Tupo pamoja Mimi nipo na tasbihi yangu
 
Ukiwa Muislam au Mkristo au dini yete hakuna kulala hapa ni prayer mpaka kieleweke. Nasema hakuna kulala mpaka kieleweke Mungu atajibu kwa namma yakutisha
Kwa Kweli Mungu aingilie kati,

Nimemsikia sa100 anajibu kirahisi tu kuwa Serikali haifanyi biashara, ni sekta binafsi,

Eee Mwenyezi Mungu tafadhali ingilia kati,

Wao wanajivunia mapanga na mishale na ulinzi waliojizungushia,

Tunusuru na jambo hiki baya lisitokee.
 
Serkali ya Tanzania haifanyi biashara sawa lakin serikali ya Dubai inafanya biashara na Bandar zetu huyu mama huyu
 
Serkali ya Tanzania haifanyi biashara sawa lakin serikali ya Dubai inafanya biashara na Bandar zetu huyu mama huyu
Halafu anavyokausha kana kwamba hasikii mtetemo na mzizimo wa Nchi!!!!

Nini kinaendelea, sijui,

Mungu ajua,

Atuondolee Aibu na fedheha hii Kwa Taifa letu.
 
TumainiEl Mkuu hizi taarifa unazipatagaje?
Kama ni ndoto, naomba kujua huwa unaelekeza wapi kichwa wakati wa kulala ili na mimi nianze kuelekeza huko?!
Natamani na mimi pia nianze kuota ndoto za kweli
 
Ukiwa Muislam au Mkristo au dini yete hakuna kulala hapa ni prayer mpaka kieleweke. Nasema hakuna kulala mpaka kieleweke Mungu atajibu kwa namma yakutisha
Sala na maombi ndiyo yalisaidia kumuondoa jiwe. Lkn kwa uongozi huu wa watu sahau. Maana hata malaika wa mbinguni wanaufurahia
 
Lipi jipya?
Abdul Sykes kasonga
Nyerere kasonga
Mkapa kasonga
jiwe kasonga
karume kasonga
kombo kasonga
Kambona kasonga
KK kasonga
Malapa kasonga

Vimbunga vinasonga.
Vipindupindu vinasonga
Corona kasonga

Mtu mzima hatishiwi nyau.

Na wote tutasonga, kuna kipi kipya chini ya hili jua?
 
Na kusonga wala sio adhabu.
 
“We had sold our death to somebody at the door for the sum of £70:18:6d and lent our fear to somebody at the door as well on interest of £3:10:0d per month, so we did not care about death and we did not fear anymore”(Amos Tutuola: The Palm Wine Drinkard).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…