Baraza lile liliapa kumtii na kumsaidia rais mwingine mwenye personality, mtazamo, muonekano, sababu na malengo ya kuwateua na haiba tofauti kabisa na Rais Samia. Kama atapenda aendelee nao hawa mawaziri wa JPM lazima awateue upya na awaapishe yeye upya kuwa watamtii yeye rais, katiba na muungano hadharani mbele ya umma.Rais Mpya atatushangaza Watanzania na dunia kwa ujumla iwapo ataendelea kufanya kazi na Baraza la Mawaziri ambalo hakuliapisha yeye kama Rais!
Kumbukeni Mzee majaliwa alihakikisha kuwa anapita bila kupingwa kwenye jimbo lake na hakuna wapinzani waliothubutu kwenda kupiga kampeni jimboni kwake Luwangwa. Huyu anaweza kuwa mbaya sana kwa demokrasia kuliko hata JPM.Mbona mnamlazimisha sana wazee, mnataka mama abaki pekeake ili mumpelekeshe jinsi mnavyojiskia 😁😁😁!!?
Sasa kwa taarifa yenu atajiuzulu kisha atateuliwa upya acheni utoto!
Sawa kabisa mkuu.Wewe na huyo unatamani kumpa likes kama zote ndio mlimdanganya mwendazake
Una maanisha kuua? Si sawa kbs haiitaji kuwa katili serkali ili mambo yaende. Inahitaji ueledi basi.Safii
Hata ukivaa viatu vya Serikali unaona kabisa Wakati mwengine inawabidi wawe wakatili ili Mambo yaende
Maskini Nchi yangu
Hii nchi inawajuaji wengi sana, kuna wengine utakuta hawajui chochote ila wanataka waishauri serikali[emoji28].Samia akitaka aiweze hii nchi, azibe kabisa masikio Ili afanye mambo kwa kadri awezavyo. Akisema asubiri ushauri wa Kila mtu atachelewa sana kufika.Mama Samia kazi anayo hii nchi ina watu vichwa ngumu!
Wewe unashauri kama nani, hapa nchini? [emoji28]Majaliwa anatakiwa aonyeshe njia, anapaswa kujiuzuru ili kumpa nafasi mama Samia kuunda baraza lake la mawaziri.
Kitendo cha Majaliwa kung'ang'ania madaraka ni kitendo cha aibu kwa taifa na kinaweza kutoa ishara kuwa huenda Majaliwa ni mmoja ya wahusika wa lile genge lililohisiwa kuwa linataka kumpora mama madaraka ya kiti cha urais.
Majaliwa onyesha njia sasa.
Jiuzuru haraka iwezekanavyo.
Kasomea wapi hiyo Sheria?Huo ni uchochezi sasa
Mwanasheria nguli Dr Mwigullu Nchemba alishatoa ufafanuzi!
Atakushangaza wewe na watu wa caliber yako, sio Watanzania.Rais Mpya atatushangaza Watanzania na dunia kwa ujumla iwapo ataendelea kufanya kazi na Baraza la Mawaziri ambalo hakuliapisha yeye kama Rais!
Wewe sio muongo? Au kwakua ulala hoi wako unasidia tusiuone uongo wako kwenye Tv?Majaliwa pia ni mtu muongo anasema uongo akiwa msikitini ilo nalo linamtosha kujiuzuru tu
Acha kuropoka weweMajaliwa anatakiwa aonyeshe njia, anapaswa kujiuzuru ili kumpa nafasi mama Samia kuunda baraza lake la mawaziri.
Kitendo cha Majaliwa kung'ang'ania madaraka ni kitendo cha aibu kwa taifa na kinaweza kutoa ishara kuwa huenda Majaliwa ni mmoja ya wahusika wa lile genge lililohisiwa kuwa linataka kumpora mama madaraka ya kiti cha urais.
Majaliwa onyesha njia sasa.
Jiuzuru haraka iwezekanavyo.
Yule gwajima wa malimao na pilipili kichaa?Kwahiyo mnataka nijiuzuru ili nikose kupigiwa Vigeregere na akina Mama si ndio??. Sasa mshanitibua, hapa sijiuzuru na Waziri wa Afya Mama Gwajima naye atafuata mfano wangu..
HANG'ATUKI MTU HAPA...Tumbo halijashiba bado.
Naona umetumwa rasmi kuja kumtetea huyo bosi wako. Ila sidhani kama itasaidia! Hata kama ataachwa kwenye hiyo nafasi, ukweli utabakia palepale!Atakushangaza wewe na watu wa caliber yako, sio Watanzania.
Matukuta una chuki na maduluHuo ni uchochezi sasa
Mwanasheria nguli Dr Mwigullu Nchemba alishatoa ufafanuzi!
Watanzania ni wapumbavu na mmezidi kuwapumbaza. Ndiyo maana hawaoni makosaAtakushangaza wewe na watu wa caliber yako, sio Watanzania.
Majaliwa anatakiwa aonyeshe njia, anapaswa kujiuzuru ili kumpa nafasi mama Samia kuunda baraza lake la mawaziri.
Kitendo cha Majaliwa kung'ang'ania madaraka ni kitendo cha aibu kwa taifa na kinaweza kutoa ishara kuwa huenda Majaliwa ni mmoja ya wahusika wa lile genge lililohisiwa kuwa linataka kumpora mama madaraka ya kiti cha urais.
Majaliwa onyesha njia sasa.
Jiuzuru haraka iwezekanavyo.