Angesimama kwenye angle hii ingekuwa ni poa zaidi, kuliko huko alikopuyanga!Nilifikiri anamtaka ajiuzulu kwa kuudanganya uuma wa watanzania na dunia kwa ujumla juu ya afya ya Rais hayati JPM
Kwamba yeye mama samia is too weak kuvunja baraza la mawaziri? Ni anasema tu ametengua uteuzi wa majaliwa, shughuli inaishia hapo...
Bushlawyer MwiguluHuo ni uchochezi sasa
Mwanasheria nguli Dr Mwigullu Nchemba alishatoa ufafanuzi!
Acha zako wewe. Ni wapi ilipoandikwa kwenye katiba hiyo kuwa kifungu kidogo cha (10) ni kwa ajili ya rais aliyepatikana kupitia kifungu cha (7) na cha (8) tu, na hakihusu rais aliyepatikana kwa vifungu vidogo vya (3), (4) na (5). Kifungu hicho kimeandika wazi kumhusu rais yeyeote anakayepatikana chini ya aya ya 37 Katiba, ambayo ina vifungu vidogo 11 vikiwemo hivyo vya (3), (4), (5) na hivyo vya (7) na (8) ambavyo ndivyo wewe unaangalia badala ya kuangalia aya yote!Hicho kifungu kinahusu kaimu Rais hataweza kufanya mabadiliko kwakuwa Rais bado yupo isipokuwa madaraka yake yanatekelezwa na mtu mwingine kwa muda.
Mkuu.., hayo maneno ya kuwa "madame has no clue" Bashiru na Majaliwa wameyasemea wapi?Majaliwa hana kosa wala hana sababu za kukosa usingizi. Kama madame president hana guts za kumtumbua na kuvunja baraza, who is to blame? It is certenaly not Majaliwa’s business
Ndio maana Bashiru na Majaliwa wanasema madame has no clue. Yeye anachojua ni kususasusa tuu na kufunga mitandio tu😊. Probably akasusa na kuresign before 2025
Kuna utofauti kati ya kutoa ushauri na kumpangia Rais cha kufanya.
Ushauri- Rais anaweza kuufuata au hasiufuate.
Kumpangia Rais cha kufanya- hapa Rais analazimika kufanya kitu, ikiwezekana bila hata utashi wake.(Sidhani kuna Raia hapa Tanzania anaweza kufanya hiki kitu except watu waliokaribu na Rais nayo ni mara chache).
Labda kama unataka watu wapunguze kutoa ushauri.
Labda umekosea kuni-quote mkuu,au hakika ume ni kiquote mimi?Mbatia amatoa maoni yake Wala sio Katiba/Sheria. Hivyo usitumie maoni yake kama Katiba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanazingua sanaaNdugu zetu hawa utawaweza wakiwa wameshiba?
Zangu zipi jadili hoja usiwe na mihemko tulia soma ibara hiyo yote utaelewa maudhui yake imeelezea watakao kaimu nafasi Rais na namna ya makamu kuwa Rais kwa tafsiri yako maana yake mh Rais Samia hawezi tengua uteuzi wa waziri yoyote mpaka amalize 2025 ? Inaingia akilini?Acha zako wewe. Ni wapi ilipoandikwa kwenye katiba hiyo kuwa kifungu kidogo cha (10) ni kwa ajili ya rais aliyepatikana kupitia kifungu cha (7) na cha (8) tu, na hakihusu rais aliyepatikana kwa vifungu vidogo vya (3), (4) na (5). Kifungu hicho kimeandika wazi kumhusu rais yeyeote anakayepatikana chini ya aya ya 37 Katiba, ambayo ina vifungu vidogo 11 vikiwemo hivyo vya (3), (4), (5) na hivyo vya (7) na (8) ambavyo ndivyo wewe unaangalia badala ya kuangalia aya yote!
Kilichopo hapa ni kuwa katiba hiyo haikuandikwa vizuri, lakini ndiyo katiba tunayotumia na ni lazima tuifuate kifungu-kwa-kifungu hadi pale tutakapoibadilisha!
Mwishowe tutasema avunje na bunge uchaguzu ufanyike, Ili pia wabunge walio teuliwa naraisi aliyepita waachweNi kweli Rais huwa harithi watu..hawa wote waliapa kiapo cha utii mbele ya Rais ambaye ni Marehemu,
Sasa wanatakiwa kuapa kiapo cha utii mbele ya Mama Samia.
Huwezi kufanya kazi na mtu mwenye kiapo kingine protocol inagoma hapo!!
Cha msingi ni ajiuźulu ama asipojiongeza basi mama avunje balaza lote aanze na Mwanasheria Mkuu!!
Tatizo CCM hawataafiki hoja hii...wazoefu wa kuvunja katiba na Protocol.
Katiba haileweki au Watanzania hatuelewi?Zangu zipi jadili hoja usiwe na mihemko tulia soma ibara hiyo yote utaelewa maudhui yake imeelezea watakao kaimu nafasi Rais na namna ya makamu kuwa Rais kwa tafsiri yako maana yake mh Rais Samia hawezi tengua uteuzi wa waziri yoyote mpaka amalize 2025 ? Inaingia akilini?
Ma DED, DC ,DAS, RAS, RC the list goes on...nao aache kufanya nao kazi kisa hakuwateua yeye na kuwaapisha yeye? Shida sio kuliapisha yeye , shida ni kwamba kuna ombwe kwenye KatibaRais Mpya atatushangaza Watanzania na dunia kwa ujumla iwapo ataendelea kufanya kazi na Baraza la Mawaziri ambalo hakuliapisha yeye kama Rais!
Bila Shaka hatuielewiKatiba haileweki au Watanzania hatuelewi?
Natamani kukupa likes 100 mkuu, Safi sana. Kuongoza hii nchi sio kazi rahisi, ujuaji na unafiki kuanzia juu hadi chini...Sio vichwa vigumu bali ni wajuaji. Ndio maana ili utawale vyema ni muhimu kuwaziba midomo wapuuzi maana watakuyumbisha katika mission yako! Hiki ndio alikifanya Magufuli akaonekana katili ila dhamira ilikua njema kabisa.
Yani kuongoza Tanzania ni sawa na kufundisha darasa la wanafunzi 200 ukitarajia kutakuwa na hali ya utulivu na ustaarabu katika kuuliza maswali na majibu ila badala yake kila mtu ananong'ona na kuropoka ovyo bila utaratibu halafu kuadhibiwa hawataki.
Wana expect wafanyiwe ustaarabu ambao wao hawana, hao ndio watanzania bana.[emoji16]
Nimecheka Sana,aisee...Majaliwa anatakiwa aonyeshe njia, anapaswa kujiuzuru ili kumpa nafasi mama Samia kuunda baraza lake la mawaziri.
Kitendo cha Majaliwa kung'ang'ania madaraka ni kitendo cha aibu kwa taifa na kinaweza kutoa ishara kuwa huenda Majaliwa ni mmoja ya wahusika wa lile genge lililohisiwa kuwa linataka kumpora mama madaraka ya kiti cha urais.
Majaliwa onyesha njia sasa.
Jiuzuru haraka iwezekanavyo.
Nafikiri ungesoma tena na kurudia tena na tena. Katiba ipo wazi kabisa ila wewe umeelewa vibaya. Kipengere namba 10 kinahusu mtu tu anayeweza tekeleza kazi za rais kwa kukahimishwa na si vinginevyo.lichowekea rangi, kuwa mtu atakayechukua madaraka ya urais ama kwa kurithi kutokana na kifungu kidogo cha (3) (yaani rais kuondolewa madarakani na baraza la mawaziri) hadi kifungu kidogo cha (5) (yaani rais akifariki), hana madaraka ya kuvunja Bunge au Baraza la mawaziri au kutengua teuzi za rais aliyekuwapo.
Hujasoma ibara hiyo; ina vifungu vidogo 11; umevisoma vyote? Nitajiaraibu kukufafanulia kama ifuatavyo.Zangu zipi jadili hoja usiwe na mihemko tulia soma ibara hiyo yote utaelewa maudhui yake imeelezea watakao kaimu nafasi Rais na namna ya makamu kuwa Rais kwa tafsiri yako maana yake mh Rais Samia hawezi tengua uteuzi wa waziri yoyote mpaka amalize 2025 ? Inaingia akilini?