James Rugemalira aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na mashtaka

Na sisi tumekataa kumkumbuka huyo mlevi mbwa
 
Unajua remote ya nchi nayo ilihusika katika mchongo huo hivyo ni lazima aachiwe huru kwa maamuzi ya remote ya nchi yetu ya Tanzania.
Aisee nyie mabeberu mna maneno.....
Remote ya nchi ndio Nini 😂😂
 
Ndio nimejifunza kuacha mafisadi wafisadi mpaka kiwango cha 5G, kumbe tunapenda kupigwa kiasi hiki! Aliyenacho ataongezewa mara dufu hata kwa kuiba.
Mahakama imemuachia alafu wewe unamwita fisadi, je una ushahidi wa huo ufisadi?
 
Jamaa amesimamia alichokiamini hadi mwisho,kwamba ikibidi afe kwa sababu hakuna atakaedumu.. hongera zake
 
Naamini hata Sabaya atakutwa hana hatia na wabongo tutashangilia.
 
Kamuombe akugawie! Nyinyi vichwa panzi kazi kutetea wezi wakati wewe huna hata baiskeli!
Mbona alishanigawia na sasa tunasheherekea kutoka kwake jela

Nyie vichwa sisimizi wenye roho ya kwanini endeleeni kuona wivu
 
Mkuu hi kesi wapinzan wakina Lissu nawenzie si ndio waliitolea macho na kushikilia kidete pale bungeni mpka kutoa maamuzi hayo Sasa Magu kosa lake ni lipi maana yet alitekeleza vile bunge lilivyotaka
 
Wandugu

Huyu mzee Rugemalira leo hataweza kulala kwenye godoro. Kila akijaribu kulala atakuwa anaona kama anazama ndani ya godoro.

Hii hali ni kutokana kashazoea kulala kwenye kitu kigumu/sakafu kwa miaka minne. Hivyo basi mke na wanafamilia wasije huzunika kuona mzee wao anakataa kulala kwenye godoro, wajue hio ni hali ya kawaida.

Itachukua mda akili yake kujiadjust kupokea mazingira mapya.

Sijajua ukweli nachoweza kusema huyu mzee Rugemalira amekuwa mfano mzuri katika philosophy za Ustoic.

Misingi mikuu hii philosophy inafundisha ni juu ya kutambua mambo yaliyo ndani ya uwezo wetu na mambo yalio njee.

Mzee alitambua mapema kukubali au kukataa mashtaka yapo ndani ya uwezo wake na kufungwa, kuabishwa kupo nje ya uwezo wake, hali kadhalika watesi wake waliweza kumweka ndani na kushindwa kupata tubu yake.

Yapo mengi ya kujifunza na hakuna wa kulaumu katika hizi pande mbili kinzani kwani ubora wa Rugemalira unatokana pia na ubora katika kutenda hayo kinyume na haki kwa watesi wake.

Alamsiki
 
Bro unajidanganya sana.

Jela pia kuna VIP. Yeye alikuwa akilala sehemu safi, zisizo na msongamano.

Usiku wake ni wa kawaida tu.
 
Bro unajidanganya sana.

Jela pia kuna VIP. Yeye alikuwa akilala sehemu safi, zisizo na msongamano.

Usiku wake ni wa kawaida tu.
Naskia kuna wakati alikuwa akipewa uhuru wa kuwa na mkewe faragha hapohapo gerezani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…