Na sisi tumekataa kumkumbuka huyo mlevi mbwa"China Mafisadi wanadhibiwa, huku Mafisadi wamekuwa kama Inspiration....."
Maneno ya mlevi mmoja alisikika akisema, baada ya hapo akamalizia "Mtanikumbuka...............".
Hapo ndipo nami nikagundua tuna safari ndefu sana kukijenga kuzazi chenye uchungu, uzalendo na uaminifu kwa taifa hili kwa manufaa ya kizazi kijacho, yaani unashangaa mpaka wale waliomponda kwa miaka mitano mfululizo kwenye majukwaa na kwenye magazeti yao ya kwamba mwizi, leo wanadai alionewa. Kweli yule mlevi alikuwa sawa "MTANIKUMBUKA "
We husimkumbuke ila ni mkumbuka mimi inatosha.......Na sisi tumekataa kumkumbuka huyo mlevi mbwa
Aisee nyie mabeberu mna maneno.....Unajua remote ya nchi nayo ilihusika katika mchongo huo hivyo ni lazima aachiwe huru kwa maamuzi ya remote ya nchi yetu ya Tanzania.
Mahakama imemuachia alafu wewe unamwita fisadi, je una ushahidi wa huo ufisadi?Ndio nimejifunza kuacha mafisadi wafisadi mpaka kiwango cha 5G, kumbe tunapenda kupigwa kiasi hiki! Aliyenacho ataongezewa mara dufu hata kwa kuiba.
Magufuli is dead.Mola azidi kumsimamia
habari nzuri kwa familia na wengi
Jamaa amesimamia alichokiamini hadi mwisho,kwamba ikibidi afe kwa sababu hakuna atakaedumu.. hongera zakeSalaam Wakuu,
Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua.
James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani Mahakamani Kisutu Jijini Dar.
Tarehe 19 Jun, 2017 TAKUKURU wawafikisha mahakamani Seth Na Rugemalila kwa uhujumi uchumi. walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu wakishtakiwa kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, likiwamo la kuisababisha Serikali hasara ya jumla ya takriban Sh358 bilioni.
Wakili wa Serikali, Paul Kadushi aliyataja mashtaka mengine yanayowakabili wawili hao kuwa ni kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kuisababishia hasara Serikali.
Zaidi Soma:
1). TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi
UPDATE:
Rugemalila yupo huru!
Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai
Utaijua baada ya kuchanjwa chanjo ya uviko19Aisee nyie mabeberu mna maneno.....
Remote ya nchi ndio Nini [emoji23][emoji23]
Anamkaza nani? Ukimkaza binti yangu nami nakukaza hivyohivvyo.We unasema bikra huko wanamkaza tayari.baki nae tu ashaliwa
Mbona alishanigawia na sasa tunasheherekea kutoka kwake jelaKamuombe akugawie! Nyinyi vichwa panzi kazi kutetea wezi wakati wewe huna hata baiskeli!
Mungu atatuletea mwingine, endeleeni na wizi wenu tu mtakipata tuKwani aliyekuwa anatuhadaha kazuia uwizi wa serikali yupo chato kupumzika
So awamu nyingine hii tunarudisha mapango yetu ya uwizi
Mkuu hi kesi wapinzan wakina Lissu nawenzie si ndio waliitolea macho na kushikilia kidete pale bungeni mpka kutoa maamuzi hayo Sasa Magu kosa lake ni lipi maana yet alitekeleza vile bunge lilivyotakaBe serious. Wizi huo unahusisha serikali na mkubwa ana mkono mzito kwenye misheni hiyo. Unategemea nini? Kwa serikali ya CCM kusema inapambana na ufisadi ni UNAFIKI wa hali ya juu. Hakuna ufisadi mkubwa wa kiwango hicho unaoweza kufanikiwa bila "signecha" ya mkuu mwenyewe.
Baada ya kushindwa kushughulika na mkuu wa awamu ya iliyopita, mwendazake kavamia kina Ruge akitarajia wamgawie pasenti ya mshiko wa "wizi". Where is the moral high ground with these people? Ndio maana wanaishia kudhalilika kwa roho zao mbaya. Mkuu wa sasa kaondoa "nadhiri" ndio unasikia DPP akidai eti "sina nia"! kirahisi rahisi tu! Sijui wanapata wapi amani ya roho watu hawa?
Naskia kuna wakati alikuwa akipewa uhuru wa kuwa na mkewe faragha hapohapo gerezaniBro unajidanganya sana.
Jela pia kuna VIP. Yeye alikuwa akilala sehemu safi, zisizo na msongamano.
Usiku wake ni wa kawaida tu.
Kumbeee! Duh, sikujua kabisa.Bro unajidanganya sana.
Jela pia kuna VIP. Yeye alikuwa akilala sehemu safi, zisizo na msongamano.
Usiku wake ni wa kawaida tu.
Ashakazwa huku we tulia nawewe utakanyagwa vizuri tu soon bwege wewe.Anamkaza nani? Ukimkaza binti yangu nami nakukaza hivyohivvyo.
Lazima niruhusu ndio akazwe.