James Rugemalira aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na mashtaka

James Rugemalira aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na mashtaka

Ma-CCM katika ubora wao.

Hizi hela zimeliwa na genge la wala nchi na ndio maana imekuwa vigumu kuendelea na hii kesi.
Waliopitishia pesa kwa wakina rugemalilabwapo nje wanakula maisha mzee wa watu kakaa mahabusu miaka zaidi ya mi 4 huu ni uonevu wa hali ya juu.
 
Sisi tunachotaka kwa mzee atushushie bei za Heineken tu mpaka 2500 basi.

Wengine wala hatuhitaji maendeleo sisi ni bia tamu asikwambie mtu bana.
Wewe huhitaji maendeleo, ila kuna watu huko vijijini wanalala chini hospitals, akina mama wajawazito gharama za kujifungua zipo juu, gharama za maiti, na vingine vingi.

Wewe ni mbinafsi, usipende kuhesabu tumbo lako tu. Eti 'ashushe heinken mpaka 2500', kwa hiyo hata asipoboresha huduma za afya ni sawa sio? Shame!
 
Mwendawazimu alikufa tarehe 17/ 03/ 21 na kuzikwa kule Chato. Kama unamaindi, Go to hell as well
Hakuna aliye-mind ila tu nikutahadharishe kuwa kuna Magufuli wengi mno wenye misimamo kuliko mwenda zake. So, take care usijisahau sana. Kujua wapo wapi kwa sasa na wanafanya nini, sio kazi yako.

Kujua ni baada ya muda gani watatokea, sio muda wako. Jua tu wapo na kuna hatari kubwa mbele.
 
Hakuna aliye-mind ila tu nikutahadharishe kuwa kuna Magufuli wengi mno wenye misimamo kuliko mwenda zake. So, take care usijisahau sana. Kujua wapo wapi kwa sasa na wanafanya nini, sio kazi yako.

Kujua ni baada ya muda gani watatokea, sio muda wako. Jua tu wapo na kuna hatari kubwa mbele.

Acheni kutisha watu nyinyi.. kama watoto vile kwa sarakasi hizi!
 
Yaani tuna DPP wa aina gani katika taifa.hawapaswi kututoa kwenye mstari juu ya kesi ya kihuni ya Mbowe.
 
Salaam Wakuu,

Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua.

_MG_0435.JPG
James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani Mahakamani Kisutu Jijini Dar.

Tarehe 19 Jun, 2017 TAKUKURU wawafikisha mahakamani Seth Na Rugemalila kwa uhujumi uchumi. walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu wakishtakiwa kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, likiwamo la kuisababisha Serikali hasara ya jumla ya takriban Sh358 bilioni.

Wakili wa Serikali, Paul Kadushi aliyataja mashtaka mengine yanayowakabili wawili hao kuwa ni kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kuisababishia hasara Serikali.

Zaidi Soma:

1). TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi

UPDATE:

Rugemalila yupo huru!

Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai


Huyu mwanaume
 
"China Mafisadi wana adhibiwa, huku Mafisadi wamekuwa kama Inspiration....."

Maneno ya mlevi mmoja alisikika akisema, baada ya hapo akamalizia "Mtanikumbuka...............".

Hapo ndipo nami nikagundua tuna safari ndefu sana kukijenga kuzazi chenye uchungu, uzalendo na uaminifu kwa taifa hili kwa manufaa ya kizazi kijacho, yaani unashangaa mpaka wale waliomponda kwa miaka mitano mfululizo kwenye majukwaa na kwenye magazeti yao ya kwamba mwizi, leo wanadai alionewa. Kweli yule mlevi alikuwa sawa "MTANIKUMBUKA "
 
watakuwa hawajampora kweli?, ni mzalendo kwa tz na si serekali ya ccm. uonevu tangu asubuhi mpaka jioni. eti hawanania ya kuendelea na kesi

Anaweza akauchuna, zikapita hata tawala mbili then wanaye au wajukuu zake wakaja ifufua kesi...
 
Salaam Wakuu,

Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua.

_MG_0435.JPG
James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani Mahakamani Kisutu Jijini Dar.

Tarehe 19 Jun, 2017 TAKUKURU wawafikisha mahakamani Seth Na Rugemalila kwa uhujumi uchumi. walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu wakishtakiwa kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, likiwamo la kuisababisha Serikali hasara ya jumla ya takriban Sh358 bilioni.

Wakili wa Serikali, Paul Kadushi aliyataja mashtaka mengine yanayowakabili wawili hao kuwa ni kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kuisababishia hasara Serikali.

Zaidi Soma:

1). TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi

UPDATE:

Rugemalila yupo huru!

Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai

Unajua remote ya nchi nayo ilihusika katika mchongo huo hivyo ni lazima aachiwe huru kwa maamuzi ya remote ya nchi yetu ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom