Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kipindi alilegea akaiomba mahakama imruhusu ataje wahusika wa escrow ili aachiwe jaji akakataa. Huu mlungula ulipita Hadi kwa majaji, maaskofu, mawaziri na mmmmh.Mimi nimemkubali, mzee ameona potelea Kwa mbali afie gerezani watoto wabaki na utajiri, hiyo ndio Tafsiri ya Kufa kiume
vijana tijifunze kupata hela ni jambo moja na kuilinda ni jambo jingine linahitaji uwe kauzu na roho ngumu
Watoto wake wajifunze jinsi baba yao alivyojitoa kutetea mali yake kwa kukubali kuteseka miaka 4 akiamini ktk nguvu zake..
Ili kesho wajue thamani ya mali hiyo kuisimamia....
Huo ndiyo ukweli ndiyo maana wanachukia hakiWe tafuta mipesa yako uache kuona kila mwenye pesa ni fisadi, wivu mbaya sana huo.
aisee huyu mzee alijua kumkazia jiwe na genge lake.
Hapa siyo godi, ni Satan. Maana taifa letu linaliwa!Waaaoh, God is good and kind
Nasubiri Kafulila kama atakuwa na kauli hapa.Jiwe chaliiiiii
Mpe tena ana ugwadu wa miaka sheeMm namzawadia mzee Lugemalila binti yangu bikra endapo atapenda damu changa.
Kwa kweli mzee amekaza kende hakuna kukiri kesi za kikhanithi.
another proof for ccm's government failure.da atoke tu mzee wa watu
Pesa za Ruge zilikua na mkono wa tatu, nadhani unafahamu hilo. Huo mkono wa tatu ndio uliosema "pesa sio za serikali"Besti kufa kufaana. Ila najiuliza Jiwe alishindwa kweli kumpora hela zake hadi yeye akubali? Kama TRA tu walipora hela st jude account bila ridhaa yao Jiwe angeshindwa kwa rugee kweli?
Inasikitisha kama kweli alibambikiziwa kesi basi Mungu atawalipa waliofanya hivyo sawia na matendo yaoSalaam Wakuu,
Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua.
James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani Mahakamani Kisutu Jijini Dar.![]()
Tarehe 19 Jun, 2017 TAKUKURU wawafikisha mahakamani Seth Na Rugemalila kwa uhujumi uchumi. walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu wakishtakiwa kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, likiwamo la kuisababisha Serikali hasara ya jumla ya takriban Sh358 bilioni.
Wakili wa Serikali, Paul Kadushi aliyataja mashtaka mengine yanayowakabili wawili hao kuwa ni kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kuisababishia hasara Serikali.
Zaidi Soma:
1). TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi
UPDATE:
Rugemalila yupo huru!
Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai
Simpo. toka hapo nyuma ya keybodi upeleke ushahidi wa huo wizi unaousemea jamaa arudishwe ndani.Yaani jizi lililo kwiba ma bilioni ya shilling za watanzania lina achiwa huruuu!!!! daa kweli mwenda zake tunamkumba!
Prince and familyPesa za Ruge zilikua na mkono wa tatu, nadhani unafahamu hilo. Huo mkono wa tatu ndio uliosema "pesa sio za serikali"
wewe haukuwa miongoni mwa walioshangilia wakati anakamatwa?.............Mola azidi kumsimamia
habari nzuri kwa familia na wengi