watakuwa hawajampora kweli?, ni mzalendo kwa tz na si serekali ya ccm. uonevu tangu asubuhi mpaka jioni. eti hawanania ya kuendelea na kesiSasa serikali ijiandae kushitakiwa unless iwe wamekubaliana huko nyuma ya pazia kila mtu achukue time yake...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watakuwa hawajampora kweli?, ni mzalendo kwa tz na si serekali ya ccm. uonevu tangu asubuhi mpaka jioni. eti hawanania ya kuendelea na kesiSasa serikali ijiandae kushitakiwa unless iwe wamekubaliana huko nyuma ya pazia kila mtu achukue time yake...
unahitaji uthibitisho gani zaidi ya huo kuelewa kuwa alibambikiwa kesi?Inasikitisha kama kweli alibambikiziwa kesi basi Mungu atawalipa waliofanya hivyo sawia na matendo yao
Huyu mzee hana muda huoHuyo mzee kichwa, anajua kucheza na sheria.
Spon ata issue serikali imlipe fidia kwa kumpotezea muda.
Safi sana.
Mtaani makongo juu leo zitanyweka beer nyingi sana wakuu,
Na windhoek maana yeye ndo authorized dealerSisi tunachotaka kwa mzee atushushie bei za Heineken tu mpaka 2500 basi.
Wengine wala hatuhitaji maendeleo sisi ni bia tamu asikwambie mtu bana.
Sasa serikali ijiandae kushitakiwa unless iwe wamekubaliana huko nyuma ya pazia kila mtu achukue time yake...
Thank you.Mwendawazimu alikufa tarehe 17/ 03/ 21 na kuzikwa kule Chato. Kama unamaindi, Go to hell as well
Kijana wake yule James yuko vizuri sana tu kichwani kasimamia kila kitu toka mzee hayupo mpk karudi.Watoto wake wajifunze jinsi baba yao alivyojitoa kutetea mali yake kwa kukubali kuteseka miaka 4 akiamini ktk nguvu zake..
Ili kesho wajue thamani ya mali hiyo kuisimamia....
Tena ukhanisi in Maalim Seif Sharrif Hamad voice.Mm namzawadia mzee Lugemalila binti yangu bikra endapo atapenda damu changa.
Kwa kweli mzee amekaza kende hakuna kukiri kesi za kikhanithi.
Mkuu Idimi lini tena utarudi Oslo Norway? Sasa hivi Norway siyo kama zamani no more easy life na ujanja ujanja wa social.Pesa za Ruge zilikua na mkono wa tatu, nadhani unafahamu hilo. Huo mkono wa tatu ndio uliosema "pesa sio za serikali"
We unasema bikra huko wanamkaza tayari.baki nae tu ashaliwaMm namzawadia mzee Lugemalila binti yangu bikra endapo atapenda damu changa.
Kwa kweli mzee amekaza kende hakuna kukiri kesi za kikhanithi.
Kaka nilipita pande hizo miaka miwili iliyopita, ila sikukaa sana. Ila next year nakuja, nadhani ugonjwa unaosumbua dunia utakuwa umepungua makaliMkuu Idimi lini tena utarudi Oslo Norway? Sasa hivi Norway siyo kama zamani no more easy life na ujanja ujanja wa social.
Nilikuzoeaga na ile avatar picha yako ya bonge la satellite maporini. 😆
Salaam Wakuu,
Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua.
James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani Mahakamani Kisutu Jijini Dar.![]()
Tarehe 19 Jun, 2017 TAKUKURU wawafikisha mahakamani Seth Na Rugemalila kwa uhujumi uchumi. walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu wakishtakiwa kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, likiwamo la kuisababisha Serikali hasara ya jumla ya takriban Sh358 bilioni.
Wakili wa Serikali, Paul Kadushi aliyataja mashtaka mengine yanayowakabili wawili hao kuwa ni kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kuisababishia hasara Serikali.
Zaidi Soma:
1). TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi
UPDATE:
Rugemalila yupo huru!
Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai
Akakufanyia wepesi, usiseme akatufanyia wepesi! Weww vepeee[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji125][emoji125]Lile sikteta uaji la Chato lilikuwa katili sana..
Mungu akaona isiwe tabu, akatufanyia wepesi
Mmeambiwa kesi haieleweki. Hivi hukumbuki pesa zingine zilichotwa kupitia stanbic bank na gari zilielekea nazo ikuru. Kesi haielewekiKwaiyo akina Lissu na Mbowe,Zitto walivyokuwa wanatema mate bungeni, Mpaka kuweka maazimio walikuwa walikuwa wameongwa kumchafua Lugemarila na serikali ya Kikwete? Mambo haya yalianzishwa na akina Lissu,tena na ushaidi wa nyaraka,tena nakumbuka Lissu alivyopewa nafasi bungeni,alitoa hata history ya IPTL ilivyoanzishwa.wakulaumiwa ni akina Lissu na wabunge waliotoa maazimio kwa serikali Magufuri anangushiwa jumba bovu tu,yeye alitimiza maazimio ya akina Lissu