Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

Wanao msikiliza na kukubaliana na anachongea kipara ngwidu ni wendawazimu kama yeye tuu, na hapo bado wataendelea kuteseka na nguvu ya marehemu hadi mwisho wao
 
Natafakari tu maana mambo mengine huja kama Muujiza

Kama 2020 Uchaguzi haukuwa Huru na Haki na Jaji mkuu ameshafikisha muda wake wa kustaafu, tutampata wapi sisi mtu ambaye Mungu wa mbinguni anakaa ndani yake?

Yawezekana maneno yale hajanena Makamba bali ni Roho Mtakatifu

Nawatakieni Sabato Njema πŸ˜„πŸ”₯
 
jiwe ni mshenzi ikiwezekana kaburi lake pia ling'olewe litupweee kusikojulikana
 
Na January ndiyo mwanaccm pekee uliyebakia kuwa na akili.

Hahaha ila watanganyika mna unafiki Sana, Leo jamaa Kawa mtu mwenye akili tena, si juzi tu mlikuwa mkitukana kuwa kilaza alipokuwa wizara ya nishati hapo.
 
You hate the Truth
 
Sabato iliyo kuu na njema ni jumapili aliyoinuka kutoka katika wafu na kuokoa ng'ombe aliyezama kisimani.Hiyo ingine waulizwe wayahudi.
 
Makamba Yuko Sawa kabisa
Your browser is not able to display this video.
 
February kifua kidogo katoa Siri πŸ˜‚πŸ˜‚
Shinikizo lile. Nasikia hii ni baada kukaa kikao na wale wakubwa wa magharibi.

Watekeleze makubaliano ya nyuma ya pazia ya maridhiano uchwara.
Sinto shangaa watu wakavuka vyama.
Nachelea kusema anajiLowassafy
 
Vitu vua kawaida sana kufanywa hivyo na ndiyo kazi ya Rais yeyote. Kwa tuliokuwa na ufahamu ambao tumeziona awamu zote 6 kuanzia Nyerere hatuoni ajabu kwenye hizo kazi alizoanzisha DIKTETA.

Lakini kukamilisha hayo siyo lazima uue watu, uibe fedha zao na kuwatupa kwenye magereza.
 
Huyu uwezo kichwani hamna anabebwa na Jina la Mzee wake. Wao ni Wazuri hawafi, lkn cha ajabu wanaendelea kugombana na Kivuli cha mfu JPM.
Imekuuma, mnataka ujinga wa Magufuli ufunikwefunikwe tuuuu pumbavu zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…