Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Jibu hoja za Makamba kwanzaKwa hiyo January Makamba atakubali kuachia jimbo 2025?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu hoja za Makamba kwanzaKwa hiyo January Makamba atakubali kuachia jimbo 2025?
Leo ndio unaitaka tume huru? Maajabu kweli kweliKwanini hawataki tume huru ya uchaguzi kama wao ni Wema?
Mnajaribu kumpamba mtu wenu laki i Hesabu zinakataa.Shida ni chumvi nyingi yaani dunia nzima ione mikutano, halafu wewe useme ilizuiwa kwenye uchaguzi.
Kwenye matokeo ya ubunge na udiwani sijui ingekuwaje bila ya foul za CCM kama ilivyokawaida yao.
Iła kwa Magufuli tuwe wakweli hakukuwa na wakumshinda 2020 kwenye uraisi, hata ukirudiwa kesho.
Mkuu zinazidi kuvuja.....Juzi kinana na Jokate leo January Makamba keshokutwa ni Makonda😂😂Huyu ni one of the top haters wa JPM hatupi tabu! Chuma JPM all times all days! Haters tunawasikiliza tu.
Lakini Ukweli usemwe.....ameusema kama ulivyoYeye mwenyewe alipta ubunge kwa hadi leo hii kuwa waziri kwa kufanya hivyo?
Watasema tu, na bado. Huyu ndio aliweka Kura 20,000 kwa Magufuli na yeye akajipa 10,000. Idadi ya kura ikazidi waliopiga Kura......
Hizi ni ndoto......ccm sio chama unaongelea DolaCCM inakwenda kumeguka. Wale wanaoamini ktk Magufuli na Wale wanaoamini ktk Samia.
Na kama Samia ataamua kugombea 2025 ajiandae kwa upinzani mkubwa ndani ya chama shake cha CCM.
Hii sio mada ya leo. Au kaanzishe uzi wako wa umemeKila ninapofika kwenye mitambo ya uzalishaji umeme pale Rufiji napata hasira juu ya wachache waliokuwa kimbelembele kumshitaki JPM kwa mabeberu ili asjienge mradi huo
Kwa nchi kama China, tungekuwa tushawasahau hawa wapuuzi
Acha ujinga wewe ni Bora wachache wafe ili taifa lipone mfano huyo makamba wako anafaida gn kututoa kwenye kuunga umeme Kwa elfu ishirini na Saba mpaka laki tatu na nusu na manguzo wakarudisha zile Bei za enzi ya upigaji ya mkwere? Kuna faida gani yakuwa na watu kama Hawa wasiokuwa na huruma na maskini wa nchi hii? Hawa walitakiwa wapigwe risasi hadharani sijui kwanini magufuli aliwaacha Hawa mchwa wa hili taif
Kabla ya Kauli zao wewe uliamini nini? Umesusa baada ya kuambiwa ukweli?Yaliyo pita si ndwele, tugange yajayo.
Kwa sababu huyu mama ni mwema sana anapenda maridhiano amekuja na 4R. Ongezea na viongozi wa wajuu wa CCM wanakiri hadharani kupitia makamu mwenyekiti wa CCM na katibu wa UWT na kuna mawaziri kadhaa pia wamesikika meokota kwenye mada nyingine
Kambi ya Fisi
Anafaa sanaNdo mana nasema Makamba anafaa kuwa rais
Hizi tuhuma una uhakika nazo? Au ni hasira tu.Huyo ni mtu mnafiki,kwa kua alikosa nafasi yoyote wakati wa JPM kwa migezo cha ufisadi wake,na anahusishwa na wengi mitaani kua ni sehemu ya kuondoka kwa JPM,so lazima achafue tu ili kujiweka sawa kwa watu ake aaminiwe,yamkini mama alisha muahidi kumuachia kijiti,so lazima abwabwaje
Mdogo mdogo wanaanza kufunguka soon tutamjua aliyempiga Tundu Lissu risasi.
Mwendawazimu ni mama yako.CCM wanapigana madongo kama vile huyo Magufuli hakuwa mtu wa CCM.
January anasema kweli kuhusu Magufuli, na hakuanza kuongea haya leo, tunayeongea naye tunajua.
Lakini, ukweli huu unaoonesha CCM kuwa ni chama kisicho makini. Kimempitisha mwendawazimu awe rais, halafu kikashindwa kumdhibiti.
Yawe ya kweli, yawe ya uongo, January Makamba doesn't have the balls, hana kende, za kumkandya Pombe Magufuli, dead or alive, ndani ya mipaka ya nchi hii.... semeeni huko huko Italia!!!!1. Je, wanasiasa walifungwa?
2.Je, kuna walionyang'anywa fedha?
3. Je, kuna walioharibiwa biashara zao?
4. Je, shughuli za vyama vya siasa zilizuiliwa?
5. Je, uchaguzi haukuwa na makandokando?