Yaliyo pita si ndwele, tugange yajayo.
Kwa sababu huyu mama ni mwema sana anapenda maridhiano amekuja na 4R. Ongezea na viongozi wa wajuu wa CCM wanakiri hadharani kupitia makamu mwenyekiti wa CCM na katibu wa UWT na kuna mawaziri kadhaa pia wamesikika wakitoa kauli hizi Nape na Makamba.
Haki itendeke haraka sana, mwambieni raisi aitishe uchaguzi mkuu haraka sana mwaka huu, kuondoa dhulma iliyofanyika 2020 si anataka maradhiano na ana amini haki aikutendeka maana hizo kauli zimeongelewa mara kadhaa mbele yake na Kinana, Nchimbi na Makamba; hata yeye mwenyewe anaamini hivyo ndio maana akaja na hizo 4R.
Kwa hivyo hakuna namna zaidi ya kuitisha uchaguzi mkuu mwingine haraka sana kuondoa dhulma ya 2020.
Kama wapo kwa dhulma na CCM uongozi wa juu wa CCM mwenyekiti, makamu na katibu na baadhi ya mawaziri wao wanakubali waitishe uchaguzi kuwapa wananchi haki.
Kunufaika na dhulma maana yake na wewe ni sehemu ya dhulma na uhalifu uliotendeka. Mama aitishe uchaguzi haraka sana hakuna namna nchi aiwezi ongozwa na raisi anaekiri yupo pale kutokana na dhulma.
Credit ya wazo kwa mchangiaji wa JF nimeokota kwenye mada nyingine
Kambi ya Fisi