Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Watu wema hawafi!-Yussuf Makamba.Naomba nisimuwekee maneno Makamba.
Maneno aliyoyazungumza ni tuhuma nzito kwa utawala wa Rais Magufuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wema hawafi!-Yussuf Makamba.Naomba nisimuwekee maneno Makamba.
Maneno aliyoyazungumza ni tuhuma nzito kwa utawala wa Rais Magufuli.
Subiri nisome misukule yake imejibu niniWabobezi wa Fikra watatafsiri kuwa mbele za Mungu wa Mbinguni Magufuli hakuwa Rais halali na Wabunge wote siyo halali na Madiwani siyo hali
Kiroho jambo hili si Mzaha [emoji209]
What is thisStieggler Ile pale 2225MW - tunaweza kusahau kabisa shida ya umeme tukitumia akili.
Tanzania ya viwanda na kuhamasisha uwekezaji wa viwanda - Sasa hivi wote tumerudi kwenye uchuuzi.
Daraja la juu pale busisi - Mwanza.
Uj
HAYO YOTE NDANI YA MIAKA SITA.
HATUTAKI BLAH BLAH TUNATAKA MATOKEO CHANYA.
Yaani mimi siku nikiwa Rais majitu kama haya yanayotuchelewesha nayanyonga hadharani kama wanavyofanya chinaAcha ujinga wewe ni Bora wachache wafe ili taifa lipone mfano huyo makamba wako anafaida gn kututoa kwenye kuunga umeme Kwa elfu ishirini na Saba mpaka laki tatu na nusu na manguzo wakarudisha zile Bei za enzi ya upigaji ya mkwere? Kuna faida gani yakuwa na watu kama Hawa wasiokuwa na huruma na maskini wa nchi hii? Hawa walitakiwa wapigwe risasi hadharani sijui kwanini magufuli aliwaacha Hawa mchwa wa hili taifa
Wewe ni kilaza tuUkiwa huna akili huwezi kuelewa mwenye akili kama ana akili.
Huyu naye ndo bure, si angejitoa hili kulinda hashima yake. Anatufanya sisi watoto wadogo. Ni mtu wa kutafuta fursa. Huyu naye eti kiongozi!!!! Tunaongozwa na watu wavivu wa kufikiri kama huyu. Yeye naye ni sehemu ya mfumo huo wa kutugawaNaomba nisimuwekee maneno Makamba.
Maneno aliyoyazungumza ni tuhuma nzito kwa utawala wa Rais Magufuli.
Na aliyekuwa anampa Mange taarifa...!!!Mdogo mdogo wanaanza kufunguka soon tutamjua aliyempiga Tundu Lissu risasi.
Zaidi ya kukunja masharti ya mikono mirefu kama obama,marope hamna kitu.Naomba nisimuwekee maneno Makamba.
Maneno aliyoyazungumza ni tuhuma nzito kwa utawala wa Rais Magufuli.
zaidi ya kukunja masharti ya mikono mirefu kama obama,marope hamna kitu.
Mark my wordna hautakaa uwe rais wa nchi hii,Think Tank wa nchi hii TEC hawakuelewi hata kidogo,UMEJILA.
Lengo lao nini...? Wana provock wananchi ili Mama Samia ashindwe kwenye chaguzi hizi mbili zijazo?Na aliyekuwa anampa Mange taarifa...!!!
Pole hujui kiingereza. Nyie hamjishughulishi kabisaKiingereza hakupendi
Kwanini usishauri kwanza hao ambao hawafi kwenda kuiomba msamaha familia ya Dr ulimboka? Au wewe ni mtoto wa juzi?..wewe unamshambulia mtoa hoja, badala ya kujibu hoja alizowasilisha.
..kuna watu ni wahanga wa mambo mabaya yaliyofanywa na Magufuli na genge lake ni vizuri kila mmoja wetu akajielekeza kuwatetea wahanga.
Kwanini usishauri kwanza hao ambao hawafi kwenda kuiomba msamaha familia ya Dr ulimboka? Au wewe ni mtoto wa juzi?
Pamoja na katiba mpya ikiwa na tume huru, changamoto ni uwepo wa watu wenye fikra huru katika kutekeleza matakwa ya katiba na tume.Kutubu ni kukubali Tume HURU ya UCHAGUZI na KATIBA mpya kabla ya Uchaguzi wowote.
Sasa kwani si Samia yupo? Majaliwa yupo? Mwigulu yupo? Aliyekufa ni mmoja tuu lakini wote wapo sasa hapa wana mdanganya nani? Na nyie mnajifariji kwa kupenda kusikia wanasema bila matendo? Hivi walio haribu uchaguzi si wapo? Nani kafa zaidi ya Magufuli?
Kwanini Sasa wasikubali Tume huru ya Uchaguzi kuvunja mzizi wa fitina?
Leo ndio Mmeshituka baada ya Makamba kusema? Siku zote nyie ccm mnasema mnashinda kwa haki.Ni uchaguzi wa mwaka gani uliwahi kuwaunganisha?
Uchaguzi wa 2015 ndiyo mgombea ubunge Alphonse Mawazo aliuwawa kama kibaka huko Geita!
Hakuna Tajiri amewahi kuharibiwa biashara kwa sababu ya siasa za uchaguzi kumzidi Mzee Tango kisa Mrema mwaka 1995.
Kama Makamba anamaanisha kweli si awashauri wenzie huko cabinet ipatikane katiba mpya na tume ya uchaguzi isiyojaa makada.
Si mlisema walishinda? Mmeanza kugeukana😂😂Akina MwanaFA wote kura kiduchu mbeleko ya Shujaa Magufuli