Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

Stieggler Ile pale 2225MW - tunaweza kusahau kabisa shida ya umeme tukitumia akili.
Tanzania ya viwanda na kuhamasisha uwekezaji wa viwanda - Sasa hivi wote tumerudi kwenye uchuuzi.
Daraja la juu pale busisi - Mwanza.
Uj

HAYO YOTE NDANI YA MIAKA SITA.
HATUTAKI BLAH BLAH TUNATAKA MATOKEO CHANYA.
What is this
 
Acha ujinga wewe ni Bora wachache wafe ili taifa lipone mfano huyo makamba wako anafaida gn kututoa kwenye kuunga umeme Kwa elfu ishirini na Saba mpaka laki tatu na nusu na manguzo wakarudisha zile Bei za enzi ya upigaji ya mkwere? Kuna faida gani yakuwa na watu kama Hawa wasiokuwa na huruma na maskini wa nchi hii? Hawa walitakiwa wapigwe risasi hadharani sijui kwanini magufuli aliwaacha Hawa mchwa wa hili taifa
Yaani mimi siku nikiwa Rais majitu kama haya yanayotuchelewesha nayanyonga hadharani kama wanavyofanya china
Magufuli alikuwa mpole mimi ningeyaua yote
 
Naomba nisimuwekee maneno Makamba.

Maneno aliyoyazungumza ni tuhuma nzito kwa utawala wa Rais Magufuli.
Huyu naye ndo bure, si angejitoa hili kulinda hashima yake. Anatufanya sisi watoto wadogo. Ni mtu wa kutafuta fursa. Huyu naye eti kiongozi!!!! Tunaongozwa na watu wavivu wa kufikiri kama huyu. Yeye naye ni sehemu ya mfumo huo wa kutugawa
 
zaidi ya kukunja masharti ya mikono mirefu kama obama,marope hamna kitu.
Mark my wordna hautakaa uwe rais wa nchi hii,Think Tank wa nchi hii TEC hawakuelewi hata kidogo,UMEJILA.

..wewe unamshambulia mtoa hoja, badala ya kujibu hoja alizowasilisha.

..kuna watu ni wahanga wa mambo mabaya yaliyofanywa na Magufuli na genge lake ni vizuri kila mmoja wetu akajielekeza kuwatetea wahanga.
 
..wewe unamshambulia mtoa hoja, badala ya kujibu hoja alizowasilisha.

..kuna watu ni wahanga wa mambo mabaya yaliyofanywa na Magufuli na genge lake ni vizuri kila mmoja wetu akajielekeza kuwatetea wahanga.
Kwanini usishauri kwanza hao ambao hawafi kwenda kuiomba msamaha familia ya Dr ulimboka? Au wewe ni mtoto wa juzi?
 
Kwanini usishauri kwanza hao ambao hawafi kwenda kuiomba msamaha familia ya Dr ulimboka? Au wewe ni mtoto wa juzi?

..ushauri wangu ni Rais badala ya kuleta blahblah za 4R, aunde Tume ya Ukweli, Haki, na Maridhiano, ili wahanga wa awamu zote watendewe haki.
 
Kutubu ni kukubali Tume HURU ya UCHAGUZI na KATIBA mpya kabla ya Uchaguzi wowote.
Pamoja na katiba mpya ikiwa na tume huru, changamoto ni uwepo wa watu wenye fikra huru katika kutekeleza matakwa ya katiba na tume.
Ukiangalia kwa mtazamo mpana, msingi wa matatizo ni fikra za kitumwa kwa watendaji (katiba iliyopo haifuatwi). Wakati mwingine hawalazimishwi kufanya upendeleo, ni kujipendekeza kwao tu kuvunja katiba.
 
Mtawadanya wapinzani wale wajinga, kama ni hivyo kwa nini Makamba asiachie ngazi maana haku chaguliwa kwa mantiki hiyo, kwa nini serikali ya Samia isiondoke madarakani au kwa nini isiitishe uchaguzi mpya kwa sasa? Kinacho washinda kuanzisha tume huru ya uchaguzi kwa sasa ni kipi maana Magufuli hayupo, kinacho shindikana kuwa na katiba mpya ni kipi? Aliepora uchaguzi wa Maalif seif kwa kumtumia Jecha zanzibar kufuta uchauzi 2015 ni Magufuli? CCM wote ni wehu na wajinga, sasa mnatuaminisha uchaguzi ujao utakuwa haki kwa kipi mmefanya kuwa haki? Mnawachota wapinzani akili wajae, na watajaa kweli make hata wao sio wapinzani ni ruzuku ndo wana tafuta.
 
Na bado hamjasema
Sasa kwani si Samia yupo? Majaliwa yupo? Mwigulu yupo? Aliyekufa ni mmoja tuu lakini wote wapo sasa hapa wana mdanganya nani? Na nyie mnajifariji kwa kupenda kusikia wanasema bila matendo? Hivi walio haribu uchaguzi si wapo? Nani kafa zaidi ya Magufuli?
Kwanini Sasa wasikubali Tume huru ya Uchaguzi kuvunja mzizi wa fitina?
 
Ni uchaguzi wa mwaka gani uliwahi kuwaunganisha?

Uchaguzi wa 2015 ndiyo mgombea ubunge Alphonse Mawazo aliuwawa kama kibaka huko Geita!

Hakuna Tajiri amewahi kuharibiwa biashara kwa sababu ya siasa za uchaguzi kumzidi Mzee Tango kisa Mrema mwaka 1995.

Kama Makamba anamaanisha kweli si awashauri wenzie huko cabinet ipatikane katiba mpya na tume ya uchaguzi isiyojaa makada.
Leo ndio Mmeshituka baada ya Makamba kusema? Siku zote nyie ccm mnasema mnashinda kwa haki.

Makamba yuko sahihi so far.
 
Back
Top Bottom