Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi una akili timamu kweli?Jiwe alikuwa mshenzi sana. Asante mhe. January Makamba kwa kulisema hili ili dunia ijue. Na January ndiyo mwanaccm pekee uliyebakia kuwa na akili.
Mhe. January Makamba naomba uende mbali zaidi, kwa kuitaka serikali kifuta kumbukumbu zote za serikali zinazomtambua jiwe kama mmoja wa watu waliowahi kuwa marais nchi hii.
Shida ni chumvi nyingi yaani dunia nzima ione mikutano, halafu wewe useme ilizuiwa kwenye uchaguzi.Ule ilikuwa uhuni sio uchaguzi acha kuupaka rangi uovu
Ni kweli, Sasa kulikuwa na haja gani ya Ccm kupora kila kitu ?Iła kwa Magufuli tuwe wakweli hakukuwa na wakumshinda 2020 kwenye uraisi, hata ukirudiwa kesho.
Hapo sasa wenye majibu itakuwa tume ya uchaguzi. Mimi sina ushahidi wowote zaidi kukubaliana na walalamikaji wakubwa CDM. Be it wao wenyewe hawana concrete evidence.Ni kweli, Sasa kulikuwa na haja gani ya Ccm kupora kila kitu ?
Too much ??!!Za Makamba hazikuondoka na roho za watu.
Hizi za 2020 kwakweli hapana.
Ni kama anashukuru “deep state” kwa kazi yao nzuri na ya kutukuka ya march 17.Naomba nisimuwekee maneno Makamba.
Maneno aliyoyazungumza ni tuhuma nzito kwa utawala wa Rais Magufuli.
2020 hakushindwa !Hapo sasa wenye majibu itakuwa tume ya uchaguzi. Mimi sina ushahidi wowote zaidi kukubaliana na walalamikaji wakubwa CDM. Be it wao wenyewe hawana concrete evidence.
Ni kama anashukuru “deep state” kwa kazi yao nzuri na ya kutukuka ya march 17.
Shida ni chumvi nyingi yaani dunia nzima ione mikutano, halafu wewe useme ilizuiwa kwenye uchaguzi.
Kwenye matokeo ya ubunge na udiwani sijui ingekuwaje bila ya foul za CCM kama ilivyokawaida yao.
Iła kwa Magufuli tuwe wakweli hakukuwa na wakumshinda 2020 kwenye uraisi, hata ukirudiwa kesho.
!😅😅😅🙏CCM inakwenda kumeguka. Wale wanaoamini ktk Magufuli na Wale wanaoamini ktk Samia.
Na kama Samia ataamua kugombea 2025 ajiandae kwa upinzani mkubwa ndani ya chama shake cha CCM.
i jamaa alikuwa ana jambo lake kubwa alikuwa alifanye baada ya kubadilisha sheria fulani fulani hapo Bungeni !!..Ni kweli alikuwa na uwezo wa kushinda.
..sasa kwanini alicheza RAFU za kiwango kile?
..kwanini walienguliwa wagombea wengi kuzidi kipindi chochote kile?
Acha ujinga wewe ni Bora wachache wafe ili taifa lipone mfano huyo makamba wako anafaida gn kututoa kwenye kuunga umeme Kwa elfu ishirini na Saba mpaka laki tatu na nusu na manguzo wakarudisha zile Bei za enzi ya upigaji ya mkwere? Kuna faida gani yakuwa na watu kama Hawa wasiokuwa na huruma na maskini wa nchi hii? Hawa walitakiwa wapigwe risasi hadharani sijui kwanini magufuli aliwaacha Hawa mchwa wa hili taifaKwani maendeleo hayawezi kuletwa mkiwa mnaheshimiana na kutendeana wema?
Ukiwa huna akili huwezi kuelewa mwenye akili kama ana akili.Hivi una akili timamu kweli?
Viongozi kama Magufuli ndiyo ambao huziletea nchi zao maendeleo. Hawa watu wa "watu" huwa ni wa kupotezea nchi wakati tu.