Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
uungwana ni maneno na matendo 🐒Naona Wahusika wakubwa ndani ya Serikali wameanza kusema wenyewe juu ya kilichotokea wakati wa Uchaguzi wa 2020.Mh Makamba akiwa Italy akiongea na Watanzania amemwaga Mchele wote jinsi Uchaguzi wa 2020 Chini ya HAYATI MAGUFULI ulivyokuwa na Watu Walivyoumizwa na kudhulumiwa ili MAGUFULI ASHINDE.
Asante Makamba kwa taarifa hiyo tuna imani na Aliyempiga RISASI Mwanasiasa TUNDU LISSU tutamjua tu.Mwendazake Alipanda MBEGU ya CHUKI na AMEIVUNA
MUNGU siku zote ni hataki WATU WABAYA MUNGU ni FUNDI ameumaliza Mchezo kati ya Watanzania na MWENDAZAKE. Pumzika Mwendazake Umevuna ulichokipanda
ni umakini na ujasiri wa kiwango cha juu sana kwa taasisi na watu wake kujitathmini, kujisahihisha, kujirekebisha, kuziba nyufa, kuondoa kazoro na kuja na mawazo mapya, mipango mikakati mipya na kusonga mbele vizuri zaidi, kwa umahiri zaidi na kwa uhakika zaidi 🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Tuepushe na Roho kujipa umuhimu zaidi ya wengine na kujihesabia haki 🐒