Na makamu wake itakuaje sasa!?Jiwe alikuwa mshenzi sana. Asante mhe. January Makamba kwa kulisema hili ili dunia ijue. Na January ndiyo mwanaccm pekee uliyebakia kuwa na akili.
Mhe. January Makamba naomba uende mbali zaidi, kwa kuitaka serikali kifuta kumbukumbu zote za serikali zinazomtambua jiwe kama mmoja wa watu waliowahi kuwa marais nchi hii.
MAMBO YA DIKTETA HAYO ila MUNGU ni FUNDI Wazuri HAWAFII NG'OOONaomba nisimuwekee maneno Makamba.
Maneno aliyoyazungumza ni tuhuma nzito kwa utawala wa Rais Magufuli.
Mengi kati ya haya uliyoyaorodhesha hapa hata wakoloni waliyafanya na watu walidai uhuru.Stieggler Ile pale 2225MW - tunaweza kusahau kabisa shida ya umeme tukitumia akili.
Tanzania ya viwanda na kuhamasisha uwekezaji wa viwanda - Sasa hivi wote tumerudi kwenye uchuuzi.
Daraja la juu pale busisi - Mwanza.
Ujenzi wa reli ya kisasa Dar - Mwanza.
Kuifanya shillingi kuwa stable - Sasa hivi shillingi Kila siku inayumba.
Kuleta nidhamu ya utendaji serikali.
Kulifufua shirika la ndege lililokufa.
Kuboresha usafiri ziwa Victoria.
Kufanya watu waiogope na kuiheshimu dola.
Ujenzi wa miundombinu Kila Kona ya nchi.
Ujenzi wa masoko ya kisasa maeneo mbalimbali.
Ujenzi wa hospitali za rufaa Kila mkoa.
Kuboresha huduma za afya Kwa kununua vifaa vya kisasa (VP MRI nzima pale Muhimbili?).
Kujenga smelter ya Dhahabu pale Mwanza.
BOT kuanza kununua dhahabu na kuweka reserve ( Vipi ile reserve bado IPO?).
Kudhibiti utoroshwaji wa madini.
Kuruhusu wachimbaji wadogo wadogo kupewa maeneo na kuchimba ( Sasa magiants wameanza kuhodhi maeneo na kufanya udalali Kwa Wazungu na wachina).
Kudhibiti matumizi ya hovyo ya serikali ( watu wanapishana angani tu Sasa hivi, na mijengo wananunua).
HAYO YOTE NDANI YA MIAKA SITA.
HATUTAKI BLAH BLAH TUNATAKA MATOKEO CHANYA.
Ulifanikiwa kurudiana na yule mwanaume aliyekuacha na mimba.?Jiwe alikuwa mshenzi sana. Asante mhe. January Makamba kwa kulisema hili ili dunia ijue. Na January ndiyo mwanaccm pekee uliyebakia kuwa na akili.
Mhe. January Makamba naomba uende mbali zaidi, kwa kuitaka serikali kifuta kumbukumbu zote za serikali zinazomtambua jiwe kama mmoja wa watu waliowahi kuwa marais nchi hii.
Damu ya WASIO na HATIA lazima ILIPWE hapa hapa DunianiMdogo mdogo wanaanza kufunguka soon tutamjua aliyempiga Tundu Lissu risasi.
Na makamu wa mwendawazimu je?CCM wanapigana madongo kama vile huyo Magufuli hakuwa mtu wa CCM.
January anasema kweli kuhusu Magufuli, na hakuanza kuongea haya leo, tunayeongea naye tunajua.
Lakini, ukweli huu unaoonesha CCM kuwa ni chama kisicho makini. Kimempitisha mwendawazimu awe rais, halafu kikashindwa kumdhibiti.
Mtu Mshamba hapaswi kupewa uongozi..sasa kwanini Magufuli alichanganya mambo hayo mazuri na dhuluma za kufunga wanasiasa, kuiba uchaguzi, kunyang'anya pesa, kuharibu biashara za watu?
Et tu John the Baptist?Wabobezi wa Fikra watatafsiri kuwa mbele za Mungu wa Mbinguni Magufuli hakuwa Rais halali na Wabunge wote siyo halali na Madiwani siyo hali
Kiroho jambo hili si Mzaha 🐼
Wizara ya nishati imeachwa hoi, kwani iliwai kuwa imara?.Sikuwahi kumkubali yule dikteta mshenzi kutoka Burundi.
Ila haka kajamaa kalikoiba mtihani kidato cha 4 kanasahsu kuwa kenyewe pia ni zao la wabunge wa mtutu walioachwa bungeni na yule dikteta ?
Wizara ya nishati kamefanya dili za kifisadi na wahuni wenzie wameiacha hoi taaban halafu wakgahamishwa wizara.
Kwani maendeleo hayawezi kuletwa mkiwa mnaheshimiana na kutendeana wema?Nchi zenye demokrasia ya kweli zilianza na maendeleo ya vitu kwanza kabla ya hizo demokrasia.
Huwezi kuwa na demokrasia kama huna miundombinu imara na hauna maendeleo ya vitu.
Niuongo!...inawezekana hana moral authority.
..lakini je alichokisema ni ukweli au uongo?
Watu wanajitoa ufahamu!!Yeye mwenyewe alinunua Wagombea wengine ili apite bila kupingwa , haaminiki na hatoaminika milele .
2015 alikuwemo kwenye ile ofisi ya masaki kuiba kura , nani atamuamini huyu ? ukiacha kuwa ni mtoto wa kiongozi hakuna chochote unachoweza kuonyesha alichokifanya January Nchi hii tangu azaliwe zaidi ya wizi wa mitihani Galanos
Kwa ufupi ni kwamba ccm yote imeoza , ing'olewe kabisa
Hatutakubali kudanganywa kibwegeWatu wanajitoa ufahamu!!
Motive behind ya anachokisema ni unafiki tu.
Mwizi wa kura anawezaje kutufundisha juu ya kuheshimu Sanduku la kura?
Ujinga ni wakati wa kwenda tu!!!Hatutakubali kudanganywa kibwege
Makamu wa Mwendawazimu lazima awe Mwendawazinu Squared.Na makamu wa mwendawazimu je?
Hatuhitaji Kauli bali Vitendo vinavyoweka Misingi ya Uhuru, haki na Umoja.Naomba nisimuwekee maneno Makamba.
Maneno aliyoyazungumza ni tuhuma nzito kwa utawala wa Rais Magufuli.