Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Humjui na hujui kile unachosemaYaani Magufuli alikuwa mpole mimi ningeyanyonga hadharani kwa manufaa ya taifa na vizazi vijavyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humjui na hujui kile unachosemaYaani Magufuli alikuwa mpole mimi ningeyanyonga hadharani kwa manufaa ya taifa na vizazi vijavyo
Katiba inamruhusu kufanya nini?Utamdhibiti na katiba inamruhusu!? Utawezaje!?
Ukweli anaujua Mungu mwenyewe, nyingine mbwembwe tuMnadanganyana kwa sababu hamna utamaduni wa kuupenda wala kuuzoea ukweli.
Na mara nyingi Mungu huwatumia wanadamu kuwafunulia hadhira wasioamini ili waongoke.Ukweli anaujua Mungu mwenyewe, nyingine mbwembwe tu
Weka na ushahidi mbona mnaongea tu..sasa kwanini Magufuli alichanganya mambo hayo mazuri na dhuluma za kufunga wanasiasa, kuiba uchaguzi, kunyang'anya pesa, kuharibu biashara za watu?
Pasipoti yako imegongwa muhuri tarehe ngapi ulipoingia Tanzania ukitokea Pluto?Weka na ushahidi mbona mnaongea tu
1) mwanasiasa gani aliyefungwa na JPM
2) Raisi gani aliyestahili kushinda kura zake zikaibiwa na JPM
3) Mfanya biashara gani biashara zake ziriharibiwa
Impeachment ni huko huko kwenu Marekani. Huyo Rais mjinga wa kuruhusu Hilo kutokea wakati mamlaka ya umungu mtu anayo hawezi kuwa hapa Afrika bali huko kwenu USA baby. By the way Ukijua wewe impeachment inatosha, Mimi nitajifunza toka kwakoKatiba inamruhusu kufanya nini?
Wewe unaelewa kuwa katiba hii hii inayolalamikiwa kuwa ni mbovu ina mchakato wa kumuondoa rais madarakani? Unajua ina impeachment process?
Katiba unaitaja na kuilalamikia tu? Au unaisoma?
Unajua hata impeachment ni nini?
Kwa hiyo unakubali kwamba hapo kwenye impeachment tatizo ni rais, watu, utamaduni, si katiba kama ulivyotaka kusema awali?Impeachment ni huko huko kwenu Marekani. Huyo Rais mjinga wa kuruhusu Hilo kutokea wakati mamlaka ya umungu mtu anayo hawezi kuwa hapa Afrika bali huko kwenu USA baby. By the way Ukijua wewe impeachment inatosha, Mimi nitajifunza toka kwako
Ila sio wazuri hawafi...... wakamtest tena Konda boy waanike maturubai mengineNa mara nyingi Mungu huwatumia wanadamu kuwafunulia hadhira wasioamini ili waongoke.
Hao wengine uwaitao zao la uchafuzi ndio hao hao uwaitao 'waheshimiwa' waliopo madaraka wanakula kwa urefu wa kamba zao.Yeye na wengine wote ni zao la uchafuzi ule.
Kama waiiba kura alikuwa sehemu ya kuratibu kuiba kura, kitengo cha kubadilisha matokeo. Hakupewa nafasi kubwa baada ya wizi akawekwa pembeni ndio shida.Naomba nisimuwekee maneno Makamba.
Maneno aliyoyazungumza ni tuhuma nzito kwa utawala wa Rais Magufuli.
Nilijua kabisa hakuna atakayeweka huo ushahidiPasipoti yako imegongwa muhuri tarehe ngapi ulipoingia Tanzania ukitokea Pluto?
We ni Mtz kweli!Weka na ushahidi mbona mnaongea tu
1) mwanasiasa gani aliyefungwa na JPM
2) Raisi gani aliyestahili kushinda kura zake zikaibiwa na JPM
3) Mfanya biashara gani biashara zake ziriharibiwa
Ushauri wa kijinga kabisa,kisa vyeti feki,mishahara hewa kwani MUNGU anaruhusu vyeti feki? Ukifuta unaondoa makao makuu idodomya,jnhpp,sgr afutwe kisa uliingia 18 zake lzm kichwa kiliwe.eti junuari ndiye ccm aliyebaki mwenye akili jinga sana wewe, huyo januari muulize dili la mahindra ndo akili hizoJiwe alikuwa mshenzi sana. Asante mhe. January Makamba kwa kulisema hili ili dunia ijue. Na January ndiyo mwanaccm pekee uliyebakia kuwa na akili.
Mhe. January Makamba naomba uende mbali zaidi, kwa kuitaka serikali kifuta kumbukumbu zote za serikali zinazomtambua jiwe kama mmoja wa watu waliowahi kuwa marais nchi hii.
Jibu ni ndiyo. Mbowe mfanyabiashara alifungiw bilcanas, manji alifukuzwa nchi, mo alitekwa nk. Account za wafanya biashara zilivamiwa na kuporwa mfano Nimrodi mkono mpaka akafa kwa mshtuko. Siasa zilizimwa zikabaki siasa za ccm tu ukikutwa we ni chadema unaweza kunyingwa hadharani. Uchaguzi hakukuwa uchaguzi Bali uchaguzi. Wanasiasa walifungwa mfano mbowe, mdude, sugu nk1. Je, wanasiasa walifungwa?
2.Je, kuna walionyang'anywa fedha?
3. Je, kuna walioharibiwa biashara zao?
4. Je, shughuli za vyama vya siasa zilizuiliwa?
5. Je, uchaguzi haukuwa na makandokando?
Kama waiiba kura alikuwa sehemu ya kuratibu kuiba kura, kitengo cha kubadilisha matokeo. Hakupewa nafasi kubwa baada ya wizi akawekwa pembeni ndio shida.
JPM angempa wizara ya nishati usingesikia hizi kelele. Angepiga pesa za kutosha.
Alikopa kwenye mifuko ya jamii na NGO yake ya Bumbuli mabilioni hajalipa hadi leo. Wewe Joka Kubwa , Kuu, unamwamini huyu muhuni, ndio role model wako?
Alipokuwa Nishati visingizik vilikuwa mara ukarabati, mara crane, mara mvua, mara uchepushaji wa maji. L
Amefanya nini cha maana kwa Tanzania?