Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Naona hako kajamaa kanajaribu kujikomba kwa bi mkubwa!Hii speech ukiisikiliza kwa akili sana, ina jambo kubwa sana, Kalemani na Ndungai, na Dotto James, Polepole na Bashiru walikuwa wanamsalimia mama wanapojisikia, na wanaweza hata kumpita bila salamu wanakimbia aliposimama JPM